Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Spurs vs Newcastle nice match to Watch, Spurs kept at bay
It is not over, but I said it. 0-1
His English is so freak.I like your English, keep it up utatoboa

His English is so freak.
I like the way he underline the words.![]()


amusements.Hawa jamaa nina wasiwasi nao wana trend nzuri sana Arsenal kwa sasa ni kushinda mechi angalau 8 out of 10 zilizobakia mpaka sasa wana goli 4Up to now, Spurs snatch fourth spot
FACT ulikuwa sahihi na game yake ngumu ni vs Liverpool ila remain games zake sio ngumu ukitoa Vs Arsenal ambayo itaamua top 4 (wote wapo kwenye mizani sawa)Ile siku united anacheza na spurs na akashinda united nikasema ni bora ameshinda kwakua spurs ana fixture nyepesi kuliko westham wala united.
Namna pekee atazingua ni ile kwamba spurs finds a way to be spurs
FACT ulikuwa sahihi na game yake ngumu ni vs Liverpool ila remain games zake sio ngumu ukitoa Vs Arsenal ambayo itaamua top 4 (wote wapo kwenye mizani sawa)
Matokeo ya spurs yanatoa sababu ya Arsenal kufosi ushindi kesho
That's why nasemaga May 22 ndio ntaongea baada ya msimu kuisha kwa sasa Msimu bado kabisa mtu kujitamba tuna Spurs West Ham Chelsea (zote away)Don’t underrate teams in the relagation territory, with reference to what happened yesterday to chelsea.
Tough games ahead of us are; man United, chelsea, Spurs and westham
That's why nasemaga May 22 ndio ntaongea baada ya msimu kuisha kwa sasa Msimu bado kabisa mtu kujitamba tuna Spurs West Ham Chelsea (zote away)
Kufungwa kwa chelsea
Ushindi huu wa spurs
Naona kama wamemtafutia matatizo patric V
Yan partey, saka, odegard, martinel, xhaka, waambiwe tumeshushwa top 4, kwaio tunahitaji ushindi wa damu, machozi na jasho
Sidhani kama kutakua na usalama
Jini letu kama kawida lipo pale golin. Ata inzi hapita
He is backSo far we have one injury- Ramsdale but I trust Leno considering that he is looking for team to take him after this season, thus displaying his prowess