Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakati naandika kwamba tumetolewa FA, Carabao na tutatolewa top four Will Jr alikua bize kupinga na stori na takwimu zake mbalimbali.

Kuna vitu mtu anakuja kukuambia siyo vya ukweli na anatafuta angle ya kuingiza argument mpya kila muda na unashangaa anatoa wapi moyo huo.

Kuna kitu cha msingi itabidi tuelewe na tukubali kitu chenyewe ni kuacha kuishi ndotoni.

Ukiiangalia timu jinsi inavyocheza. Kikosi na wachezaji waliopo unapata picha wapi timu inaenda, wengine hua wanaelewa wengine hua hadi abishe asikie raha.

This is bullshit
 
akili ziwakae sawa mashabiki au wachezaji au uongozi wa arsenal
Mashabiki akili zitakaa sawa wakati Kroenke anaingiza faida ya mabilioni kupitia Arsenal huku hakuna trophies zozote kubwa for more than 20 years tena wananunua new jezi kila msimu wengine wanalipa viingilio kuingia uwanjani wakati hakuna jipya
 
Wakati naandika kwamba tumetolewa FA, Carabao na tutatolewa top four Will Jr alikua bize kupinga na stori na takwimu zake mbalimbali.

Kuna vitu mtu anakuja kukuambia siyo vya ukweli na anatafuta angle ya kuingiza argument mpya kila muda na unashangaa anatoa wapi moyo huo.

Kuna kitu cha msingi itabidi tuelewe na tukubali kitu chenyewe ni kuacha kuishi ndotoni.

Ukiiangalia timu jinsi inavyocheza. Kikosi na wachezaji waliopo unapata picha wapi timu inaenda, wengine hua wanaelewa wengine hua hadi abishe asikie raha.

This is bullshit
FACT bro
 
Our loss to Notingham ilitakiwa itupe picha kubwa ya udhaifu ulipo na ilikua clear kwamba timu ni dhaifu kwenye mid na forward ingawa tukiweka kwenye mzani mid ndiyo urgent need kuliko forward.

So nikadhani tutasajili kabla ya game dhidi ya Liva haikua hivyo. Loss to Liver meant tuna kitu kimoja tu cha kupambania 'top four' so sajili watu wakukute unapambana top four bado wamejificha ofisini.

Kisha anakuja mtu na screen shots zake anakuambia hapa top four uhakika. Nigga angalau ungesubiri usajili uishe kabla ya kujipa moyo.
 
Mashabiki akili zitakaa sawa wakati Kroenke anaingiza faida ya mabilioni kupitia Arsenal huku hakuna trophies zozote kubwa for more than 20 years tena wananunua new jezi kila msimu wengine wanalipa viingilio kuingia uwanjani wakati hakuna jipya
Sasa bro mashabiki si tushalalamika vya kutosha?
 
What a misssssssssssss again. Lacazette. Possession stands at 90%to 10%
Hongereni Hasan-Ali mmewakula vyenga hatari, mpo vizuri kwa kweli, mechi inayofata mnawakula vyenga tena Wolves, halafu mnafaida ya viporo vinne.
Screenshot_20220123-222335.jpg
 
ngoja tumuone mimi naamini anajua boli sana.
Melo ni Locatelli aliyekosa namba first eleven so ni aina ya mchezaji ambaye siyo mbaya ukiwa naye kikosini ila hata asipokuepo huwezi notice.

Yaani ni kwamba Juve siyo vinabo kumleta Locatelli pale huku wana Melo na wote wana qualities zinazoendana. Na Locatelli amefikia kua first eleven kamuacha Melo benchi.

Anyway, hua hatujudge mchezaji kwa alipotokea ila matumaini ya juu sana yatakupa ugonjwa wa moyo
 
Melo ni Locatelli aliyekosa namba first eleven so ni aina ya mchezaji ambaye siyo mbaya ukiwa naye kikosini ila hata asipokuepo huwezi notice.

Yaani ni kwamba Juve siyo vinabo kumleta Locatelli pale huku wana Melo na wote wana qualities zinazoendana. Na Locatelli amefikia kua first eleven kamuacha Melo benchi.

Anyway, hua hatujudge mchezaji kwa alipotokea ila matumaini ya juu sana yatakupa ugonjwa wa moyo
Nachoamin mim wachezaj wa arsenal wakiamua kujituma plus motivation y kocha wao wakacheza game zao kwa spirt kubwa km game n man cty vile walivocheza bas top four ni uakika
 
Ngoja kabla sijajibu swali lako na mimi nikuulize.

Lokonga ni first eleven alipotokea.

Melo je?
Wote sina uhakika
Melo nilimfatilia akiwa Barca tuu

Lokonga nimemfatilia akiwa Arsenal
Melo toka aondoke Barca sijamfatilia
 
Melo ni Locatelli aliyekosa namba first eleven so ni aina ya mchezaji ambaye siyo mbaya ukiwa naye kikosini ila hata asipokuepo huwezi notice.

Yaani ni kwamba Juve siyo vinabo kumleta Locatelli pale huku wana Melo na wote wana qualities zinazoendana. Na Locatelli amefikia kua first eleven kamuacha Melo benchi.

Anyway, hua hatujudge mchezaji kwa alipotokea ila matumaini ya juu sana yatakupa ugonjwa wa moyo
sawa
ila mpira hauwezi nipa ugonjwa wa moyo
 
Wakati naandika kwamba tumetolewa FA, Carabao na tutatolewa top four Will Jr alikua bize kupinga na stori na takwimu zake mbalimbali.

Kuna vitu mtu anakuja kukuambia siyo vya ukweli na anatafuta angle ya kuingiza argument mpya kila muda na unashangaa anatoa wapi moyo huo.

Kuna kitu cha msingi itabidi tuelewe na tukubali kitu chenyewe ni kuacha kuishi ndotoni.

Ukiiangalia timu jinsi inavyocheza. Kikosi na wachezaji waliopo unapata picha wapi timu inaenda, wengine hua wanaelewa wengine hua hadi abishe asikie raha.

This is bullshit
Huyo jamaa yuko vzr kwenye analysis za mpira, lkn kuna muda huwa anajizima data kwa vitu ambavyo vipo obvious kabisaa
Kuna kipindi tulikuwa na arguement kuhusu Man U na Solskjaer. Anakwambia player profile ndo inafanya Man U iboronge na wala siyo kocha😅😅😅
 
Back
Top Bottom