ivan1212
JF-Expert Member
- Mar 4, 2019
- 937
- 2,459
Leo meza imekuwa nzito mnoWazee wa kupindua mgongo hawa, na leo wamepindua vizuri kwelikweli![]()
Leo meza imekuwa nzito mnoWazee wa kupindua mgongo hawa, na leo wamepindua vizuri kwelikweli![]()
vp bado ni rahaLitimu la mpira, likocha la mpira, kushabikia Arsenal ya Mikel Arteta raha sana.View attachment 2172174






3 bila sema ivi mlikua mnafanyaj uwanjanHuyu kocha naye anashare shule na Rangnickelodion.
Beki wako kaumia, una Holding nje kwanini usicheze back 3?
Ramsdale katoka majeruhi unamuanzisha wa kazi gani?
Martinelli yuko fit na last game Emile alianza akaonyesha kabisa akianza anakua hovyo.
Hii timu ina ule ujinga wa ikifika stage inahitajika points ndiyo kocha atataka kutest mambo yake, wachezaji wataanza ujinga wa rafu na kadi yaani ili mradi tu.
Na kwanini tumefungwa goli 3? Si bora chelsea kafungwa 4 namba inagawanyika kwa 3.








Kwa kutumia uzoefu wa kubet sijajua, sababu kuna vijifactor vingi huwa navizingatia.Tuna games na Chelsea, Spurs, ManU na West ham. Niambie hizo games ni wapi tutatoka. Coz Spurs and Westham will smash us..!!
dhisi ze championnnzzz dhis ze championnzzzzzzMbona babako anakalishwa pia
123 imba
kwanin mfungwe tatu na shda sio 3 n io bilaBongo kuna vituko sana, jitu lipo vichochoroni linasubiri timu ifungwe lije liprove a point, ndio unakuta jiwe alikuwa anapiga risasi mbwa kama hizi.












Hahhahaha😂😂😂 mmaake ngoja ncheke kwanza.Baadhi ya fans kama nyie mkiambiwa mpunguze mdomo mnaishia kukashfu watu
Maake ngoja ncheke kwanza 😂😂😂Kama Arsenal isipofuzu UEFA, im sure Arteta atasajili DM na habari ya Partey itakuwa imeishia hapo asubiri rotation kama kina Elneny.




Wazee wa "Sasa inama embu pinda mugongo😂😂😂😂"Wazee wa kupindua mgongo hawa, na leo wamepindua vizuri kwelikweli![]()
Yameanzana yenyewe kwa yenyewe kutukanana😂😂😂makasiriko ya nin na mmekalia 3![]()
Learn to appreciate, mkuu.Tactical intelligence ipi? Mimi naongea kitu nachokijua, Viera hana maajabu yoyote, wachezaji wetu wana ufather sometimes, unawezaje kucontrol game kama wachezaji hawana calmness? Nafasi ngapi za wazi tumetengeneza tunakosa wao wanafunga?
Arsenal haina kikosi kipana.Trouble starts here, partey injured, Tierney injured, tomayasu injured where do you see Arsenal ?
Kuwa na kumbukumbu basi, kwamba tumefungwa home and away na c.palaceUna mdomo sana na ndio unaoleta Gundu kwa kila kitu kujifanya unajua unasema Vieira hana maajabu?are u seriously?game zote 2 katuwin home and away the same kwa Pep Guardiola Arteta kazidiwa kila kitu na Patrick kwa game hizi 2 always napenda kuongea FACT