Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu mpira sio vita kwamba lazima mtu afe ndo ushinde. Timu yetu imekuwa ikifanya vzr lkn leo hali haikuwa nzuri kabisa na hii huwa inatokea na kufungwa mechi ya leo haina maana kwamba nafasi ya kuingia top 4 itakuwa ngumu kuliko ilivyokuwa mwanzo hapana.

Kipindi cha kwanza ni km vile timu ilikuwa imepigwa dolo yan wachezaji karibia wote walikuwa wazito, nadhan hii inaweza kusababishwa na uchovu au kutotrain kwa pamoja kwa muda katika kipindi cha mechi za timu za taifa na ukizingatia asilimia kubwa ya wachezaji wa kikosi cha kwanza waliitwa timu zao za taifa.

Binafsi japo nimesikitika kupoteza mechi lkn kocha amefanya kila jitihada ili kunusuru kupoteza point lkn ndo hivyo ten a mambo yalikuwa magumu. Nadhani sasa gem inayofuata tunaweza kurudi kwenye mwendelezo wetu wa ushindi na hatimae kujihakikishia top 4.

Lkn pia wakuu tujifunze kuwa na mioyo migumu tusiwe tunaona mapungufu tu pale timu inapofungwa kufungwa kwenye mpira ni suala la kawaida hata kama una kikosi kizuri ndo maana utaona kila timu inafungwa
Ambacho siyo cha kawaida ni jinsi Arsenal inavyokua hovyo katika kushikilia fursa hii tendency imekuepo kwa muda mrefu.

Imagine chini ya Emery tumebakisha mechi tatu tunahitaji points mbili (Au tatu sikumbuki vizuri) ili kuingia namba nne lakini tulikosa.

Sasa jana kudai watu hawajatrain pamoja siyo kweli kocha kikosi alichopanga ni drama tupu, ikiwa Tomiyasu amesubiri for days ili awe sawa completely kwanini haijawa hivyo kwa Ramsdale? Nuno hajawa mzuri sana si angecheza back 3?

White timu ya taifa kacheza RB. Na Soares kashacheza LB mara nyingi tu na Holding yupo, ya nini kurisk points ikiwa alikua na options zote hizi?

Kikosi nacho hakionyeshi desire. Kama vile hawajui nini kitafuata baada ya matokeo ya mechi.
 
Jamani Maxence Melo kuna mtu ananitukana bila sababu jamani ona ananitukania mama yangu kisa Arsenal kafungwa kashindwa hoja anaanzisha matusi tena ya mzazi
Pole sana ndugu yangu.

Huu ni mpira na sisi ni mashabiki na watu tunatofautiana huu utofauti hauhalalishi kutukanana.

Also kua fasta kujua mtu kama hataki kitu.
 
Tactical intelligence ipi? Mimi naongea kitu nachokijua, Viera hana maajabu yoyote, wachezaji wetu wana ufather sometimes, unawezaje kucontrol game kama wachezaji hawana calmness? Nafasi ngapi za wazi tumetengeneza tunakosa wao wanafunga?
Eti Vierra hana maajabu?

Vierra amekusanya 4 points kwa man city.

We umekusanya point ngapi kwa man city?.

Mashabiki wa hiki kitimu bhana.
 
Tactical intelligence ipi? Mimi naongea kitu nachokijua, Viera hana maajabu yoyote, wachezaji wetu wana ufather sometimes, unawezaje kucontrol game kama wachezaji hawana calmness? Nafasi ngapi za wazi tumetengeneza tunakosa wao wanafunga?

Kwamba wewe unajua kuliko wengine, that's being too much mkuu. Vieira angekuwa hana maajabu basi Jana tungemfunga, I heard commentary wao wenyewe walisema Vieira had outsmarted Arteta especially in the middle. Sasa wewe unayejua sana una evidence zipi.

First half sikuangalia, lakini second half we had the ball and didn't create clear cut chances.
 
Jamani Maxence Melo kuna mtu ananitukana bila sababu jamani ona ananitukania mama yangu kisa Arsenal kafungwa kashindwa hoja anaanzisha matusi tena ya mzazi
Ameshindwa hoja anaanza kutukania wazazi, that's being very stupid, hasa katika mambo ya mpira. Akikasirika aende kulala huko, kwani kuna aliyefurahi kupoteza mechi ya jana.

Will Jr aje aombe radhi arsenal community, we do not insult each other. Tukishindwa hoja tunatulia.
 
Pole sana ndugu yangu.

Huu ni mpira na sisi ni mashabiki na watu tunatofautiana huu utofauti hauhalalishi kutukanana.

Also kua fasta kujua mtu kama hataki kitu.
Hakuna aliyefurahia Arsenal kupoteza game vs Crystal Palace yesterday sababu ilikuwa ni game ambayo asilimia 70 tuliamini tutapata something ila Arsenal yetu haijawahi kubadilika pale kwenye game ambazo ni serious lazima tupoteze points for more than 5 years hii tabia haijawahi kubadilika kuanzia kwa Emery Arteta hata babu Wenger but mtu anakosa hoja anakuja kukutukania mzazi haiwezekani bana
 
Oya nyinyi Vieira kaanza vizuri. Kuna namna timu yake inacheza na unaona wanachokosa ni finisher.

Usimpime kwa game yetu pekee angalia akicheza na timu zote.
 
Eti Vierra hana maajabu?

Vierra amekusanya 4 points kwa man city.

We umekusanya point ngapi kwa man city?.

Mashabiki wa hiki kitimu bhana.
Hiki cha kuchukua points ngapi kwa fulani wala siyo kipimo sahihi we kinega.

Arteta kachukua points ngapi kwa West Brom? Tuchel?

Arteta kachukua points ngapi kwa Watford? Tuchel?

Tupime uwezo wa kocha kwa namna kaibadilisha timu kiuchezaji na kuipandisha morali.

Vieira kafanya Palace wakicheza wanaonekana wanatafuta goli tofauti na kabla hajafika ilikua Palace wanavimbia jina walilojenga zamani.

Vieira huwezi muita kocha mbaya.
 
Hakuna aliyefurahia Arsenal kupoteza game vs Crystal Palace yesterday sababu ilikuwa ni game ambayo asilimia 70 tuliamini tutapata something ila Arsenal yetu haijawahi kubadilika pale kwenye game ambazo ni serious lazima tupoteze points for more than 5 years hii tabia haijawahi kubadilika kuanzia kwa Emery Arteta hata babu Wenger but mtu anakosa hoja anakuja kukutukania mzazi haiwezekani bana
Binafsi hua sientertain mtu anitukanie mama.

Will Jr kazingua, iko wazi.

Ila bro itabidi uachane na mtu akionyesha hataki tena muinteract
 
Hua nasema possession bila goli haina maana unaweza drop possession lakini ukawa unafanya purposive movements umepata mpira songa mbele wenzako watakufuata tu.

Ndicho jana Palace wamefanya. Na ndicho Brentford walifanya.

Arsenal tuna shida ya kuretain possession tukishaupoteza mpira with clinical finishers hii hua inatusumbua sana mfano second meeting with Liva, tulifanya purposive movements ila shida defense ikadrop guard.

Guendouz arudi akabidhiwe dimba. Kama hajajirekebisha kiuchezaji na stamina akalale mbele
 
Jana Arsenal kacreate chances 10.

Kacreate big chances 2.

Simply means anahitajika ST na wings zinazoscore.
 
Embarrassing defeat, supporters lost their temper, ilibidi busara itumike, kidogo niingie kwenye mtego wa matusi
 
Adjustments.jpg
 
Back
Top Bottom