Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unaachana na Nkunku unaenda kwa Jesus Recruitment ya Arsenal ina big problem kwa kweli that's why wachezaji wengi wananunuliwa but performance zero au unakuta wengi wanakuwa majeruhi majeruhi mechi 3 atacheza mechi 3 hospital anatibiwa Tierney Partey hawa ni players wazuri sana but wanaicost sana team hawawezi cheza 10 games mfululizo bila kwenda hospital na Tomiyasu napata nae shaka pia anaweza akajiunga na hawa watu
kwahiyo wasingenunuliwa tuu?
 
Unaachana na Nkunku unaenda kwa Jesus Recruitment ya Arsenal ina big problem kwa kweli that's why wachezaji wengi wananunuliwa but performance zero au unakuta wengi wanakuwa majeruhi majeruhi mechi 3 atacheza mechi 3 hospital anatibiwa Tierney Partey hawa ni players wazuri sana but wanaicost sana team hawawezi cheza 10 games mfululizo bila kwenda hospital na Tomiyasu napata nae shaka pia anaweza akajiunga na hawa watu
Si ndio hapo, Raheem Sterling anacheza timu ndogo kama Man city wakati vitoto vya academy visivyojua mpira kama Bukayo Saka vinacheza Arsenal, yaani Arsenal ni matakataka tu, Arteta afukuzwe haraka, hatuwezi kufuzu UEFA bila Arteta na The Kroenkes kuachia hii timu, mambo ya kisenge haya.
 
Unaachana na Nkunku unaenda kwa Jesus Recruitment ya Arsenal ina big problem kwa kweli that's why wachezaji wengi wananunuliwa but performance zero au unakuta wengi wanakuwa majeruhi majeruhi mechi 3 atacheza mechi 3 hospital anatibiwa Tierney Partey hawa ni players wazuri sana but wanaicost sana team hawawezi cheza 10 games mfululizo bila kwenda hospital na Tomiyasu napata nae shaka pia anaweza akajiunga na hawa watu

Kuna Siku utakuja kutamani usingeiandika hii Post
 
Ladies and Gentlemen! A Tz Boy from Mkuranga self claim as an Arsenal die hard fan (While some Arsenal fanboys saying he is an ARV is disguise) told us Striker Gabriel Jesus not a calibre to play for Arsenal 😂😂😂
He said, "Gabriel Jesus can't even scores a 10+ goals per season". 😂😂

The Reality: He's not playing as a regular starter because he's playing for Man City, out of Man City he's a regular starter. Same to Diogo Jota out of Liverpool he's a regular starter.
Hahahahahahahaah. Akanipigisha ban
 
#PL 18/19:
Man United 2-2 Arsenal
Arsenal 2-0 Man United

19/20:
Man Utd 1-1 Arsenal
Arsenal 2-0 Man Utd

20/21:
Man Utd 0-1 Arsenal
Arsenal 0-0 Man Utd

21/22:
Man Utd 3-2 Arsenal
Arsenal 3-1 Man Utd

Only one win against Arsenal in the last four years. But they never shut up
Na bado kuna watu wanasema arsenal haishindi against top 6
 
Na bado kuna watu wanasema arsenal haishindi against top 6
Usilazimishe kitu ambacho wengine wanaona wapo sahihi pia, kuna ambao tunaona Arteta hawezi kutupeleka kwenye big achievements others wanaona Arteta ni kocha sahihi wa timu yetu ya Arsenal,kuna sisi tunaona Arsenal anastahili kubeba big trophies wengine wanaona Arsenal kuwa Top 4 ndio trophy ,wengine tunaona baadhi ya players wanaotaka kununuliwa sio sahihi wengine wanaona hao players ni sahihi ukisema tuweke sababu page itajaa hii but kaa ujue kila mtu ana sababu zake mimi naona zako zinaweza zikawa si sahihi but wewe unaona zetu zikawa sio sahihi so TUJIFUNZE KUKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA that's it kama unayataka mengine yaliyo nje ya football utayapata
 
Kila manager ana wachezaji ambao anaweza kuwatumia katika project mkuu....Huyo Pepe na Saliba hata kama ni wazuri kiasi gani ila kama hawa fit kwenye mfumo wake basis hawana maana mkuu

Kocha hawezi kufanya kazi ya kubadilisha aina ya uchezaji wa kila player ila anachofanya ni kumuongozea skills kwenye mfumo wake tu.

Kila Underperfomer kwenye mfumo wa Mikel anapaswa kuondoka na ndio kila Manager bora ana sifa hiyo duniani

Xhaka anaweza kufanya kosa ila kesho yake akaomba msamaha,ila hilo halijawahi kutokea kwa Auba japokuwa na makosa yake yote ndani ya club

#Arteta out Bandwagon and #Arteta out Brigade......itabidi mtafute mtu mwingine wa kumpa lawana juu ya kipenzi chenu Auba na ndio mnajificha kwenye kivuli cha flop players wengine kama kina Pepe eti kwa kushindwa kuwamanage
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Si ndio hapo, Raheem Sterling anacheza timu ndogo kama Man city wakati vitoto vya academy visivyojua mpira kama Bukayo Saka vinacheza Arsenal, yaani Arsenal ni matakataka tu, Arteta afukuzwe haraka, hatuwezi kufuzu UEFA bila Arteta na The Kroenkes kuachia hii timu, mambo ya kisenge haya.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Usilazimishe kitu ambacho wengine wanaona wapo sahihi pia, kuna ambao tunaona Arteta hawezi kutupeleka kwenye big achievements others wanaona Arteta ni kocha sahihi wa timu yetu ya Arsenal,kuna sisi tunaona Arsenal anastahili kubeba big trophies wengine wanaona Arsenal kuwa Top 4 ndio trophy ,wengine tunaona baadhi ya players wanaotaka kununuliwa sio sahihi wengine wanaona hao players ni sahihi ukisema tuweke sababu page itajaa hii but kaa ujue kila mtu ana sababu zake mimi naona zako zinaweza zikawa si sahihi but wewe unaona zetu zikawa sio sahihi so TUJIFUNZE KUKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA that's it kama unayataka mengine yaliyo nje ya football utayapata
Kwani nilikuquote wewe???? Wewe uliita mods juzi hapa nikala ban

Screenshot_20220424-105507_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom