Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kuna watu wanaogopa kifuatacho like hatustahili kuwa hapo tulipo.in case waanze tu kuzoea maana tuna misimu miwili mbele kabla hatujaiona arsenal ya ndoto zetu.tukifanikiwa kutunza the curent squad na few signings watakaoongezeka naamini we will be a threat
sawa kabisa. Kuna wanaojawa na hofu kuwa tumeanza kupambania top 4 kama kina nyumbu na kremlin kwa sababu tumepotea 3 seasons. Kumbe top 4 ilikuwa kawaida sana kwetu kushiriki na kiu ya fans ni mataji, haswa premier league. Pia champions league tunataka kufika mbali. Baadae tuichukue pia. Hapo sasa pia ndo kuna wana asenali wasiodhani mikel ndiye wakutuletea hayo
 
thank God, wenzetu muda umerudi nyuma one hour back, hii ya kuangalia mechi kuanzia saa 5 usiku uwa inanidisturb sana.
 
Congratulations to Arsenal manager Mikel Arteta on winning the Premier League Manager of the Month for March, his second time winning the award this season. #afc


@m8arteta

View attachment 2172285
mashabiki wa AsaniAli hua mnafurahisha kishenzi.
Kwa hio hapa mnaona mmeshachukua kombe tayari.
Kwa akili zenu kila siku mtakua mnabebeshwa mabakuli halafu wenyewe mnaridhika kabisa na shangwe kama lote
tapatalk_-1359396896_648x680.jpg
 
Kumekucha jamani njoo muone timu ya AsaniAli wamekabidhiwa kombe hukuuuuuuuu
tapatalk_1487869928_512x288.jpg
 
Naona Kremlin wanaanza kupandwa presha, wanaiona nafasi ya 3 wanavyoipoteza hivi hivi...
 
Lacazette on Arteta in Mundo Deportivo:

Arteta is the leader, the boss, even the boss of the club. Since he arrived, a lot of things have changed, including everyone’s mentality… It’s all about him.”

1648849819040.png
 
Back
Top Bottom