Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yan Arsenal kupoteza game ya jana, maneno yanayosemwa utazan ndo game ya kwanza tumefungwa toka ligi inaanza, ila hii inaonyesha ni kwanamna gan unapokua bora unapata maadui wengi sana tofauti na mwanzo ilivyokua
Una ubora gani wewe. Wakubwa wpte wamekukojolea!!!!

Ubora among norwich city nao ni ubora?
 
Will Jr anaangalia mechi chache za timu zingine kisha anarely kwenye stats.

Hiyo ndiyo assumption yangu.

Waweza kuta anasisitiza kitu ukimuuliza analeta stats ukimuuliza mbona hivi iko hivi hapo jibu atakosa ndo mtakutana siku nyingine.
Mkuu, binafsi huwa sipendi kuandika makala, kwangu ukitaka tueleweshane mambo ya mpira basi twende kwa muundo wa swali na jibu na tutumie data tukisapoti tunachotetea hapo naona ni rahisi. Unajua unaweza mchukia Mikel Arteta kumbe mnatofautiana a point of view, muhimu utuoneshe kwanza unaview game kwenye angle ipi ili tukuelewe unachokisema na ukitumia data inakuwa very nice.
 
Hayo madhaifu yalinishutua sana jana learning that team haijajengwa vizuri mentally
Mentality comes with time / Experience. Mchezaji yupi mwenye uzoefu pale Arsenal ukimtoa Xhaka & lacazette? Ni kivipi unaweza ijenga timu vizuri mentally kwa kuignore variable ya time? Lakini pia kuoffset hayo matatizo Arsenal inabidi kushinda at elite level / UCL ndio maana tunalia hii timu irudi UCL.
 
Narudia tena Viera hakuwa na maajabu, ukitaka twende structurally tutaandika sana, ngoja tuview XG map inasemaje.

Expected goal hii hapo japo tulikuwa worse sana jana, afu unakuta Mbumbumbu anakwambia Viera kamuoutsmart Mikel Arteta, kwa kipi ? Kwa kuwa kashinda 3-0? Kocha unamjudge on paper na anachoexcute uwanjani, sio matokeo, matokeo yanakuja hata kwa circumstances za uwanjani.
IMG_20220405_153040.jpg
 
Mentality comes with time / Experience. Mchezaji yupi mwenye uzoefu pale Arsenal ukimtoa Xhaka & lacazette? Ni kivipi unaweza ijenga timu vizuri mentally kwa kuignore variable ya time? Lakini pia kuoffset hayo matatizo Arsenal inabidi kushinda at elite level / UCL ndio maana tunalia hii timu irudi UCL.
if your team is made up of mainly young players, you need to engage a professional to nurture their mentality. will Jr naamini hili unalijua; teams do not rely entirely on senior players to do this to their juniors. usimsikilize Rooney
 
Nyinyi siyo bora na wala hamjawahi kuwa bora kwa kipindi cha hivi karibuni.
Kushinda mechi kadhaa haiwafanyi kuwa bora. You simply had a run of good results, period!!!!
Majuzi kabla ya mechi vs Chelsea, Newcastle alicheza karibia mechi saba bila kupoteza, Je hiyo run inamfanya awe bora????
Timu inakaribia misimu kumi bila UEFA, halafu wanajiita bora. Kupata vichekesho kama hivi tubonyeze ngapi mkuu
Ulivyoanza imebidi nisome kwa umakini zaidi ili nielewe kila point utayoisema ila nimepuuza baada ya kusema kuwa bora bila UEFA. Kwahiyo kwako wewe kuwa bora ni kuchukuwa UEFA?
 
Narudia tena Viera hakuwa na maajabu, ukitaka twende structurally tutaandika sana, ngoja tuview XG map inasemaje.

Expected goal hii hapo japo tulikuwa worse sana jana, afu unakuta Mbumbumbu anakwambia Viera kamuoutsmart Mikel Arteta, kwa kipi ? Kwa kuwa kashinda 3-0? Kocha unamjudge on paper na anachoexcute uwanjani, sio matokeo, matokeo yanakuja hata kwa circumstances za uwanjani.View attachment 2176674
nakukatalia, that guy is genius; alijua ukitaka kuvunja nguvu ya arsenal contain some specific players. Odegaard, Partey ili kuvunja supply ya mipira to our key goal scorers. ndivyo ilivyokuwa jana, Koyaute was invicible lakini alifanya kazi kubwa
 
Bro on paper United ina kikosi kizuri, world class, usibishe.

