Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Wewe ndio shabiki wa hii timu ambaye upo Honest.
Nyie ubora wenu from corrupt proceeds by Roman ndio inakufanya upige kelele hapa?
Wewe ndio shabiki wa hii timu ambaye upo Honest.
Idiot ni wewe uliyetegemea kupata matokeo positive match ya leo. Timu yako kimeo.How do you expect me to respond to idiotic comment?
Haya tumepigwa ban its your chance kubeba uefa.Nyie ubora wenu from corrupt proceeds by Roman ndio inakufanya upige kelele hapa?
Idiot ni wewe uliyetegemea kupata matokeo pisitive match ya leo. Timu yako kimeo.
Nyie hamna uwezo wa kufuzu UCL
Aston Villa
C. Palace
Brighton
Southampton
Chelsea
Man. United
West Ham
Dah!...kiuhalisia arsenal mnacheza vizuri kuanzia beki hadi kiungo wanaelewana vizuri tu...ila shida ni kule mbele mkikutana na timu kubwa mnakosa zile clinical finishing.Leo nipo na arsenal bega kwa bega...wakuu msiniangushe..mkishindwa kabisa ata sare tena ya magoli...si tupo nyumbani kwetu #WashikaMitutu!!!
Hapa hakuna timu ya kututisha, chelsea wangekuwa na speed wangeweza lkn hawana speed ya kuufikia mpira km liver hivyo kutufunga ni bahati nasibuNyie hamna uwezo wa kufuzu UCL
Aston Villa
C. Palace
Brighton
Southampton
Chelsea
Man. United
West Ham




Vikwazo wanawekewa Chelsea. Madhara yanatokea kwa Arsenal na Man U. Poleni sanaMiddlesbrough have announced they will be selling Chelsea's ticket allocation for Saturday's FA Cup clash to their own fans.
-sky sports
vita mbaya sana
so inamaana mashabiki wa chelsea hawataweza kununua tickets unless ni wale season ticket holders, so Boro waliombwa wawasaidie kwa kuuza baadhi ya zile ticket zilizotengwa kwa mashabiki wao kwa mashabiki wa chelsea ili angalau wapate balance ya mashabiki?
hii arse8 ni takataka sana ..Inashindwa kupata matokeo mbele ya timu nyepesi kama hii liverkuku. Alaaah...Wazee wa Arse8 nacheka saaaaana Hahahaha
Wamepigwa mbili za motoMbona vingereza vingi humu Leo, kunani!?