Liutenant
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 620
- 1,014
Lete matokeo.Fuatilieni wanaume wanacheza kule community stadium kuchukua nafasi mliowashikia kwa muda wa masaa
Lete matokeo.Fuatilieni wanaume wanacheza kule community stadium kuchukua nafasi mliowashikia kwa muda wa masaa
Lembua huna akili.Fuatilieni wanaume wanacheza kule community stadium kuchukua nafasi mliowashikia kwa muda wa masaa
Spurs na Arsenal itakuwa ni Final ya kufa mtuSpurs kasuluhu.
Arsenal tupo nafasi ya nne.
Arsenal tuna Westham na Leeds kisha tunakutana na spurs.
spurs ana Leicester na Liva kisha anakutana na Sisi.
Tukomae.
Vipi washachukua nafasi yao?😃Fuatilieni wanaume wanacheza kule community stadium kuchukua nafasi mliowashikia kwa muda wa masaa
Spurs kasuluhu.
Arsenal tupo nafasi ya nne.
Arsenal tuna Westham na Leeds kisha tunakutana na spurs.
spurs ana Leicester na Liva kisha anakutana na Sisi.
Tukomae.
SawaAcha ushamba na viingereza vyako vya kijinga. Kujifanya kuongea vingereza vingi kwenye forum ya kiswahili ni dalili kwamba hujiamini.
Usipangie watu cha kuongea. Hii ni forum huru kwa arsenal fans. Kila mmoja yupo huru kuonyesha kutokuridhika kwake.
Kuna na yule beki wa kushoto wa Watford anaitwa Hasane Kamara, anapiga kazi sana.. ana ngumu, pace na balance ya kushota.Tavares inabd atupwe kwa mkopo italia huko akakomae,
then cc twende Brighton pale tukafanye biashara watupe yule Lb wao Cucurella aje asaidiane na Tierney pale. tatzo la Lb litakua limeisha
Hanaga takwimu sahihi kwa kuwa anakuwa amejiandaa kupinga hivyo kila linalomjia kinywani analitemaLadies and Gentlemen! A Tz Boy from Mkuranga self claim as an Arsenal die hard fan (While some Arsenal fanboys saying he is an ARV is disguise) told us Striker Gabriel Jesus not a calibre to play for Arsenal
He said, "Gabriel Jesus can't even scores a 10+ goals per season".
The Reality: He's not playing as a regular starter because he's playing for Man City, out of Man City he's a regular starter. Same to Diogo Jota out of Liverpool he's a regular starter.




@Msurunje unahisi why Guardiola anamtaka Halaand amuache Gabriel Jesus?why anataka kutumia paund za kutosha ampate Haaland wakati ana JESUS?answer me wakati naendelea kufurahia ushindi wa Manchester United ukinipa vivid answer ntakukubali huwa una tabia ya kukimbia arguments wanaume wa football tukiwa tunabadilishana ideas kwa hili usikimbie huyo Fan of Gerrard sijamjibu coz anataka kutuchoresha hana alijualo ni mtoto wa juzi namu ignoreHanaga takwimu sahihi kwa kuwa anakuwa amejiandaa kupinga hivyo kila linalomjia kinywani analitema![]()
️ na sio mzee wa kufuata upepo wenzio waongee uuungie maada juu kwa juu MsurunjeKama kawaida.Kwa hali ilivyo, we don’t have to underrate our opponents, you have seen how spurs were unable to get results today. Yani nikushikiria pale pale
How many teams did Jota fare out as a regular?Ladies and Gentlemen! A Tz Boy from Mkuranga self claim as an Arsenal die hard fan (While some Arsenal fanboys saying he is an ARV is disguise) told us Striker Gabriel Jesus not a calibre to play for Arsenal 😂😂😂
He said, "Gabriel Jesus can't even scores a 10+ goals per season". 😂😂
The Reality: He's not playing as a regular starter because he's playing for Man City, out of Man City he's a regular starter. Same to Diogo Jota out of Liverpool he's a regular starter.
Good QuestionHow many teams did Jota fare out as a regular?
Siwezi kuwa na majibu ya kichwani mwa pep lkn naweza kujibu kutokana na mazingira ya football:-@Msurunje unahisi why Guardiola anamtaka Halaand amuache Gabriel Jesus?why anataka kutumia paund za kutosha ampate Haaland wakati ana JESUS?answer me wakati naendelea kufurahia ushindi wa Manchester United ukinipa vivid answer ntakukubali huwa una tabia ya kukimbia arguments wanaume wa football tukiwa tunabadilishana ideas kwa hili usikimbie huyo Fan of Gerrard sijamjibu coz anataka kutuchoresha hana alijualo ni mtoto wa juzi namu ignore
City kuna Mahrez De Bruyne Gundogan Phoden Grealish why JESUS?tena forward?why?
Same situation unahisi why Arsenal inakubali Laca na Nketiah wachape lapa?
Nasubiri jibu lako na ukinijibu kwa ufasaha ntaamini you know about football️ na sio mzee wa kufuata upepo wenzio waongee uuungie maada juu kwa juu Msurunje
Mwalimu wa Klopp na Tuchel wapi?Naamini unalia kwa Uchungu muda huu na kumtukana mwalimu wa Klopp na Tuchel.