Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiyo ni screenshot ila ni video wanaangalia mechi.

For years kirusi ni Kroenke.
Hehehehe that's so ridiculous haya wale wanaosema after 3 years na kupaza shingo Arsenal atabeba EPL au this season Arsenal ataingia top 4 huku Kroenke na Management ni ile ile acha nikae kimya
 
Hehehehe that's so ridiculous haya wale wanaosema after 3 years na kupaza shingo Arsenal atabeba EPL au this season Arsenal ataingia top 4 huku Kroenke na Management ni ile ile acha nikae kimya
Katika mpira kuna muda timu ina advantage na inakua na uhakika. Kabla ya suluhu ya juzi Arsenal ilikua na advantage na uhakika wa kua top four.

Ile suluhu inamaanisha sasa tuanze kusali yasitokee majeruhi, kusiwe na kadi na kikosi kiperform. Wolves ambaye tunaanzana naye likizo ikiisha yupo vizuri siku baada ya siku, kama tutaenda hovyo tunaenda kuumbuka tena.
 
Me kuna muda nashindwa kuwaelewa kabisa baadhi ya mashabiki wa Arsenal wanaosema Arteta amefeli na afukuzwe, ohhh hana jipya, ohhh hana uzoefu,ohh hana mbinu hivi serious unapima mafanikio ya Arteta kwenye kikosi kile?

Unaposema me ni mrefu maana yake umekaa na Mfupi and vice versa is true, kwahiyo mnaposema Arteta kafeli mnamringanisha na nani hasa? Ambae alikuepo arsenal na wale wachezaji au aina Ile ya wachezaji na akafanya vyema?

Ukisema Arteta aondoke eti kafeli kocha amabe Anatumia vijana kutoka academy na wachezaji wengine wa kununua wa kuunga unga ulitaka afanye vizuri Kwa kiwango kipi labda na ukisema hafai ye aondoke hebu naomba nitajiwe kocha ambae ataweza kufanya vizuri akiwa na aina ile ya wachezaji waliopo na mnipe sababu za yeye kufanya vizuri

Hebu angalia competitors wa Arsenal vile walivojizatiti kiuwekezaji uwanjani hadi kwenye management, alafu njoo uangalie arsenal yako hivi kweli huoni aibu kukaa unalia na mwanaume mwenzio afukuzwe kazi eti kafeli

Kama wewe shabiki wa Arsenal unalia lia kutwa na kocha kwahiyo mashabiki wa Manchester utd pamoja na wachezaji wale ambao teyari wameprove wao ni Bora nao wafanye nini? Au wao team yao ni nzuri?

Kama unasema Arteta amefeli vipi kuhusu Ole Gunnar Solskjær pale utd ye tuseme alifeli cubic? Alikosa nini pale utd? Vipi kuhusu Mourhinho pale utd alikosa nini au nayeye hana uzoefu? Vipi kuhusu Mourhinho pale Tottenham au uzoefu aliuacha Chelsea? Vipi kuhusu Nuno pale Tottenham? Vipi kuhusu Ranieli? Vipi kuhusu big Sam? Vipi kuhusu unai pale Arsenal?

Shabiki akililia Arsenal iachane na Arteta eti kafeli nashindwa kumuelewa kabisa, hivi unaongeleaje namna bodi ya Arsenal inavoendesha team yao? Tangu yupo Wenger kocha ambae ana Heshima kubwa pale Arsenal ila ikifika kipindi Cha usajili hadi unamuonea huruma Mzee wa watu maana mabosi wao wanajali faida Tu na sio furaha ya mashabiki

Man utd pamoja na kununua wachezaji wenye viwango ila mashabiki wanalia na bodi kwamba inawaangusha ila Cha ajabu mashabiki wa Arsenal wanalia na Arteta mwenye akina Martinel, Saka, Smith,Tomiyasu,Ramsdale ndio masupa star wa team ila hawalii na kina krionke...! kweli Dunia haijawahi kuishiwa maajabu aiseee

Me nitakuwa mtu wa mwisho kabisa kuamini kwamba Arteta amefeli pale Arsenal, mpeni wachezaji wa daraja juu ndio tumjaji vile team itacheza na kuangalia mafanikio lasivyo me naona mnaendeshwa na mihemko tu na sio facts

