Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu, sitaki kusound arrogant ila fanbase yetu bado sana kuelewa football technical-wise, naweza kuonesha comment yangu wakati mechi inaendelea na comment ya Mikel Arteta in a post match conference uone nachokiona mimi na kwanini nasema viera hakuwa na maajabu yoyote. Ukiangalia football kwa final result hutokuja kuelewa mpira kamwe na ndio ishu inakupata wewe ndugu leo unataka timu kesho, unasifia timu.
as i wrote early, yesterday defeat was very embarrasing, let's bring our emotions down before we ignite anger. tuongelee udhaifu na strength zetu. haipendezi tuwe mfano mbaya kwenye uzi wetu kwamba tukifungwa, wenyewe kwa wenyewe tuanzisha ligi yetu
 
Yan bora Chelsea wangeshinda tu,
Maana wamemtafutia matatizo crystal palace,
Tobo la kuingia top 4 tunaliona hili hapa alafu sijui nani tunakutana nae!!!

Mniga partey, xhaka, odegard, saka, martinel

Sipatii picha jinsi Watakavyo chafukwa
Kwambaaa😂😂😂
 
Kufungwa kwa chelsea
Ushindi huu wa spurs

Naona kama wamemtafutia matatizo patric V
Yan partey, saka, odegard, martinel, xhaka, waambiwe tumeshushwa top 4, kwaio tunahitaji ushindi wa damu, machozi na jasho
Sidhani kama kutakua na usalama


Jini letu kama kawida lipo pale golin. Ata inzi hapita
😂😂😂😂😂
 
uwa natofautiana naye when claims that he sees what don't see in football.
Will Jr anaangalia mechi chache za timu zingine kisha anarely kwenye stats.

Hiyo ndiyo assumption yangu.

Waweza kuta anasisitiza kitu ukimuuliza analeta stats ukimuuliza mbona hivi iko hivi hapo jibu atakosa ndo mtakutana siku nyingine.
 
Poleni Gunners wenzangu. This was the most humbling experience of the season for us. Sasa kazi inaanza. Tutarespond vipi?
 
An endless cycle of praise and resentment towards Mikel Arteta.
Kuna muda saa mbovu huwa inasema ukweli, na hili ndo linaikumba Arsenal.
Hii issue ilitukuta Man U tulipokuwa na Solskjaer, kuna muda timu ina perform na inapata ushindi lkn deep down unajua hapa hatuna kocha.
Although Arteta is better than Solskjaer, siyo top coach. Hana calibre ya ku compete at the highest level kama elite coaches kina TT, JK, AC
How can you bottle the chances za kuingia Top 4, when it matters most???
Aisee Arteta ni Upgrade ya Ole😂
 
as i wrote early, yesterday defeat was very embarrasing, let's bring our emotions down before we ignite anger. tuongelee udhaifu na strength zetu. haipendezi tuwe mfano mbaya kwenye uzi wetu kwamba tukifungwa, wenyewe kwa wenyewe tuanzisha ligi yetu
I was very sceptical jana yote, ndio maana nilikuuliza unaona mechi itakuwaje! Nikiwaza jinsi Vieira alivyomsimamisha man city na kupata 4points kwake, sisi lazima tungechezea tu!!
 
Yan Arsenal kupoteza game ya jana, maneno yanayosemwa utazan ndo game ya kwanza tumefungwa toka ligi inaanza, ila hii inaonyesha ni kwanamna gan unapokua bora unapata maadui wengi sana tofauti na mwanzo ilivyokua
 
Back
Top Bottom