OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Una muchezaji anaitwa sambi lokonga halafu unategemea kupata ushindi 😂😂😂au kumaliza top four hahaha hii takataka ipo seriyasi kweli🤣🤣
Hahahà bado ijajulikaana mkuu😂😂😂Leo, itajulikana nani kidume
Hahaha kwaiyo sambi ndio kiungo wenu mnayemtegemea😂😂😂😂😂Sambi kati halafu formation ni 4 1 4 1
Hahaha kwaiyo sambi ndio kiungo wenu mnayemtegemea😂😂😂😂😂Sambi kati halafu formation ni 4 1 4 1
Kwani nyie Muna lengo gani msimu huu nyie arse8??!Partey hakuwa na match fitness, hata akili pia ilikuwa haipo. Timu nzima haijacheza vizuri leo.
Lengo letu lipo pale pale na wala hatutakuwa distracted.
Shida yako bwana Castr ni kwamba Technically bado mweupe, hata hapa nafanya hisani kuargue, ila in fact sikutakiwa kuextend this conversationSasa kama mpango ni Tielemans na hatukuwahi kutaka kiungo ofa kwa Maddison ilipelekwa ya nini?
Kwa Aouar ilipelekwa ya nini msimu uliopita?
Hizo overlapping za fullbacks ni sehemu ya game plan, beki kuoverlap haimaanishi hiyo ndiyo 4 3 3.
Kati ya Xhaka na Partey mwenye decent pace ni Partey ndiyo maana anakua anaenda mbele mara nyingi kuliko Xhaka hii ya Xhaka kwenda mbele kumuacha nyuma Partey umeiona regularly au mara 1 katika 10?
Katika game plan ambayo inaemploy attacking fullbacks Martinelli anatakiwa alink up na LB, wewe unasema analink na Xhaka, na Xhaka ni DM anakua katikati atakuaje DM yet atoe support kwenye wing at the same time?
Sisi tunacheza 4 2 3 1 kama build up imefanywa vizuri utamuona Partey nje ya box, Xhaka nyuma ya Partey kidogo, CB na fullback mmoja wamepanda juu kwa ajili ya offside trap na wingers, ST na AM wataku wanatafutana na wapinzani.
Ingekua kuhama ili nisiwe nawazia kushinda ningehamia AjaxHahahaha amia psg mkuu..hahaha
Tunamtegemea KanteHahaha kwaiyo sambi ndio kiungo wenu mnayemtegemea😂😂😂😂😂
Hahaha mimi kwenye technic mweupe? 😁😁😂😂Shida yako bwana Castr ni kwamba Technically bado mweupe, hata hapa nafanya hisani kuargue, ila in fact sikutakiwa kuextend this conversation
Partey profile yake sio sawa na Houssem aouar, Partey ni Rodri/ Fabinho
Kipindi Arsenal wanamtaka Aouar, MØ alikuwa hayupo Arsenal, ESR alikuwa Hale end
Ukija kwa Maddison, utagundua MØ alikuwa karudi Real lakini alikuwa priority kwa Mikel Arteta
Tielemans / Bruno wanafanana profile, yoyote atayekuja lengo ni kumreplace Xhaka kwenye LCM in 433 mbona vitu rahisi kuelewa
433 uwanjani wanachezaji vipi mfano City kwenye 433 na liver kwenye 433 kuna tofauti kwenye utendaji wake wa kazi kiwanjani ??Shida yako bwana Castr ni kwamba Technically bado mweupe, hata hapa nafanya hisani kuargue, ila in fact sikutakiwa kuextend this conversation
Partey profile yake sio sawa na Houssem aouar, Partey ni Rodri/ Fabinho
Kipindi Arsenal wanamtaka Aouar, MØ alikuwa hayupo Arsenal, ESR alikuwa Hale end
Ukija kwa Maddison, utagundua MØ alikuwa karudi Real lakini alikuwa priority kwa Mikel Arteta
Tielemans / Bruno wanafanana profile, yoyote atayekuja lengo ni kumreplace Xhaka kwenye LCM in 433 mbona vitu rahisi kuelewa
Inategemea na Profile, ila kwa Liverpool na city kuna profile zinafanana,433 uwanjani wanachezaji vipi mfano City kwenye 433 na liver kwenye 433 kuna tofauti kwenye utendaji wake wa kazi kiwanjani ??
Lini arse8 wamekuwa fit mkuu🤣🤣🤣Game ya jana tumepoteza sababu ya kuwa na unfit players, only that. Tunahitaji depth.
Tofauti ni aina ya wachezaji tu ..wewe una Pepe kaleee, lokonga alafu unatumia 433 ..kwelii!!? Wewe tumia 442 tu Basi.433 uwanjani wanachezaji vipi mfano City kwenye 433 na liver kwenye 433 kuna tofauti kwenye utendaji wake wa kazi kiwanjani ??
Ha haaaaaaaa sawa mim nmezungukaNaona wote tunaenda Kariakoo ila wewe umepiti Mhimbili mimi nimepitia Jangwani
kabisa aseeeeeTatizo la Arsenal fanbse ni kuwa you're moving from trend to trend, timu ikafanya poa mnajifanya mnachambua, timu ikifanya vibaya mnajikuta mnajua kukosoa kweli, very interesting ila tushawazoea haisumbui, haters wote tunawajua![]()
HahahahaArteta yupo Marekani na Kroenke. Mashabiki wa Arsenal wa Reddit wametoa maoni mchanganyiko juu ya kuonekana kwake Marekani na Kroenke.
Kuna walioshangaa kwanini hayupo kufkuzia saini za wachezaji ikiwa dirisha linaenda omega na waliosema ameenda kubembeleza pesa.
Someone said Stan yupo kwenye mood nzuri kwakua timu yake pendwa, The Rams, wanatakiwa kushinda mechi moja tu ili kwenda kwenye super bowl.
View attachment 2094801





hii picha sio ya zamani kweli ?kama ni ya sasa basi nakaa kimya fans wataendelea kupiga kelele huku Master Kroenke anaingiza billions kupitia Arsenal hajali results zozote zile,Arsenal kufungwa na big 6,hajali Arsenal kushindwa kuplay champions league,hajali kwa lolote,Arsenal itakuja kuwa timu tishio pale Management yote itakaposepa kuanzia kroenke Edu na huyo ArtetaHiyo ni screenshot ila ni video wanaangalia mechi.Hahahahahii picha sio ya zamani kweli ?kama ni ya sasa basi nakaa kimya fans wataendelea kupiga kelele huku Master Kroenke anaingiza billions kupitia Arsenal hajali results zozote zile,Arsenal kufungwa na big 6,hajali Arsenal kushindwa kuplay champions league,hajali kwa lolote,Arsenal itakuja kuwa timu tishio pale Management yote itakaposepa kuanzia kroenke Edu na huyo Arteta