Arsenal wamehangaika na Dusan weeee karibia week 3 ila ndani ya siku 2 Tu juve wameingilia kati na dogo anaenda Juventus alafu humu mtu unakuta analia na Arteta unataka alete Mke wake ndio afunge magoli pale kama wachezaji anaowataka bodi inashindwa kumpatia, jamaa anafanya kazi Katika mazingira magumu na inambidi atumie tu rasirimari alizonazo
 
Screenshot_2022-01-25-17-05-32-39_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Me kuna muda nashindwa kuwaelewa kabisa baadhi ya mashabiki wa Arsenal wanaosema Arteta amefeli na afukuzwe, ohhh hana jipya, ohhh hana uzoefu,ohh hana mbinu hivi serious unapima mafanikio ya Arteta kwenye kikosi kile?

Unaposema me ni mrefu maana yake umekaa na Mfupi and vice versa is true, kwahiyo mnaposema Arteta kafeli mnamringanisha na nani hasa? Ambae alikuepo arsenal na wale wachezaji au aina Ile ya wachezaji na akafanya vyema?

Ukisema Arteta aondoke eti kafeli kocha amabe Anatumia vijana kutoka academy na wachezaji wengine wa kununua wa kuunga unga ulitaka afanye vizuri Kwa kiwango kipi labda na ukisema hafai ye aondoke hebu naomba nitajiwe kocha ambae ataweza kufanya vizuri akiwa na aina ile ya wachezaji waliopo na mnipe sababu za yeye kufanya vizuri

Hebu angalia competitors wa Arsenal vile walivojizatiti kiuwekezaji uwanjani hadi kwenye management, alafu njoo uangalie arsenal yako hivi kweli huoni aibu kukaa unalia na mwanaume mwenzio afukuzwe kazi eti kafeli

Kama wewe shabiki wa Arsenal unalia lia kutwa na kocha kwahiyo mashabiki wa Manchester utd pamoja na wachezaji wale ambao teyari wameprove wao ni Bora nao wafanye nini? Au wao team yao ni nzuri?

Kama unasema Arteta amefeli vipi kuhusu Ole Gunnar Solskjær pale utd ye tuseme alifeli cubic? Alikosa nini pale utd? Vipi kuhusu Mourhinho pale utd alikosa nini au nayeye hana uzoefu? Vipi kuhusu Mourhinho pale Tottenham au uzoefu aliuacha Chelsea? Vipi kuhusu Nuno pale Tottenham? Vipi kuhusu Ranieli? Vipi kuhusu big Sam? Vipi kuhusu unai pale Arsenal?

Shabiki akililia Arsenal iachane na Arteta eti kafeli nashindwa kumuelewa kabisa, hivi unaongeleaje namna bodi ya Arsenal inavoendesha team yao? Tangu yupo Wenger kocha ambae ana Heshima kubwa pale Arsenal ila ikifika kipindi Cha usajili hadi unamuonea huruma Mzee wa watu maana mabosi wao wanajali faida Tu na sio furaha ya mashabiki

Man utd pamoja na kununua wachezaji wenye viwango ila mashabiki wanalia na bodi kwamba inawaangusha ila Cha ajabu mashabiki wa Arsenal wanalia na Arteta mwenye akina Martinel, Saka, Smith,Tomiyasu,Ramsdale ndio masupa star wa team ila hawalii na kina krionke...! kweli Dunia haijawahi kuishiwa maajabu aiseee

Me nitakuwa mtu wa mwisho kabisa kuamini kwamba Arteta amefeli pale Arsenal, mpeni wachezaji wa daraja juu ndio tumjaji vile team itacheza na kuangalia mafanikio lasivyo me naona mnaendeshwa na mihemko tu na sio facts

Arsenal wamehangaika na Dusan weeee karibia week 3 ila ndani ya siku 2 Tu juve wameingilia kati na dogo anaenda Juventus alafu humu mtu unakuta analia na Arteta unataka alete Mke wake ndio afunge magoli pale kama wachezaji anaowataka bodi inashindwa kumpatia, jamaa anafanya kazi Katika mazingira magumu na inambidi atumie tu rasirimari alizonazo
Arteta kimbinu bado hajafeli. Ameipindua defense iliyosemwa haifundishiki mpaka kua namba tatu kwa ubora katika ligi ameifanya timu icheze huku ina plan.

Kinachomfelisha wachezaji. Kuwa na wachezaji wala red na watoa maboko ndiyo kulisababisha msimu uliopita mashabiki wadai kichwa cha Arteta.

