Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kazi ya arteta sasa ni kujenga squad ya ucl hata asipoingia top 4. Yeye pia ana kazi ya kuimprove mbinu zake na man management yake. Pamoja na kutokumkubali siwezi kusema hajaimprove. Anaimprove kwahiyo ana potential ya kuwa bora zaidi
 

Kazi ya arteta sasa ni kujenga squad ya ucl hata asipoingia top 4. Yeye pia ana kazi ya kuimprove mbinu zake na man management yake. Pamoja na kutokumkubali siwezi kusema hajaimprove. Anaimprove kwahiyo ana potential ya kuwa bora zaidi
Lini Arteta alifanya vibaya kwenye Man management?
 
Lini Arteta alifanya vibaya kwenye Man management?
Sitamzungumzia ozil. Nitasema suala lile ni political,
nisema auba, nilipewa clarifications humu kuwa alikuwa mtovu wa nidhamu kishenzi, solution pekee ikawa ni kumuondoa asiambukize wengine. Safi sana ingawa me naona ni poor man management. Kwa nini waliomtangulia waliweza kudeal na auba wakapata best performances kwake. Afu arteta amshawishi abaki ajenge legacy afu chini ya six months haziivi ? Tunamlaumu auba lakini tunamtetea arteta kwa kukosa leadership qualities za kudeal na top class player mjeuri jeuri. Huyu je angekuwa na pogba pia ingekuwaje? Je yeye uwezo wake ni kudeal na under 25s tu?

Credit where its due, excellent job on xhaka.

Nije kwa pepe. Great talent wasting away. Na bado nadhani saliba hamkubali arteta kwa sababu sidhani kama amemmanaje au kumpa imani kuwa anaweza kumtumia.

Kwangu mimi..,besides coaching football tactics, hii ni mifano ya mtu asiye deal vizuri na baadhi ya watu one on one na kuweza kuwaaminisha katika project yake. Naifananisha na kupoteza colleagues wazuri kazini kwa kuwa boss anashindwa kuwaongoza.
 
Tomiyasu is back, technicality inaongezeka kwenye build up, Arteta angemsajili Livramento kama backup kwa Tomiyasu. ukicheza na Cedric & Nuno kwa pamoja muda wote unakuwa underpressure, tumeona juzi vs United
 
Sielewi kinachoendelea hata kwa Jesus japo bora Jesus aisee kidogo height, physical appearance na motion/running/positioning style ni mchezaji.

Tammy Abraham sio mchezaji wa kucheza Arsenal hana hiyo quality na tayari alishindwa kuprove Premier League.

Tammy Abraham × Lukaku × Zaha × Depay × Di Maria × Martial × Nicolas Pepe × Renato Sanchez = Farmers Leagues / Small Teams Players
Toa di Maria hapo, kathibitisha thamani yake madrid kule.
Renato bado nina IMANI nae ni mchezaji mzuri.
 
Mshawishini Boby Firmino aje Arsenal najua uwezo wake kwa sasa umepungua lakini anaweza kuongeza Uzoefu kwenye kikosi na kuwasaidia madogo namna ya kuhandle big Matches.
 
Sitamzungumzia ozil. Nitasema suala lile ni political,
nisema auba, nilipewa clarifications humu kuwa alikuwa mtovu wa nidhamu kishenzi, solution pekee ikawa ni kumuondoa asiambukize wengine. Safi sana ingawa me naona ni poor man management. Kwa nini waliomtangulia waliweza kudeal na auba wakapata best performances kwake. Afu arteta amshawishi abaki ajenge legacy afu chini ya six months haziivi ? Tunamlaumu auba lakini tunamtetea arteta kwa kukosa leadership qualities za kudeal na top class player mjeuri jeuri. Huyu je angekuwa na pogba pia ingekuwaje? Je yeye uwezo wake ni kudeal na under 25s tu?

Credit where its due, excellent job on xhaka.

Nije kwa pepe. Great talent wasting away. Na bado nadhani saliba hamkubali arteta kwa sababu sidhani kama amemmanaje au kumpa imani kuwa anaweza kumtumia.