Starting 11 ya United yote inaitwa national team.

Kudai United haina kikosi superior ni uongo.

Last time Arsenal won a trophy ni kweli Trump alikua rais. Na last time united won anything ilikua Trump ni nani?

Arteta bado hawezi fananishwa na makocha wengi wakubwa wakubwa ila jamaa ni mzuri na anaelekea huko kwenye ukubwa.

Working wonders with the squad he has.
Sijabisha mkuu lkn mpira huwa hauchezwi on paper, ni uwanjani!
Ni PSG huyuhuyu msimu uliopita hakuchukua kombe la ligi na likachukuliwa na Lille. On paper, who would have thought that??
How can you say kikosi chako ni superior wakati kila weekend kinakuwa outplayed na kina Leicester, Aston Villa, Norwich and the likes.

Arteta is good but not good enough, not among football's elite. Kumpa muda haimanishi ni guarantee kwamba atakuja kuwa kocha mkubwa. Ila kama mmeamua kuanza naye chini haina shida😅😅.
Inconsistencies, disappointments and bottling ndo vitu mtarajie
Na sisi hatutachoka kuja kulitembelea hili jukwaa where necessary 😂😂
 
Sijabisha mkuu lkn mpira huwa hauchezwi on paper, ni uwanjani!
Ni PSG huyuhuyu msimu uliopita hakuchukua kombe la ligi na likachukuliwa na Lille. On paper, who would have thought that??
How can you say kikosi chako ni superior wakati kila weekend kinakuwa outplayed na kina Leicester, Aston Villa, Norwich and the likes.

Arteta is good but not good enough, not among football's elite. Kumpa muda haimanishi ni guarantee kwamba atakuja kuwa kocha mkubwa. Ila kama mmeamua kuanza naye chini haina shida😅😅.
Inconsistencies, disappointments and bottling ndo vitu mtarajie
Na sisi hatutachoka kuja kulitembelea hili jukwaa where necessary 😂😂
Siijabisha mkuu lkn mpira huwa hauchezwi on paper, ni uwanjani!
Ni PSG huyuhuyu msimu uliopita hakuchukua kombe la ligi na likachukuliwa na Lille. On paper, who would have thought that??
How can you say kikosi chako ni superior wakati kila weekend kinakuwa outplayed na kina Leicester, Aston Villa, Norwich and the likes.

Arteta is good but not good enough, not among football's elite. Kumpa muda haimanishi ni guarantee kwamba atakuja kuwa kocha mkubwa. Ila kama mmeamua kuanza naye chini haina shida😅😅.
Inconsistencies, disappointments and bottling ndo vitu mtarajie
Na sisi hatutachoka kuja kulitembelea hili jukwaa where necessary 😂😂,

Huu ndio uchambuzi uliobeba ukweli not hypothetical noises
 
Ulivyoanza imebidi nisome kwa umakini zaidi ili nielewe kila point utayoisema ila nimepuuza baada ya kusema kuwa bora bila UEFA. Kwahiyo kwako wewe kuwa bora ni kuchukuwa UEFA?
Yeah, kuchukua UEFA ni moja ya factors inayoonyesha ubora wa team.
Hata kushiriki UEFA nayo ni dalili ya ubora, isingekuwa hivo Timu zisingekuwa zinahangaika kuingia Top 4.
Nikuulize wewe, unapima ubora kwa mzani upi???
Kitu gani Arsenal wamefanya, mpaka unasema ni bora
 
if your team is made up of mainly young players, you need to engage a professional to nurture their mentality. will Jr naamini hili unalijua; teams do not rely entirely on senior players to do this to their juniors. usimsikilize Rooney
Board ya Arsenal waliruhusu vipi timu kuwa na wachezaji wadogo kwa wingi huu? Unajua wangepitisha fungu wakasajili wachezaji wawili watatu wakuAdd experience, binafsi kiufundi siwezi mlaumu kocha sababu amejitahidi kwa uwezo wake and he gives us the best possible chance of winning games.
 
nakukatalia, that guy is genius; alijua ukitaka kuvunja nguvu ya arsenal contain some specific players. Odegaard, Partey ili kuvunja supply ya mipira to our key goal scorers. ndivyo ilivyokuwa jana, Koyaute was invicible lakini alifanya kazi kubwa
Sibishi kuhusu uwezo wake, ila game ile tulijipa ugumu wenyewe coz we were sloppy, viera angefanya kitu gani ili kutunyima aggression off the ball?

