Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,396
Lots of bookable offences ignored
[emoji16] dahArsenal tunachukiwa na kila timu, Arsenal ni lijitu flani hivi likubwaaaa sleeping giant wanaogopa likiamka itakuaje, anachukiwa Mikel Arteta sababu anataka kuliamsha hili dude [emoji16]
Nawakumbusha kuwa list bado inaendelea.Nyie hamna uwezo wa kufuzu UCL [emoji23]
Aston Villa
C. Palace
Brighton
Southampton
Chelsea
Man. United
West Ham
SAY THAT AGAIN [emoji23][emoji23][emoji23]None of them is a threat, the only threat are the two top teams (City and Liverpool)
Raha ya mpira ndiyo hii si unaona sasa mwenyewe muda umefika unaona ulichokuwa unabisha ndiyo uhalisia. [emoji23]Hapa hakuna timu ya kututisha, chelsea wangekuwa na speed wangeweza lkn hawana speed ya kuufikia mpira km liver hivyo kutufunga ni bahati nasibu
Huyu ndio kocha bora dunia nzima.Arteta ni kocha wa hivyo kuwahi kutokea katika sayari hii
Just a month ago!!!None of them is a threat, the only threat are the two top teams (City and Liverpool)
Kulia kupokezana.unabisha huna chuki na umeacha mambo yako uje kubishana ishu za Arsenal humu, mind your bzness yaani fuatilia timu yako. Mambo ya kushindanisha timu watu wazima tushaacha tunaangalia mpira kama Entertainment. Huo ushamba mmebaki nao Cheltako. Yaani Chelsea apoteze game nije kupigizana kelele kisa kafungwa, nimekosa kazi ?