Kwangu mimi..,besides coaching football tactics, hii ni mifano ya mtu asiye deal vizuri na baadhi ya watu one on one na kuweza kuwaaminisha katika project yake. Naifananisha na kupoteza colleagues wazuri kazini kwa kuwa boss anashindwa kuwaongoza.
Yes! Auba ni mchezaji mkubwa sana na muhimu kwenye kikosi chetu,mkataba wake ulikaribia kuisha kipindi flani hivi na Arteta as a Manager alifanya juhudi za kuongeza mkataba wake kwa ofa kubwa zaidi na mshahara mkubwa zaidi......No doubt alifanya vile akitambua umuhimu wake ndani ya timu

With unexpected event,Auba akakosa confidence ndani ya uwanja,akakosa utulivu mbele ya goal,na mbaya zaidi akawa abiria ndani ya pitch na maneno yakawa mengi zaidi juu yake na Arteta wala hakujali hilo kila mechi lazima acheze Ila sisi mashabiki huwa hatuna uvumilivu kwa underperforming player

Kilichotokea kwa Auba ni mfululizo wa matukio ya kinidhamu juu yake na wala hakuwa tayari kuachana nayo......ni tabia ambayo wachezaji wengi wenye asili ya France kuwa na jeuri sana....the likes of Ousmane Dembele,Paul Labile Pogba and etc

As a Young Manager unaelewa kwann alipush kuondoka kwa Auba pale Arsenal,Auba ni senior player ndani dressing room pia ni Captain wa timu yenye a lot of Young player who are willing to learn from him,wale watoto alikuwa anawafundisha kitu gani zaidi ya tabia mbaya kwa watoto

Naelewa unampenda sana Auba ila kuna hatua ikifika lazima uachane nae ili kirusi chake kisisambae ndani ya miili ya vijana wadogo walio bright future ahead

Arsenal ilikuwepo kabla hata huyo Auba hajazaliwa ,mpaka sasa ipo na itaendelea kuwepo hata baada ya Auba kufariki.....kwahyo yeye sio bora kuliko timu yetu na ndio anayewafanya Arteta aonekane hajui Man Management,Are you serious?
 
Yes! Auba ni mchezaji mkubwa sana na muhimu kwenye kikosi chetu,mkataba wake ulikaribia kuisha kipindi flani hivi na Arteta as a Manager alifanya juhudi za kuongeza mkataba wake kwa ofa kubwa zaidi na mshahara mkubwa zaidi......No doubt alifanya vile akitambua umuhimu wake ndani ya timu

With unexpected event,Auba akakosa confidence ndani ya uwanja,akakosa utulivu mbele ya goal,na mbaya zaidi akawa abiria ndani ya pitch na maneno yakawa mengi zaidi juu yake na Arteta wala hakujali hilo kila mechi lazima acheze Ila sisi mashabiki huwa hatuna uvumilivu kwa underperforming player

Kilichotokea kwa Auba ni mfululizo wa matukio ya kinidhamu juu yake na wala hakuwa tayari kuachana nayo......ni tabia ambayo wachezaji wengi wenye asili ya France kuwa na jeuri sana....the likes of Ousmane Dembele,Paul Labile Pogba and etc

As a Young Manager unaelewa kwann alipush kuondoka kwa Auba pale Arsenal,Auba ni senior player ndani dressing room pia ni Captain wa timu yenye a lot of Young player who are willing to learn from him,wale watoto alikuwa anawafundisha kitu gani zaidi ya tabia mbaya kwa watoto

Naelewa unampenda sana Auba ila kuna hatua ikifika lazima uachane nae ili kirusi chake kisisambae ndani ya miili ya vijana wadogo walio bright future ahead

Arsenal ilikuwepo kabla hata huyo Auba hajazaliwa ,mpaka sasa ipo na itaendelea kuwepo hata baada ya Auba kufariki.....kwahyo yeye sio bora kuliko timu yetu na ndio anayewafanya Arteta aonekane hajui Man Management,Are you serious?
mpaka anaonndoka alikuwa liability kubwa sana kwenye timu
 
