Usilazimishe kitu ambacho wengine wanaona wapo sahihi pia, kuna ambao tunaona Arteta hawezi kutupeleka kwenye big achievements others wanaona Arteta ni kocha sahihi wa timu yetu ya Arsenal,kuna sisi tunaona Arsenal anastahili kubeba big trophies

wengine wanaona Arsenal kuwa Top 4 ndio trophy

,wengine tunaona baadhi ya players wanaotaka kununuliwa sio sahihi wengine wanaona hao players ni sahihi ukisema tuweke sababu page itajaa hii but kaa ujue kila mtu ana sababu zake mimi naona zako zinaweza zikawa si sahihi but wewe unaona zetu zikawa sio sahihi so TUJIFUNZE KUKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA that's it kama unayataka mengine yaliyo nje ya football utayapata