GSM ofa yake imekubaliwa au bado?Yule kipepe mmemnunua ngapi?
GSM ofa yake imekubaliwa au bado?Yule kipepe mmemnunua ngapi?
Kushuka daraja haitakua mara yenu ya kwanza sioni kama mtashangaaEeeee imekubaliwa.
Msimu ujao tutakuwa relegated na nyie mtabeba uefa.
Sasa wewe kinega hiyo taasisi yenu ya uhujumu uchumi imeshinda mechi 17 mpaka leo katika mechi 29 ilizocheza Arsenal tumeshinda mechi 16 katika mechi 28.Tatizo mnaongea sana kama Chuchunge
timu gani inaendeshwa kwa kupiga deal?Unateseka ukiwa wapi?
Na Arsenal itabeba UEFA back to backKushuka daraja haitakua mara yenu ya kwanza sioni kama mtashangaa
Unateseka ukiwa wapi midtable timu?Sasa wewe kinega hiyo taasisi yenu ya uhujumu uchumi imeshinda mechi 17 mpaka leo katika mechi 29 ilizocheza Arsenal tumeshinda mechi 16 katika mechi 28.
Halafu upo hapa kujiongelesha kama umekalia moto
Unateseka ukiwa wapi?timu gani inaendeshwa kwa kupiga deal?
Mkuu,Tuache kujipa hopes za kijinga Chelsea ni big threat kwetu kama alitufunga 2 tena Emirates why not at Stamford Bridge?kwa sasa hakuna timu nyepesi at all hao Crystal Palace Brighton Aston Villa Newcastle kwa sasa wanaweza wakabeba points muda wowote
Kuna West Ham Tottenham Manchester United pia that's why huwa nasema ikifika May ndio itafahamika kama Arsenal yupo top 4 (tunaombea)au lah but let's wait and see
Arsenal tunataka nafasi ya tatu ya nne ni ya united au westhamUnateseka ukiwa wapi midtable timu?
Totte anainyemelea hiyo nafasi yako.,
Hiyo taasisi yenu ya uhujumu uchumi haijawahi.Na Arsenal itabeba UEFA back to back
Ila arsenyeto imewahiHiyo taasisi yenu ya uhujumu uchumi haijawahi.
Amka ukakojoe maana umeshaanza kuona choo kwenye ndoto yako.Arsenal tunataka nafasi ya tatu ya nne ni ya united au westham
Ni dharau za hali ya juu mimi kuwekwa kundi moja na Arsenyeto.Kwenye epl sahiz kuna matabaka
Team bora sana(Man city na Liver)
Team bora (Chelsea na Arsenal)
Team za kawaida( Man u,Westham,Tot,Leicter)
Halaf kuna zile dhaifu na zile dhaifu sana
Unapofungwa na team bora sana haimanishi kuwa wewe sio bora
Bravo Arsenal kwa sasa mna timu bora ingawa haijafika level ya bora sana
Muna mudomo sana mashabiki wa hiki kitimuMkuu,
Chelsea sio threat kwetu hata kidogo,Last match ni Corona ya baadhi ya wachezaji wetu ndio iliompa advantage.
Labda UEFA ya SongeaNa Arsenal itabeba UEFA back to back
Chelsea kacheza mech 28 mpk sasa na si 29,Sasa wewe kinega hiyo taasisi yenu ya uhujumu uchumi imeshinda mechi 17 mpaka leo katika mechi 29 ilizocheza Arsenal tumeshinda mechi 16 katika mechi 28.
Halafu upo hapa kujiongelesha kama umekalia moto
I have saved this comment and do not forget to remind me if happens differentlyHapo utakayemfunga ni man u tu.
Save this comment.
Tulia wewe mhujumu uchumiAmka ukakojoe maana umeshaanza kuona choo kwenye ndoto yako.