Msimu huu kuna idadi ya wachezaji ana amani nao timu inaonekana kuna kitu inataka. Na yeye akasema tunahitaji viungo na washambuliaji, dirisha limefunguliwa bado hatujapeleka bid kokote, zaidi ya wiki nyuma kuripotiwa na Romano kwamba Arsenal inaongea na wakala wa Dusan. Hakuna popote ilipoguswa stori ya viungo.

Dusan was long shot kwanini hatuna plan B ya endapo tungemkosa Dusan? Au Melo? Arsenal hatujawahi kua na kocha mbaya tangu Wenger aondoke kuanzia Emery mpaka Arteta, Wenger alilificha tatizo la Kroenke vizuri ila kwa mpira wa siku hizi wote tunaona nani ana shida.

Ukisema Stan ana shida kuna mtu anakuuliza mbona sasa sisi ndiyo big spenders last summer yaani kama vile hajui kuanzia hiyo last summer ndiyo Arsenal kapokea pesa ya Stan. Kama mnakumbuka mtoto wa Stan alisema wamejiandaa kuhakikisha Arsenal ina exceptional transfer window, hilo dirisha lilikuja na Lokonga, Tavares na wenzao.

Mashabiki wanatarajia miujiza. Kwamba Arteta achekeche tunguli ghafla Lokonga awe na uwezo wa Vieira, Auba form irudi vitu ambavyo haviwezekani. Kwenye huu uzi Dusan kaandikwa siyo chini ya mara 50 ila leo Juve anaondoka na Dusan.

Timu haivutii mchezaji kujidumbukiza humu. Mainly kwakua Arteta anakuza profile yake bado na timu haitarajii kuingia UCL. Kwa sasa timu yetu tatizo lake ni ufinyu wa kikosi na Stan na siyo kocha.
 
Me kuna muda nashindwa kuwaelewa kabisa baadhi ya mashabiki wa Arsenal wanaosema Arteta amefeli na afukuzwe, ohhh hana jipya, ohhh hana uzoefu,ohh hana mbinu hivi serious unapima mafanikio ya Arteta kwenye kikosi kile?

Unaposema me ni mrefu maana yake umekaa na Mfupi and vice versa is true, kwahiyo mnaposema Arteta kafeli mnamringanisha na nani hasa? Ambae alikuepo arsenal na wale wachezaji au aina Ile ya wachezaji na akafanya vyema?

Ukisema Arteta aondoke eti kafeli kocha amabe Anatumia vijana kutoka academy na wachezaji wengine wa kununua wa kuunga unga ulitaka afanye vizuri Kwa kiwango kipi labda na ukisema hafai ye aondoke hebu naomba nitajiwe kocha ambae ataweza kufanya vizuri akiwa na aina ile ya wachezaji waliopo na mnipe sababu za yeye kufanya vizuri

Hebu angalia competitors wa Arsenal vile walivojizatiti kiuwekezaji uwanjani hadi kwenye management, alafu njoo uangalie arsenal yako hivi kweli huoni aibu kukaa unalia na mwanaume mwenzio afukuzwe kazi eti kafeli

Kama wewe shabiki wa Arsenal unalia lia kutwa na kocha kwahiyo mashabiki wa Manchester utd pamoja na wachezaji wale ambao teyari wameprove wao ni Bora nao wafanye nini? Au wao team yao ni nzuri?

Kama unasema Arteta amefeli vipi kuhusu Ole Gunnar Solskjær pale utd ye tuseme alifeli cubic? Alikosa nini pale utd? Vipi kuhusu Mourhinho pale utd alikosa nini au nayeye hana uzoefu? Vipi kuhusu Mourhinho pale Tottenham au uzoefu aliuacha Chelsea? Vipi kuhusu Nuno pale Tottenham? Vipi kuhusu Ranieli? Vipi kuhusu big Sam? Vipi kuhusu unai pale Arsenal?

