плакать сильнееCry harder
Hata mngekosa goli kumi mkatiwa kagoal kamoja isingebadili chochote kuwa nyie ni Arsenyeto.Mission ya arsenal n top 4
Team mwiba kutokana na kikosi chetu ni city na Liverpool
Hawa waliobaki tuna wamudu vizuri sana
Ata ukiangalia ile game ya jana, mpira tuliucheza ila tulikosa some details
Huwezi andika kitu ukadhani peke yako ndiyo unashikilia taarifa.Endelea kuteseka na kukaza hilo fuvu lako
Umpige chelsea...Jana tulicheza kwa spirit kubwa.
Ile spirit inatupa ushindi mbele ya timu nyingi. Tutakosa ushindi kwakua ST clinical hatuna.
Miongoni mwa timu ambazo tutapata ushindi tukiwa na ile spirit bila kujali clinical finishing attribute ya ST wetu ni chelsea na manchester united.
Tukiwa hovyo misimu iliyopita in our lowest form tumeshapiga hawa wawili kwanini isiwezekane sasa hivi?
Nenda kashabikie sisiem huko toka hapa!Ukiamka matokeo itakuwa mnaongoza 5 kwa 2
Taja match ya Chelsea iliyokuwa Postiponed sababu ya Covid.Unajua mzee usiandike kama vile peke yako ndiyo una access na taarifa.
Kwamba mmecheza mechi nyingi bila kupumzika? So mechi hazikua postponed ili mkazunguke kugombea kombe la plastik?
😅😅😅😂aisee smash faster mambo ya mishe kukaa poa yafuate. Football aside. kwanza hebu elekeza details zake kunako PM yangu afu turudi kwenye Arsenal yetu.😄😄Dah bro 😅😅😅 huyo chura nimemuweka pending mpaka mishe zikae poa nismash
Ты идиотплакать сильнее
Hamna timu ya kucheza Big match...Nenda kashabikie sisiem huko toka hapa!
Kwani niliyoipiga tatu ni ipi?Umpige chelsea...
Hii chelsea ya Kremlin au nyingine?
гнев убьет тебяТы идиот
😅 Master fisi labda nikupambanie kazi yenye chura kama hiyo ila siyo huyo. Ukimuonyesha mji na mitaa atakua bize nimkose😅😅😅😂aisee smash faster mambo ya mishe kukaa poa yafuate. Football aside. kwanza hebu elekeza details zake kunako PM yangu afu turudi kwenye Arsenal yetu.😄😄
Nyinyi mmewahi kua na kesi ya wachezaji wa first eleven saba kushindwa kucheza kutokana na covid?Taja match ya Chelsea iliyokuwa Postiponed sababu ya Covid.
Poa poa. PM lakini. huku tuendelee kuwakera hawa wavamiaji wa London wanaoutaka ufalme wetu😅 Master fisi labda nikupambanie kazi yenye chura kama hiyo ila siyo huyo. Ukimuonyesha mji na mitaa atakua bize nimkose
Sina huo udon wala nini. We leta tu huyo si ulikuwa unataka kumpa mwana Kremlin? Mlete huku kwa mwana Islington mwenzio. 😄😄😅 Master fisi labda nikupambanie kazi yenye chura kama hiyo ila siyo huyo. Ukimuonyesha mji na mitaa atakua bize nimkose
how on earth, tunawezi kuendesha timu kwa ukwapuaji na kupinga deal, mtabaki pekee yenu kwenye list of shamesPigeni dili na nyie mchukue eufa acha kuteseka
Mkuu Castr itabidi nikutafute aiseeeeeeWe jamaa acha kula wasaidizi wa ndani mimi nina namba ya mtoto mkali. Kuku wa kienyeji View attachment 2153917



Kwa hiyo nyie match zenu zote zilizokuwa postponed mlikuwa na wagonjwa saba wa Covid?Nyinyi mmewahi kua na kesi ya wachezaji wa first eleven saba kushindwa kucheza kutokana na covid?