computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
We fala nakuonya mimi sio size yako PERIOD!Oya vipi tena??? Mbona unaanza kuni-quote na maujinga yako?? Unataka mashambulizi yaanze ili uniripoti nipigwe ban tena sio??
We fala nakuonya mimi sio size yako PERIOD!Oya vipi tena??? Mbona unaanza kuni-quote na maujinga yako?? Unataka mashambulizi yaanze ili uniripoti nipigwe ban tena sio??
Baadhi ya fans ndio wamekuripoti mimi nihangaike na wewe idiot ili iweje?
Let's wait and see na kuna siku ntakukumbusha kuhusiana na hili Mark my words na pia congratulations kwa kuipenda our team Arsenal![]()
Unaongelea only April?kwani kaanza kuchezea Manchester City April?Gabriel yupo Manchester City since 2017 ,unamkumbuka Calvert lewin?because April kascore unataka kumaanisha nini?kuna kipindi players wanakuwaga na upepo mzuri au mbaya bro relax bro unamkumbuka Chamack?alivyoingia EPL uliona moto wake?Yani Ndani ya huu Mwezi wa 4 tu basi tayari Gabriel Jesus ameshakuprove wrong.
Leo pia amebandika huko
Achana na mimi bwege wewe.We fala nakuonya mimi sio size yako PERIOD!
Kitembeze mbeleee. Nenda ukashtaki tena wewe si unajifanya unajua. Nini kulialia kwa mods sasa???Baadhi ya fans ndio wamekuripoti mimi nihangaike na wewe idiot ili iweje?
Nakupa LAST WARNINGAchana na mimi bwege wewe.
we fala kabla LAST WARNING 
Fvck offNakupa LAST WARNINGwe fala kabla LAST WARNING
![]()
🖕We binti una matatizo ya kutofikishwa unaniletea mimi gubu juu ya gubu I am telling you hao mods unasema niliongea nao ili iweje sasa?why unataka kulazimisha ufool wako uwe wangu
Una gubu sana ukitatua tatizo lako utaacha gubu
Inafikisha sana...Ninyi machalii hamuishi kutukanana aise, embu rudisheni nidhamu na maudhui ya uzi hili ni jukwaa huru lakini sio uhuru huo mnaomaanisha sasa.
Kaisikilize tena Press aliyofanya na hao Epsn Brazil kabla mech na man u Emirates stadium,Edu anakwambia tunahitaji mchezaji mmoja au wawili huu ni uchizi ukizingatia tunahitaji experienced signings angalau 4 kisha zije back up 2 au 3. Lakini jamaa anakuambia ". . . mchezaji 1 au 2"
Wengi ile press hawakuielewa , ila baadae ESPN waliiweka sawaEdu anakwambia tunahitaji mchezaji mmoja au wawili huu ni uchizi ukizingatia tunahitaji experienced signings angalau 4 kisha zije back up 2 au 3. Lakini jamaa anakuambia ". . . mchezaji 1 au 2"
Wanamkataa wakati Anaondoka nketiah na Laca , na klabu inaleta. . upgrade mbili za hao watu, ni dhahiri , replacement ya Nketiah ni Jesus, ya Laca ndio hao kina Nunez, Tammy,n.kGabriel Jesus will be a perfect fit for Arsenal.. Kuna watu hata tukimsajili Messi watasema tumesajili mzee.. Mimi namkubali sana yule Mwamba
£25m-35m kwa Jesus ni pesa nyingi?kuna haja ya kujicommit kwake kiasi cha kutoa pesa nyingi hivyo?
Nunez aje kuchezea utopolo wenu? Kuwa serious basiWanamkataa wakati Anaondoka nketiah na Laca , na klabu inaleta. . upgrade mbili za hao watu, ni dhahiri , replacement ya Nketiah ni Jesus, ya Laca ndio hao kina Nunez, Tammy,n.k