Shabiki akililia Arsenal iachane na Arteta eti kafeli nashindwa kumuelewa kabisa, hivi unaongeleaje namna bodi ya Arsenal inavoendesha team yao? Tangu yupo Wenger kocha ambae ana Heshima kubwa pale Arsenal ila ikifika kipindi Cha usajili hadi unamuonea huruma Mzee wa watu maana mabosi wao wanajali faida Tu na sio furaha ya mashabiki

Man utd pamoja na kununua wachezaji wenye viwango ila mashabiki wanalia na bodi kwamba inawaangusha ila Cha ajabu mashabiki wa Arsenal wanalia na Arteta mwenye akina Martinel, Saka, Smith,Tomiyasu,Ramsdale ndio masupa star wa team ila hawalii na kina krionke...! kweli Dunia haijawahi kuishiwa maajabu aiseee

Me nitakuwa mtu wa mwisho kabisa kuamini kwamba Arteta amefeli pale Arsenal, mpeni wachezaji wa daraja juu ndio tumjaji vile team itacheza na kuangalia mafanikio lasivyo me naona mnaendeshwa na mihemko tu na sio facts

Arsenal wamehangaika na Dusan weeee karibia week 3 ila ndani ya siku 2 Tu juve wameingilia kati na dogo anaenda Juventus alafu humu mtu unakuta analia na Arteta unataka alete Mke wake ndio afunge magoli pale kama wachezaji anaowataka bodi inashindwa kumpatia, jamaa anafanya kazi Katika mazingira magumu na inambidi atumie tu rasirimari alizonazo
Unaionaje Arsenal msimu huu atamaliza top 4 au hapana?

Seasons za karibuni wachezaji wengi hawataki kuja kuichezea Arsenal tatizo ni nini unaona?for example Dusan anaelekea Juventus ila ameikataa Arsenal wazi kabisa bila aibu why?Locateli hvyo hvyo bila aibu akasema kama nataka kuuzwa Arsenal ni heri nibakie kwenye my team na tukaishia na kina Lokonga Tavares pekee why?
 
Unaionaje Arsenal msimu huu atamaliza top 4 au hapana?

Seasons za karibuni wachezaji wengi hawataki kuja kuichezea Arsenal tatizo ni nini unaona?for example Dusan anaelekea Juventus ila ameikataa Arsenal wazi kabisa bila aibu why?Locateli hvyo hvyo bila aibu akasema kama nataka kuuzwa Arsenal ni heri nibakie kwenye my team na tukaishia na kina Lokonga Tavares pekee why?
Mkuu uli edit comment nini maana hii ya chini haikuepo wakati nakujibu

Anyway kuhusu wachezaji kuikataa arsenal ni Kwa sababu ishapoteza mvuto kwa wachezaji wazuri kutokana na kutofanya vizuri hii miaka ya karibuni, kwahiyo wachezaji hawana uhakika wa project kutokana na aina ya uendeshwaji wa club, mfano Man utd haifanyi vizuri ila kwakuwa wao sio bahiri ni rahisi kuvutia mchezaji kwenda pale kwakuwa anajua team itanunua tu wachezaji Bora

Kuatract wachezaji wazuri kunahitaji team iwe iko vizuri at that time, kama ilivo Liverpool au city au Chelsea ni rahisi kupata mchezaji, na kitu kingine ambacho kinaweza mshawishi mchezaji aje timu yako ni kocha aliepo, sa hivi vyote arsenal inavikosa ila kitu ambacho kikubwa Zaidi ni kukosa Imani na team/uongozi

Sometimes mchezaji anaweza kubali kwenda team flani Kwa sababu kaambiwa tu project ilivo, kocha anaweza mpa project ya kujenga team tishio ndani ya miaka 2 na akamwambia mchezaji anamuona yeye kama mtu sahihi, naanza na wewe Kisha nakuletea flani na flani kama alivokuwa anafanya Anceloti pale Everton, ila Kila mchezaji anajua Arsenal kufanya usajili bora ni issue kwahiyo ni ngumu kukubali project

Issue ya Dusan na Juventus, ni Arsenal ndio wamefanya Hadi juve watoe Hela, ila Dusan alikuwa kashakubaliana na Juventus kuwa ataenda bure next season mkataba wake ukiisha, sa kitendo cha Arsenal kumit release clause ya mchezaji ndio juve akawa hana namna maana fiorentina wasingeweza ikataa Hela ya Arsenal alafu mchezaji next season akaondoka Bure
 
Mkuu uli edit comment nini maana hii ya chini haikuepo wakati nakujibu

Anyway kuhusu wachezaji kuikataa arsenal ni Kwa sababu ishapoteza mvuto kwa wachezaji wazuri kutokana na kutofanya vizuri hii miaka ya karibuni, kwahiyo wachezaji hawana uhakika wa project kutokana na aina ya uendeshwaji wa club, mfano Man utd haifanyi vizuri ila kwakuwa wao sio bahiri ni rahisi kuvutia mchezaji kwenda pale kwakuwa anajua team itanunua tu wachezaji Bora

