Tunaendeleza hizo 6 kwa ArsenyetoWenazko tulipata 6 kwa soton
Swaumu kaliWachezaji wagonjwa![]()

Mitano tena kwa artetaArteta ni kocha mzuri apewe muda.
Swaumu kali na bado wachezaji wanapiga nyetoSwaumu kali![]()
Hapo bado hawajacheza na Chelsea, em fikiria hayo machekesho yake baada ya kufungwa na chelsea.Huu uzi unachekesha ngoja niweke kambi nipate vibwagizo zaidi 😂😆
Hahaha!! ngoja niandae vibonzo vyangu kabisa kwa ajili ya gemu na Chelsea nije kuchangamsha thread maana wenyewe wamekimbia uzi hakuna uchambuzi wala habari za Arteta kuupiga mwingi mazoezini.Hapo bado hawajacheza na Chelsea, em fikiria hayo machekesho yake baada ya kufungwa na chelsea.
Waende wakachambue maharage sasa.Kuna vijana huwa naona wanachambua chambua vitu humu...anyway mtajijua wenyewe na litimu lenu la hovyo
.Hivi super Tommisayu yuko wapi sijamuona kitambo kwenye kosi letu ?
Papaa Gx , nyie si mliamua kumchukua LukazigoOya wazee nimewawekea video ya mwamba muone anavyopiga role ya false #9 kama Mikel Arteta anavyohitaji, Mafans yasiyojua mpira yanaongea utumbo sababu anacheza Brentford. Compare him to lacazette if you wish but Ivan Toney is a complete striker. Hii ni game ya jana vs West ham.View attachment 2184164
Sawaa mkuu😅😅😅😅Ninachojua top 4 tunaingia
Save it
#COYG
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆YAANI NIPIGWE BAN KWA UJINGA WA ARTETA.![]()
Watu wamekula kichapo cha mbwa Koko wako wanajikanda na maji ya moto nyumbani kwao kupoza manundu ....unataka Tena waje kufanya uchambuziUchambuzi tunafanya saa ngapi mana muda unaenda huu