Sitamzungumzia ozil. Nitasema suala lile ni political,
nisema auba, nilipewa clarifications humu kuwa alikuwa mtovu wa nidhamu kishenzi, solution pekee ikawa ni kumuondoa asiambukize wengine. Safi sana ingawa me naona ni poor man management. Kwa nini waliomtangulia waliweza kudeal na auba wakapata best performances kwake. Afu arteta amshawishi abaki ajenge legacy afu chini ya six months haziivi ? Tunamlaumu auba lakini tunamtetea arteta kwa kukosa leadership qualities za kudeal na top class player mjeuri jeuri. Huyu je angekuwa na pogba pia ingekuwaje? Je yeye uwezo wake ni kudeal na under 25s tu?

Credit where its due, excellent job on xhaka.

Nije kwa pepe. Great talent wasting away. Na bado nadhani saliba hamkubali arteta kwa sababu sidhani kama amemmanaje au kumpa imani kuwa anaweza kumtumia.

Kwangu mimi..,besides coaching football tactics, hii ni mifano ya mtu asiye deal vizuri na baadhi ya watu one on one na kuweza kuwaaminisha katika project yake. Naifananisha na kupoteza colleagues wazuri kazini kwa kuwa boss anashindwa kuwaongoza.
Umewahi kuwa kiongozi!!?? Chukulia wewe ni kiongozi ambae wote walio chini yako wanatakiwa kukusikiliza na kufanya kile unachowaelekeza alafu akatokea mmoja kati ya unaowaongoza anaenenda tofauti na kila ukimuonya bado habadiliki je utachukua uamuzi/hatua gani?
 
Umewahi kuwa kiongozi!!?? Chukulia wewe ni kiongozi ambae wote walio chini yako wanatakiwa kukusikiliza na kufanya kile unachowaelekeza alafu akatokea mmoja kati ya unaowaongoza anaenenda tofauti na kila ukimuonya bado habadiliki je utachukua uamuzi/hatua gani?
Daah. Good point. Yes nimewahi. Nimeshawahi kumtimua samaki aliyeoza na tukamaliza project. Baadae nikaona kuwa yule angebaki tungeperform vizuri zaidi iwapo angetoa ushirikano. Wakati mwingine tulienda tu na msumbufu project ikaisha hivyo hivyo, ila nikatamani ningekuwa nimemtoa mapema maana kuna vitu alifanya atakavyo na siyo nilivyotaka. Mwishowe sikuipenda kazi ila consumers walipenda. Ni ngumu kidogo suala hili na ni changamota ya kawaida kwenye field yangu.
 
Lili Genge la Arteta out toka Apigwe Chelshoga na Manure mbona limepotea? Wanasubiri Arsenal ifungwe sio?
Hahaha hapana bro. Hao watakuwa wachawi. Kila fan anapenda ushindi. Tukikosa ushindi especially kwa sababu hatuoni matumaini mema, then tutataka aondoke. Akishinda na akaendelea kushinda tena na tena, mataji akaleta, tumtake aondoke aende wapi?
 
Kila manager ana wachezaji ambao anaweza kuwatumia katika project mkuu....Huyo Pepe na Saliba hata kama ni wazuri kiasi gani ila kama hawa fit kwenye mfumo wake basis hawana maana mkuu

Kocha hawezi kufanya kazi ya kubadilisha aina ya uchezaji wa kila player ila anachofanya ni kumuongozea skills kwenye mfumo wake tu.

Kila Underperfomer kwenye mfumo wa Mikel anapaswa kuondoka na ndio kila Manager bora ana sifa hiyo duniani

Xhaka anaweza kufanya kosa ila kesho yake akaomba msamaha,ila hilo halijawahi kutokea kwa Auba japokuwa na makosa yake yote ndani ya club

#Arteta out Bandwagon and #Arteta out Brigade......itabidi mtafute mtu mwingine wa kumpa lawana juu ya kipenzi chenu Auba na ndio mnajificha kwenye kivuli cha flop players wengine kama kina Pepe eti kwa kushindwa kuwamanage
ok.
 
