Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ivi sisi arse8 tulikubaliana tumtoe Chelsea nafasi ya tatu ..imekiwaje tena tunaenda nje ya makubaliano yetu?
Au Kuna mamluki humu wanaemda kutowa Siri za Kambi.!!
Ebwana wee maake apo ncheke kwanza 😂😂😂😂
 
Hata msipofaulu top 4 bado mna timu nzuri ya kesho na keshokutwa katika kukua
So much young talents nafikiri kuzidi timu nyingi za EPL tatizo tu wakishajulikana wanauzwa
  1. Saka 20yo
  2. Martineli 20yo
  3. Tavares 20yo
  4. Rowe 21yo
  5. Nketiah 22yo
  6. Sambi Lokonga 22yo
  7. Tomiyasu 23yo
  8. Odegaard 23yo
  9. Ramsdale 23yo
  10. Tienrney 24yo
  11. Benwhite 24yo
  12. Gabriel 24yo
 
Hata msipofaulu top 4 bado mna timu nzuri ya kesho na keshokutwa katika kukua
So much young talents nafikiri kuzidi timu nyingi za EPL tatizo tu wakishajulikana wanauzwa
  1. Saka 20yo
  2. Martineli 20yo
  3. Tavares 20yo
  4. Rowe 21yo
  5. Nketiah 22yo
  6. Sambi Lokonga 22yo
  7. Tomiyasu 23yo
  8. Odegaard 23yo
  9. Ramsdale 23yo
  10. Tienrney 24yo
  11. Benwhite 24yo
  12. Gabriel 24yo

Hapo sisi tunamsubiri Martineli naona Klopp aliwahi kumzungumzia mara kadhaa
 
Back
Top Bottom