Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Aaron Ramsdale in FourFourTwo:

"It wasn’t Mikel Arteta, to be honest – it was Bukayo!

I heard rumours that Arsenal were interested in me when I was at the camp before the Euros, and Bukayo had mentioned that he and the boss had been talking about me.
1648854715339.png
 
Yan bora Chelsea wangeshinda tu,
Maana wamemtafutia matatizo crystal palace,
Tobo la kuingia top 4 tunaliona hili hapa alafu sijui nani tunakutana nae!!!

Mniga partey, xhaka, odegard, saka, martinel

Sipatii picha jinsi Watakavyo chafukwa
Mkuu sisi wote ni Arsenal fans punguza mdomo hao Crystal Palace bila Lacazete kuscore katika injury time Emirates pale tuisngepata point Crystal Palace tena home ground ni timu kali sana kwa sasa we need to win angalau 8 games katika 10 games zilizobakia haya maneno ya kujigamba hayana faida timu yetu kuna muda inakuwa vizuri sometimes no let's wait and enjoy the game bro
 
Mkuu sisi wote ni Arsenal fans punguza mdomo hao Crystal Palace bila Lacazete kuscore katika injury time Emirates pale tuisngepata point Crystal Palace tena home ground ni timu kali sana kwa sasa we need to win angalau 8 games katika 10 games zilizobakia haya maneno ya kujigamba hayana faida timu yetu kuna muda inakuwa vizuri sometimes no let's wait and enjoy the game bro

Hapa ndio unajichanganyaga na kuanza kushambuliwa, Lacazette sio mchezaji wa Arsenal? Goli lilifungwa nje ya dakika 90 za mpira?
One thing good about our team in recent days, Even when we play a bad game, the results are there.
 
Hapa ndio unajichanganyaga na kuanza kushambuliwa, Lacazette sio mchezaji wa Arsenal? Goli lilifungwa nje ya dakika 90 za mpira?
One thing good about our team in recent days, Even when we play a bad game, the results are there.
Huyu jamaa alisema hatuwezi ku secure on top 4.

Anaona probability ya ku secure top 4 imeongezeka kutokana na Rivals kufanya vibaya tayari anaanza ku justify vitu vya ajabu.
 
Mkuu sisi wote ni Arsenal fans punguza mdomo hao Crystal Palace bila Lacazete kuscore katika injury time Emirates pale tuisngepata point Crystal Palace tena home ground ni timu kali sana kwa sasa we need to win angalau 8 games katika 10 games zilizobakia haya maneno ya kujigamba hayana faida timu yetu kuna muda inakuwa vizuri sometimes no let's wait and enjoy the game bro
I hate your engagement in Arsenal issues..... Am Arsenal fan not because of trophies and medals ila ni sehemu ambayo nikijitafuta nakuta Moyo na mapenzi yalipo iwe kwa mwenendo wake mbaya au mzuri and others are just bonus for trusting this wonderful team in the world

If you are standing against this notion,You have to leave this team and find another team suitable for you

computerarsenal nimegundua hii sio timu special kwa ajili yako,unajiumiuza tu mkuu
 
Mkuu sisi wote ni Arsenal fans punguza mdomo hao Crystal Palace bila Lacazete kuscore katika injury time Emirates pale tuisngepata point Crystal Palace tena home ground ni timu kali sana kwa sasa we need to win angalau 8 games katika 10 games zilizobakia haya maneno ya kujigamba hayana faida timu yetu kuna muda inakuwa vizuri sometimes no let's wait and enjoy the game bro
Acha nidhamu ya uoga
Kesho anapelekewa moto hivyo hivyo na ugumu wake. Vijana wa arteta wamewaka
 
Pepe aliuliwa swali na mwandishi wa habari ni kwanini hapati nafasi ya kucheza mara kwa mara?
Jibu lake

Kocha arteta aliniambia timu inaposhida hawezi kubadilisha wachezaji ninachotakiwa kufanya ni kubambana mazoezini ili upate nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza..na ndicho ninacho fanya kwa sasa najibidiisha mazoezini ili kumshawishi kocha...
 
Yan bora Chelsea wangeshinda tu,
Maana wamemtafutia matatizo crystal palace,
Tobo la kuingia top 4 tunaliona hili hapa alafu sijui nani tunakutana nae!!!

Mniga partey, xhaka, odegard, saka, martinel

Sipatii picha jinsi Watakavyo chafukwa
Sawa.
 
Mkuu sisi wote ni Arsenal fans punguza mdomo hao Crystal Palace bila Lacazete kuscore katika injury time Emirates pale tuisngepata point Crystal Palace tena home ground ni timu kali sana kwa sasa we need to win angalau 8 games katika 10 games zilizobakia haya maneno ya kujigamba hayana faida timu yetu kuna muda inakuwa vizuri sometimes no let's wait and enjoy the game bro
Bora umeliona Hilo mwache atambee,Hajui palace ndiyo iliyo mpunguzia City point.Na ilimbana home and away.
 
Comparing Sancho to Bukayo Saka should be treated as a criminal offense. Bukayo Saka is clear.
Best man are comparing with weak man! Why Sancho???
Compare Saka with Sterling please. Don't you see Mount?.
Phil foden
 
Beating Leicester home and away is not for commercial clubs.
What is it about beating gunners home and away? Stop giving hope yourself with weak team please.
Liverpool beat you home and away.
 
Back
Top Bottom