Umeona kuwa sijatumia mfano wa auba tu? Pepe na saliba?
Upo serious kabisa? Kwani Arteta ana tatizo na Pepe au saliba?

Kuhusu Auba wadau wameshakujibu


Kuhusu saliba ,Sio Arteta tu, bench lote la ufundi lilikubaliana kijana hajaiva kuingia kwenye mfumo wao wanaoutaka, hivo apelekwe Loan , na afatiliwe , na mara nyingi Areta amekuwa akisema yupo kwenye mipango msimu ujao,

Kumbuka Huyu hakusajiriwa na Arteta ,hivo ni kawaida kutofit kwenye mfumo wake

Swala la Pepe mbona Hana tatizo na Arteta, kilichotokea Pepe aliaminiwa cha ajabu kapigwa Gape na Saka ,

Ulitaka Arteta afanye nn kwa Pepe?

Mchezaji akikosa tu nafasi tayari mnasema ana ugomvi na Kocha..

Pepe ni inconsistency player, na anaenda kuwekwa sokon ,

Unamlaumu vipi Arteta wakat huyu alisajiriwa na genge la kina Raul sanheil, wakapiga hela,

Arteta kafanya vingi sana kwa Pepe,kampa nafas sana, but bukayo Saka amekuwa na impact kubwa kuliko Pepe

Binafssi nampenda Pepe ila siwezi kuleta mahaba , kisa hapangwi, wakati Saka anatusaidia ,ana consnstency
 
Kwangu mimi..,besides coaching football tactics, hii ni mifano ya mtu asiye deal vizuri na baadhi ya watu one on one na kuweza kuwaaminisha katika project yake. Naifananisha na kupoteza colleagues wazuri kazini kwa kuwa boss anashindwa kuwaongoza.
Kama unamuona Arteta Hana management basi hata pep Hana management ,

Arteta na pep wanaendana kwenye management ya wachezaji hawana mzaha kabisa , hawana staa mkubwa kuliko timu ,ndio principle yao

Unaona kinachotokea hata kwa Laca now?

Ameenda kuongea kwenye media badala afocus na timu, atachezea bench kidogo akili imrudi

Siku zote hakuna staa kuliko timu

Unaona pale Liverpool , salah anawapigia kelele za kutaka mshahara mkubwa, lkn klopp hanashida maana anajua Staa ni Kocha , hivo ndio timu inatakiwa iwe,
 
unawapa 1v1 coaching ya finishing, dribbling, whatever the case. Yote hayo unaweza fanya kama unaushawishi kwa mchezaji wako na anaimani na project yako. Ukishindwa, hiyo inaitwa poor man management.
Kama definition yako ya poor management ndiyo hii basi upo sahihi , na hakuna Kocha basi mwenye management Bora duniani

Unadhan kwann Pep hafanyi kazi na Kila mchezaji ? Kwann asiwape hiyo 1v1 ya finishing,dribbling,n.k

Au unadhan kwann ilibidi klopp aachane na mwanae Karius akamnunue Allison , ?

Usajiri wa Pepe ni sawa na sajiri zinazofanyika man u, alisajiriwa kipindi Cha unai emery, kipindi ambacho hakuna proper structure ,

Na Emery mwenyewe anakiri alimtaka Zaha, ila kina Raul wakampiga Stan wakamnunua Pepe £72m jumla na udalali ikafika £100m

Makocha wote wazuri Kwanza ana define structure yake yakiuchezaji, anaanza kuweka wachezaji wanaoingia kwenye mfumo tu, ndicho wanachokifanya kina Klopp ,pep , unamuona yule Luis Diaz ,yule hawajaangalia jina , yule kaletwa sababu anafiti kwenye structure yao ya kiuchezaji
 
West Ham will have no senior centre-backs available against Arsenal this weekend. 😲

Craig Dawson will be suspended while Angelo Ogbonna, Kurt Zouma and Issa Diop are all out injured. 🏥

IMG_20220425_190813.jpg
 
Back
Top Bottom