Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chief mara ya mwisho ni 2015.

Arsenal kupata points kwa big clubs haijawahi kua tatizo. Hii ishu unayoiraise imekua tatizo msimu huu lakini misimu ya nyuma mbona hao uliowataja tumepiga sana tu?

Na hata hivyo baadhi yao mfano chelsea na united bado hatujacheza nao mara ya pili.
Let's wait bro may be inawezekana points zikapatikana msimu haujaisha tusubiri May after 38 games
 
Martinelli need some rest..that boy wont stop running... About ramsdale arteta wants to ground him after jota's goal....terrible positioning
Si nikawa nasema Aaron siyo mzuri katika shot stopping mkadai anamzidi Leno? Ingawa hii sababu yako naona siiamini
 
Si nikawa nasema Aaron siyo mzuri katika shot stopping mkadai anamzidi Leno? Ingawa hii sababu yako naona siiamini
🚨 Aaron Ramsdale (hip) and Gabriel Martinelli (illness) miss out on today's matchday squad
 
Back
Top Bottom