Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa City / Liverpool tumezidiwa quality wise, kinacholeta matumaini ni kuwa tunaweza kushindana na hizi timu ingawaje Squad Rebuild haijaisha na Sio kuwa hatujui kucheza na big teams, Waliobaki sioni wakitunyima usingizi nadhani ndio maana FA wanajaribu kureschedule hizi mechi ili Gunners tudrop points na timu pendwa zifuzu UCL.
We jamaa una akili kiduchu kha!!! hahahaha...... ndio uwezo wako wa kufikiri au umeamua kuchekesha tu umati.
 
Глупые вы жители Эмиратов. Ваша способность состоит в том, чтобы просто брать чашки коз. Вы не можете бороться за мужские трофеи, как УЕФА.
Теперь более длинные предложения, да?
 
Ben White, Bukayo Saka, Aaron Ramsdale na Emile Smith-Rowe wameitwa kikosi cha timu ya taifa England.

Nasikia Rashford na Sancho wametemwa
 
We jamaa una akili kiduchu kha!!! hahahaha...... ndio uwezo wako wa kufikiri au umeamua kuchekesha tu umati.
Hoja inajibiwa na hoja sio vioja.

Leta hoja mezani 'idiskasiwe',sio kuishia kutukana tu.
 
Ben White, Bukayo Saka, Aaron Ramsdale na Emile Smith-Rowe wameitwa kikosi cha timu ya taifa England.

Nasikia Rashford na Sancho wametemwa
Screenshot_20220317-220043_Goal News.jpg
 
hizi takataka zinashindwa kukufunga wewe kuku ..Kwa ma giant kama sisi zitaweza kuchomoka kweli?! hivi unajua London inamilikiwa na nani..?!
We jamaa ndiyo maana ulitapeliwa. Mmetapeliwa na thom Tapeli mpaka Ugumu wangu kakutapeli mi naona kama ipo kwenye damu yako kutapeliwa
 
Against Aston villa won't be easy, sio timu dhaifu kwa sasa, an away game...mmmh!
Kuna shida ambayo imekuwa nitatizo la arsenal kwa muda mrefu na pengine ndiyo inayotugharimu tukikutana na timu za "A"list.
1-slow pressing na slow building play tunapoanza kutengeneza shambuliz kuanzia nyuma mpaka
mbele,ukikutana na timu ambazo zinafanya compact pressing na zonal making ya maana lazima udrop point.tatizo hili huwez kuona ukubwa wake unapocheza na average teams ila ukikutana title challengers like Liverpool,mcity, Chelsea, Tottenham, Leicester hata westham ndo unaona Kuna tatizo mahali.we need first class pace players, pressing players, physical and agressive players, discipline ya wachezaji kwa elite games.
2-we need a naughty,killer,brutal and lethal striker like surez ambaye anaweza fanya link-up play.lacazzete ni mtakatifu saana.

3-anahitajika kiungo mshambuliaji ambaye ni natural na sio fashioned kama tulionao.kiungo ambaygoe ni jamii ya carzola au rosisky ambaye atakuwa ni driver,holder na passer mzuri.we are not far away we are almost there but not there.game ya Liverpool ilimalizwa na details (small) ndogo saana.
N:b suluhisho la upatikanaji wa wachezaji watakaotuvusha halihitaji pesa tu bali good scouting ya wachezaji wanaoendana na mahitaji ya timu,falsafa ya timu na mbinu za mwalimu.(anayebisha akajifunze man u na Liverpool)
Thanks
 
Chelsea ndio timu iliyocheza mechi nyingi msimu huu bila kupumzika na hapo ipo nafasi ya tatu ingekuwa ni Arsenal na hicho kikosi chenu sijui mngekuwa nafasi ya ngapi
Umesahau kuongeza nyama hizi:

Tulikuwa na majeruhi kibao,
Corona,
Halafu hatukupumzishwa HATA!

Ona na hili la vikwazo na Bado tuna shinda games!
 
Hope za kijinga ni kusema kwamba tuna uwezo wa kumfunga chelsea?? Timu kubwa ni ngapi na timu za kawaida ni ngapi?? Kwahiyo kwako unaona ni bora kumfunga liverpool au Man city alafu kwa wengine tukapoteza??

Basi wewe shabiki usiekuwa na mdomo naomba uniambie ni kwanini tusipate haiwezekani kupata matokeo kwa chelsea na Man u. Na naomba utoe sababu ambazo argumentative ili kila mmoja wetu humu aweze kupata uhalisia wa hoja yako na usilete zile habari zako za mara arteta hivi mara vile. Haya twende kazi shabiki usiyekuwa na mdomo
We tulia tu na kitimu chako. Kubali tu hoja za jamaa!
 
Back
Top Bottom