gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal
mesiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hivi ni goli au kitenesi kimeingia golini???
Khekheeeeeeeeeeee!
Messiiii........
Goooooooooooooooooooooooo! Barca 1
Aisee hii Mesi ni hatari...
kwa ugeni huu wa leo....nafikiri itakuwa ngumu kushinda......!!!!
kwa namna messi anavyofagia pitch mimi ningeshauri bale la pili muendelee kudefend tu, ili mtolewe kwa heshima. adhawaizi hapa kuna radi ya magoliToa Diaby, toa Rosicky , mlete denilson na arshavin kuanzia kipindi cha pili wala sio dakika ya 60.
Tunapoteza mpira hovyo hovyo.
samahani sana....tuombeane kheri tu....!!!
sawa mkuu..hongereni sana kwa hilo
Poleni sana wazee wa visigino.............muda upo piganeni kiume.Dah. Haipendezi hat kidogo but 2nd half tutarudi kivingine. Potelea mbali, kamikaze style