Kuatract wachezaji wazuri kunahitaji team iwe iko vizuri at that time, kama ilivo Liverpool au city au Chelsea ni rahisi kupata mchezaji, na kitu kingine ambacho kinaweza mshawishi mchezaji aje timu yako ni kocha aliepo, sa hivi vyote arsenal inavikosa ila kitu ambacho kikubwa Zaidi ni kukosa Imani na team/uongozi

Sometimes mchezaji anaweza kubali kwenda team flani Kwa sababu kaambiwa tu project ilivo, kocha anaweza mpa project ya kujenga team tishio ndani ya miaka 2 na akamwambia mchezaji anamuona yeye kama mtu sahihi, naanza na wewe Kisha nakuletea flani na flani kama alivokuwa anafanya Anceloti pale Everton, ila Kila mchezaji anajua Arsenal kufanya usajili bora ni issue kwahiyo ni ngumu kukubali project

Issue ya Dusan na Juventus, ni Arsenal ndio wamefanya Hadi juve watoe Hela, ila Dusan alikuwa kashakubaliana na Juventus kuwa ataenda bure next season mkataba wake ukiisha, sa kitendo cha Arsenal kumit release clause ya mchezaji ndio juve akawa hana namna maana fiorentina wasingeweza ikataa Hela ya Arsenal alafu mchezaji next season akaondoka Bure
Yes niliedit Mkuu Arsenal yetu ya sasa inakataliwa na wachezaji wengi mno inasikitisha sana for example player anajiona ni superior akiangalia Arsenal nzima kuanzia Board coach na players anaona hana atakaloenda kuachieve kuna kipindi nlisema Arsenal ivutie hao superiors players lazima iqualify Champions league otherwise ikifeli Arsenal kuamka itakuwa majaliwaa itabakia jina sababu pesa za usajili hazitoki kamwe tunapenda cheap players always let's wait and see what will happen

Namalizia kwa ukweli Mchungu hakuna mchezaji mwenye jina kwa kipindi cha sasa atakuja Arsenal permanent awe chini ya Arteta hakuna na halitatokea labda wa mkopo na akijua bosi ni kroenke ndio kabisaa
 
Reuben Neves, Douglas Luiz, Tyler Adams long term targets, leta mchezaji yoyote mwenye uwezo wa execute tactics za Mikel Arteta reliably. Reuben Neves, man, What a player!
 
Reuben Neves, Douglas Luiz, Tyler Adams long term targets, leta mchezaji yoyote mwenye uwezo wa execute tactics za Mikel Arteta reliably. Reuben Neves, man, What a player!
Katika hao wote hakuna atakayekuja Arsenal kwa sasa trust me Aaron Arsenal kaja na story zake za usajli tangia mwanzo mwa January kaamua kupotea zake mbele ya safari next weekend dirisha linafungwa wote waliotajwa yupi mpaka sasa katua Arsenal?jibu ni hakuna Arsenal endapo itataka superior players lazima wawe na mipango ya mbeleni(up to now future haisomeki)au aqualify champions league (up to now haifahamiki ushindani ni mkubwa)au imlipe hela ya maana (Arsenal haipo tayari kwa hilo)
 
Hili jukwaa watu wanalalamika sana wakati hamna wanachoweza kubadili.
Ukimind sana hama timu.
 
Yule Bruno Guimaraes aliyetajwa na kua linked na Arsenal Newcastle wamepeleka ofa ya 40M kwa Lyon.

Mchezaji bado hajajibu kwakua kuna Juve na Arsenal ambazo zote zinamhitaji.
 
Hili jukwaa watu wanalalamika sana wakati hamna wanachoweza kubadili.
Ukimind sana hama timu.
Ina maana fans wafanane mawazo?kimbilio lako wewe ni kuwa mtu ahame timu ndio solutions?una akili za kitoto sana wewe katika world hii kamwe hakuna watu watakaofanana mawazo kamwe let people speak kila mahali iwe ofisini kwenye business au popote pale kamwe mawazo ya watu hayawezi kufanana so ndio maana unaona kuna boards za kufanya vikao na kutoa maamuzi na kinature wanawake ndio wanaoweza wakasusa but sio mwanaume aliyekamilika so relax and enjoy the conversations za watu
 
Back
Top Bottom