Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Shida yenu humu mna hesabu mayai ambayo kuku hajataga mpira ni matokeo siku zote mtabaki kusema mmecheza vizuri kila siku wenzenu wanaondoka na point 3
Hawa ng'ombe wa emirates ni michosho kweli.
 
Tuna point 51.

Spurs na Westham wana point 48.

Westham akishinda mechi ijayo atakaa juu yetu kwakua kwa sasa wote tuna GD ya 12.

Spurs ana GD ya 9. Ili akae juu itabidi ashinde 4 bila au matokeo yoyote yatakayompa uwiano huo just to be sure.

Sisi tuna game na Aston Villa. Runner up wa karibu ana game na Leicester.

Game ya Spurs na Westham inapendeza wakitoka suluhu. Game ya united na Leicester matokeo yoyote ambayo united hatoshinda ni mazuri pia.

Hapa ndiyo tushafika kwenye kupiga dua tayari.
 
Hapa hakuna timu ya kututisha, chelsea wangekuwa na speed wangeweza lkn hawana speed ya kuufikia mpira km liver hivyo kutufunga ni bahati nasibu
Tuache kujipa hopes za kijinga Chelsea ni big threat kwetu kama alitufunga 2 tena Emirates why not at Stamford Bridge?kwa sasa hakuna timu nyepesi at all hao Crystal Palace Brighton Aston Villa Newcastle kwa sasa wanaweza wakabeba points muda wowote

Kuna West Ham Tottenham Manchester United pia that's why huwa nasema ikifika May ndio itafahamika kama Arsenal yupo top 4 (tunaombea)au lah but let's wait and see
 
Tuna point 51.

Spurs na Westham wana point 48.

Westham akishinda mechi ijayo atakaa juu yetu kwakua kwa sasa wote tuna GD ya 12.

Spurs ana GD ya 9. Ili akae juu itabidi ashinde 4 bila au matokeo yoyote yatakayompa uwiano huo just to be sure.

Sisi tuna game na Aston Villa. Runner up wa karibu ana game na Leicester.

Game ya Spurs na Westham inapendeza wakitoka suluhu. Game ya united na Leicester matokeo yoyote ambayo united hatoshinda ni mazuri pia.

Hapa ndiyo tushafika kwenye kupiga dua tayari.
Arsenal kwa sasa hatakiwi tena kuacha points sababu hao uliowataja Spurs Manchester United and West Ham tuna games nao na ni mechi za Lala salama anytime kitumbua kinaingia mchanga bila kutegemea
 
Hapa hakuna timu ya kututisha, chelsea wangekuwa na speed wangeweza lkn hawana speed ya kuufikia mpira km liver hivyo kutufunga ni bahati nasibu
Shida yenu nyinyi mnacheza mpira kwakutumia mdomo kuliko uhalisia, huna mpira wa kumfunga Chelsea labda wamue kukulegezea.
 
Back
Top Bottom