piga ignore button kwa mtu anaetukana tukana hutoona post zake kbshivi hakuna namna ya moderator kutugea button za kuban watu hao jamaa wamenikera sana kwann wanatukanana hao sio mashabiki walio komaa yaan ni ujinga kwann tudibishane kwa hoja?
nimekwazika sana na mambo hayo acheni kabisa kama mtu hana hoja aseme asaidiwe ila sio matusi
Ndugu , upo kumponda Arteta na kumshambulia Kila afanyacho, Lakini ungekuwa unaona process inayofanyika ungetoa creditOk my question naona umekimbia hili why Guardiola anatoa Mamilioni ya Paund kwa ajili ya Haaland?wakati ana JESUS?uliyoyasema sijakataa but why ana spend more than 100M Paund wakati JESUS yupo ?why?
For example Kane angekuwa amepatikana last season Manchester City unafikiri Pep angetoa more than 100 M paund?this season?no nway sitaki kubelieve hili
Acha Arteta afanye kaz yake , hata Summer usajiri wa kina tomiyasu, ben mweupe, ulipondwa sana ,plus Odegaard , mliuponda sanaMe naona Jesus sio striker mkali kivile no mchezaji wa Kati tu yupo Man City team kubwa vile bado nafasi yake finyu ndo umlete uyo u double salary yake yae, strikers wapo wengi Sana viongozi wafanye scouting ya maana wapate strike mzuri
Spurs kuna mpira alimpigia Liva walipokutana mzunguko wa kwanza nikasema sasa tunashuhudia ushindani.
Baada ya ile siku akaendelea kua hovyo.
We have a chance against spurs.
Mashabiki wa Arsenal wakishinda hua wanajitahidi sana kwenye uchambuzi
Kabla ya kukutana na tott inabid tuwe tumempiga gape la point 7-8Katika pointi hizo tuvune 3 kwa tott, najua tott kwa liver kuchomoka si kazi rahisi, Hapo ni 99% tunaingia top 4 bila tabu
Inatakiwa tushinde mech mbili zinazofataKabla ya kukutana na tott inabid tuwe tumempiga gape la point 7-8
Shida ipo kwa Leicester ni maji kupwa maji kujaa huwez jua anaamka vipi kwenye game yao na SpursInatakiwa tushinde mech mbili zinazofata
Westham sina wasiwasi nao, labda Leeds wamebadilika sana ,
Spurs dhid ya Leicester na Liverpool akijichanganya anaacha point 6-4