True ila kamzidi Arsenal mchezo mmojaChelsea kacheza mech 28 mpk sasa na si 29,
True ila kamzidi Arsenal mchezo mmojaChelsea kacheza mech 28 mpk sasa na si 29,
Sasa hilo ni swali?Ila arsenyeto imewahi
Bila kutoa matusi huwa hujisikii vzr nini mkuu? Wapi imeandikwa kuwa anaekufunga kwako ni lzm pia akufunge kwao? Ni mara ngapi timu zinapoteza nyumbani na kupata matokeo ugenini?Tuache kujipa hopes za kijinga Chelsea ni big threat kwetu kama alitufunga 2 tena Emirates why not at Stamford Bridge?kwa sasa hakuna timu nyepesi at all hao Crystal Palace Brighton Aston Villa Newcastle kwa sasa wanaweza wakabeba points muda wowote
Kuna West Ham Tottenham Manchester United pia that's why huwa nasema ikifika May ndio itafahamika kama Arsenal yupo top 4 (tunaombea)au lah but let's wait and see
Kwanini sina mpira wa kumfunga?Shida yenu nyinyi mnacheza mpira kwakutumia mdomo kuliko uhalisia, huna mpira wa kumfunga Chelsea labda wamue kukulegezea.
Hata sijamaanisha hivyo unavyodhani. Nimeongea kimpira/kibinadamu zaidi.Vikwazo wanawekewa Chelsea. Madhara yanatokea kwa Arsenal na Man U. Poleni sana
Rudia tena.Liverpool anapigwa kama walivyopigwa wenzake
#COYG
Yaani we jamaa unaongeaga ukweli mtupu, tena ule ukweli mchungu ndio maana mashabiki maandazi wanakuchukia na kukuona kama mamluki.Tuache kujipa hopes za kijinga Chelsea ni big threat kwetu kama alitufunga 2 tena Emirates why not at Stamford Bridge?kwa sasa hakuna timu nyepesi at all hao Crystal Palace Brighton Aston Villa Newcastle kwa sasa wanaweza wakabeba points muda wowote
Kuna West Ham Tottenham Manchester United pia that's why huwa nasema ikifika May ndio itafahamika kama Arsenal yupo top 4 (tunaombea)au lah but let's wait and see
Pigeni dili na nyie mchukue eufa acha kutesekatimu gani inaendeshwa kwa kupiga deal?
Chelsea ndio timu iliyocheza mechi nyingi msimu huu bila kupumzika na hapo ipo nafasi ya tatu ingekuwa ni Arsenal na hicho kikosi chenu sijui mngekuwa nafasi ya ngapiSasa wewe kinega hiyo taasisi yenu ya uhujumu uchumi imeshinda mechi 17 mpaka leo katika mechi 29 ilizocheza Arsenal tumeshinda mechi 16 katika mechi 28.
Halafu upo hapa kujiongelesha kama umekalia moto
Tusi ni lipi hapo tuanzie hapa kwanza?ndiyo unajipa hopes za kijinga kitu ambacho hakina mantikiBila kutoa matusi huwa hujisikii vzr nini mkuu? Wapi imeandikwa kuwa anaekufunga kwako ni lzm pia akufunge kwao? Ni mara ngapi timu zinapoteza nyumbani na kupata matokeo ugenini?
Huwa sifurahishwi na matusi yako mkuu na kama hutaki kuacha hii tabia basi kutakuwa kuna shida katika malezi yako mkuu.
Hongereni sanaSasa hilo ni swali?
Mkuu usichokijua kwa hawa mashabiki maandazi unapoongea ukweli inakua ni tusi kubwa sana kwao, mashabiki wa hii timu muda wote wanapenda kusikia maneno matamu matamu ya matumaini na kuisifia timu yao.Tusi ni lipi hapo tuanzie hapa kwanza?ndiyo unajipa hopes za kijinga kitu ambacho hakina mantiki
Baadhi ya fans kama nyie mna mdomo sana wakati timu ndiyo kwanza inajengwa tukishinda baadhi ya games tena mechi za kawaida makelele kibao jana tumekutana na Giant sasa hivi tunaendelea kujipa hopes ni Liverpool tumeplay nayo Yes but kuna big games bado zinakuja tuache kelele sana tusubiri May kama tutakuwa Top 4 itakuwa jambo la heri na la kufurahisha kwa sasa ni mapema sana kuanza kelele ambazo hazina mantiki


ki ukweli IQ yako ipo juu zaidi kuliko mashabiki wengi wa Arsenal ndio maana hua unapitia wakati mgumu sana kuelewana na hawa viumbe. Goli la kwanza kosa la kipa. Alikuwa kwenye impossible angle, goli limeingiaje? Ila jumla jumla ni kwamba tumepoteza mechi and we move forwardLawama anatupiwa nani mechi hii?
Maana sijaona lawama na malalamiko baada ya kupitia comment mbalimbali humu. Inamaana hamna yeyote aliyefanya makosa?!
Usiwapigie hesabu hao tunaopambania nao 4th place. Kumbuka jumamosi tunacheza game ya mwanzo halafu tunaanza kuwasagia kunguni spursTuna point 51.
Spurs na Westham wana point 48.
Westham akishinda mechi ijayo atakaa juu yetu kwakua kwa sasa wote tuna GD ya 12.
Spurs ana GD ya 9. Ili akae juu itabidi ashinde 4 bila au matokeo yoyote yatakayompa uwiano huo just to be sure.
Sisi tuna game na Aston Villa. Runner up wa karibu ana game na Leicester.
Game ya Spurs na Westham inapendeza wakitoka suluhu. Game ya united na Leicester matokeo yoyote ambayo united hatoshinda ni mazuri pia.
Hapa ndiyo tushafika kwenye kupiga dua tayari.
Hivi wewe unajielewa kweli?? Kuna mpira ulaya wa kulegezeana??Shida yenu nyinyi mnacheza mpira kwakutumia mdomo kuliko uhalisia, huna mpira wa kumfunga Chelsea labda wamue kukulegezea.
Ndio maana mkikutana na wakubwa mnakaziwa mnagongwa kila siku.Hivi wewe unajielewa kweli?? Kuna mpira ulaya wa kulegezeana??
Yaani kuna watu wnaomba arsenal ifungwe wapate cha kusema hahahaahhahaMkuu,
Chelsea sio threat kwetu hata kidogo,Last match ni Corona ya baadhi ya wachezaji wetu ndio iliompa advantage.
Ni kweli sana mkuu. Liverpool na Manchester city wanaset benchmark kwa timu nyengine. Arsenal wana timu Bora tu na top four watapataKwenye epl sahiz kuna matabaka
Team bora sana(Man city na Liver)
Team bora (Chelsea na Arsenal)
Team za kawaida( Man u,Westham,Tot,Leicter)
Halaf kuna zile dhaifu na zile dhaifu sana
Unapofungwa na team bora sana haimanishi kuwa wewe sio bora
Bravo Arsenal kwa sasa mna timu bora ingawa haijafika level ya bora sana