Aser8 akicheza mashabiki wake duniani kote wanapita mtaani na kanga moja imelowa maji huku wanatingisha wowowo, wakisema chukua yote


kila timu umetengeneza kibwagizo chake sio?Unasema kitu kulingana na form uliyonayo hii haina ubishi kwa hizi mechi tatu tumekuwa na form mbaya hasa baada ya kuwakosa wachezaji wetu muhimu. Japo hakuna shabiki wa mpira anapenda kuona timu yake ikiwa kwenye form lkn haiondoi uhalisia wa footballRaha ya mpira ndiyo hii si unaona sasa mwenyewe muda umefika unaona ulichokuwa unabisha ndiyo uhalisia.![]()
Uende top four kufanya nini?Hata tukuingia top 4 bado kuna kazi kubwa ya kutengeneza timu yenye ushindani
At least hiki kipigo kitawatuliza humu.
yani hawa safari hii sijui kiliwapata nini mpaka wakasema wanataka top 4 wakati miaka yote ya karibuni wanataka top 6 bila keleleUende top four kufanya nini?
Team yako mbovu nashangaa unavyokuja kusumbua kwenye uzi za team zingineSame old shit au siyo?
Pumbavu