Arteta: "We made it impossible for ourselves. We were really poor, really inconsistent on the ball. At that level, it is unacceptable."
 
Sijabisha mkuu lkn mpira huwa hauchezwi on paper, ni uwanjani!
Ni PSG huyuhuyu msimu uliopita hakuchukua kombe la ligi na likachukuliwa na Lille. On paper, who would have thought that??
How can you say kikosi chako ni superior wakati kila weekend kinakuwa outplayed na kina Leicester, Aston Villa, Norwich and the likes.

Arteta is good but not good enough, not among football's elite. Kumpa muda haimanishi ni guarantee kwamba atakuja kuwa kocha mkubwa. Ila kama mmeamua kuanza naye chini haina shida😅😅.
Inconsistencies, disappointments and bottling ndo vitu mtarajie
Na sisi hatutachoka kuja kulitembelea hili jukwaa where necessary 😂😂
Kazi ya kocha ni kuwautilize wale walio on paper kuleta matokeo uwanjani

Ole kashindwa.

Rangnickelodeon anaelekea kushindwa.

Arteta anakuletea output ambayo on paper unaona haiwezekani. Ndiyo maana nasema he is good.
 
Mkuu, binafsi huwa sipendi kuandika makala, kwangu ukitaka tueleweshane mambo ya mpira basi twende kwa muundo wa swali na jibu na tutumie data tukisapoti tunachotetea hapo naona ni rahisi. Unajua unaweza mchukia Mikel Arteta kumbe mnatofautiana a point of view, muhimu utuoneshe kwanza unaview game kwenye angle ipi ili tukuelewe unachokisema na ukitumia data inakuwa very nice.
Kumchukia Arteta ni kutojua Arsenal ilipokua na inapoelekea
 
Narudia tena Viera hakuwa na maajabu, ukitaka twende structurally tutaandika sana, ngoja tuview XG map inasemaje.

Expected goal hii hapo japo tulikuwa worse sana jana, afu unakuta Mbumbumbu anakwambia Viera kamuoutsmart Mikel Arteta, kwa kipi ? Kwa kuwa kashinda 3-0? Kocha unamjudge on paper na anachoexcute uwanjani, sio matokeo, matokeo yanakuja hata kwa circumstances za uwanjani.View attachment 2176674
Umeona sasa.

Xg hua inapatikana baada ya kuangalia mechi zenu zilizopita na zinaonyesha leo nani ni superior katika takwimu.

Mechi ikianza ndiyo pale watu wanaona ST mwenye Xg ya 2.0 anapigwa gape na ST mwenye Xg ya 1.08.

Bro cheki mechi.

Palace wanacheza vizuri. Walivyocheza jana ndo wanavyocheza siku hizi hao wenzetu wengine hua wana compactness katika kukaba na wana finishing nzuri ndiyo maana utasikia wamesuluhu na New Castle 1-1 ila ukiangalia mechi unaona Palace alitakiwa kushinda.
 
Anazungumzia kushiriki UEFA ng'ombe wewe.

Mchukue UEFA hiyo jeuri mnayo?

Siyo Carabao ile.
Mlishirikiana kuandika, kakutuma au ni wewe una id mbili? Hivi mlezi wako ndiye aliekufundisha kuita watu ng'ombe?? Hivi umelelewa na Baba na Mama kweli??

Anyway ngoja nikupuuze maana yawezekana sio kosa lako ila la walezi wako ambao wamekulea kitahira.
 
Mlishirikiana kuandika, kakutuma au ni wewe una id mbili? Hivi mlezi wako ndiye aliekufundisha kuita watu ng'ombe?? Hivi umelelewa na Baba na Mama kweli??

Anyway ngoja nikupuuze maana yawezekana sio kosa lako ila la walezi wako ambao wamekulea kitahira.
Siyo Carabao ile narudia tena. ……

Acha makasiriko.
 
Back
Top Bottom