Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
No Tomiyasu for Arsenal, Salah benched for Liverpool.
Tano na roboGame saa ngapi Wadau
Mkuu Castr, ukiona Low block kwa kocha mwenye tendency ya kupress high kama Arteta / klopp/ pep ujue kuna principles wachezaji wamefeli kuexcute wala si kuwa kocha anataka hivyo, coz High line press kwenye possession footie inatumika kama method ya kucontrol game off the ball.
Kwa timu kama Burnley / Wolves kusit deep ni kawaida yao sababu hawana technicians wakuhold high line reliably so instead ya kuwa passive kocha anaAdapt game plan ya kusit deep mwanzo mwisho na kufanya counter, hii ni kama ilivyokuwa kwa Arsenal kipindi hatuna wachezaji kama Thomas Partey & Gabriel magalhaes.
Kwanini tulisit off dhidi ya Everton / United? Sababu tulikosa Experience kwa kipindi kile especially kwenye namna ya kuhold high line, so mpinzani akisustain attacks muda mwingi wachezaji wanakuwa passive wanarudi nyuma, lakini hata dhidi ya Brighton & Palace tulisit off, ukitaka kujua tatizo lilikuwa experience ngoja tukutane tena uone km watacheza vile.
Salah bench kwann? au n part of plan ya bwana kloppCONFIRMED LINEUP
#ARSLIV Ramsdale, Tierney, Gabriel, White, Cedric, Xhaka, Partey, Odegaard, Saka, Lacazette, Martinelli
Liverpool: Alisson, Virgil, Matip, Trent, Robertson, Henderson, Thiago, Fabino, Mane, Diaz, Jota
alikuwa injury, hata hivo wamefos tu awepo benchSalah bench kwann? au n part of plan ya bwana klopp
Ukitafuta comments za baada ya game yetu na United utakuta nimezungumzia hiyo ishu. Ukitafuta online comments za wadau wa Arsenal wakiongozwa na Wrighty utakuta wote wanaongelea jinsi gani hiyo tech inatuponza.Kwa hiyo wewe unahisi kocha alitumia hiyo kama technique, jiulize sasa kwanini hatuioni tena?
Sawasawa..CONFIRMED LINEUP
#ARSLIV Ramsdale, Tierney, Gabriel, White, Cedric, Xhaka, Partey, Odegaard, Saka, Lacazette, Martinelli
Liverpool: Alisson, Virgil, Matip, Trent, Robertson, Henderson, Thiago, Fabino, Mane, Diaz, Jota
Unautani na squad yetuLiverpool anapigwa kama walivyopigwa wenzake
#COYG