Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyo jamaa yuko vzr kwenye analysis za mpira, lkn kuna muda huwa anajizima data kwa vitu ambavyo vipo obvious kabisaa
Kuna kipindi tulikuwa na arguement kuhusu Man U na Solskjaer. Anakwambia player profile ndo inafanya Man U iboronge na wala siyo kocha😅😅😅
Well kwakua yuko vizuri pengine alikua sahihi kuhusu alichokidai
 
Wote sina uhakika
Melo nilimfatilia akiwa Barca tuu

Lokonga nimemfatilia akiwa Arsenal
Melo toka aondoke Barca sijamfatilia
Kwa Lokonga sijauliza ni nimesema.

Lokonga alikua starter.

Melo hakua starter Juve. Alisajiliwa afanye anachotakiwa kufanya Locatelli the fact that Locatelli kasajiliwa means Melo majukumu yanamshinda.
 
Naona msimu wa ku drop points umeanza tena. We must have won yesterday's game. It's shame tumetoa sare na Burnley.
 
Nachoamin mim wachezaj wa arsenal wakiamua kujituma plus motivation y kocha wao wakacheza game zao kwa spirt kubwa km game n man cty vile walivocheza bas top four ni uakika
Mpaka sasa tatizo siyo morali ni usajili hewa
 
Wakati naandika kwamba tumetolewa FA, Carabao na tutatolewa top four Will Jr alikua bize kupinga na stori na takwimu zake mbalimbali.

Kuna vitu mtu anakuja kukuambia siyo vya ukweli na anatafuta angle ya kuingiza argument mpya kila muda na unashangaa anatoa wapi moyo huo.

Kuna kitu cha msingi itabidi tuelewe na tukubali kitu chenyewe ni kuacha kuishi ndotoni.

Ukiiangalia timu jinsi inavyocheza. Kikosi na wachezaji waliopo unapata picha wapi timu inaenda, wengine hua wanaelewa wengine hua hadi abishe asikie raha.

This is bullshit
Burnley walikuwa deep compact block, was not easy kubreak them down kwa medfield tuliyokuwa nayo, lakini ni mara ngapi Saka/ Martinelli found themselves in 1v1 situations ambazo wangeweza kuCapitalize ? Sasa unamlaumu vipi kocha kama kaAfford kutupa structure inayofanya tunasustain attacks frequently?

Huwezi kusajili mchezaji kwa kupanic kisa game ya Burnley au Liverpool carabao na ukaacha kusajili mchezaji for the long term solution.

Wote tunajua Arsenal haikuwa na mpango wa kusajili ST january paka Auba alipo misbehave, wote tunajua uzito wa kusajili Midfield umekuja baada ya Xhaka & Partey kupata red card, hata usajili wa Arthur mello ni vile Arteta has shifted from 4231 to 433 and Xhaka's profile doesnt excel enough to that new role.

This is illogical reactions, we act like football is easy at times.
 
Burnley walikuwa deep compact block, was not easy kubreak them down kwa medfield tuliyokuwa nayo, lakini ni mara ngapi Saka/ Martinelli found themselves in 1v1 situations ambazo wangeweza kuCapitalize ? Sasa unamlaumu vipi kocha kama kaAfford kutupa structure inayofanya tunasustain attacks frequently?

Huwezi kusajili mchezaji kwa kupanic kisa game ya Burnley au Liverpool carabao na ukaacha kusajili mchezaji for the long term solution.

Wote tunajua Arsenal haikuwa na mpango wa kusajili ST january paka Auba alipo misbehave, wote tunajua uzito wa kusajili Midfield umekuja baada ya Xhaka & Partey kupata red card, hata usajili wa Arthur mello ni vile Arteta has shifted from 4231 to 433 and Xhaka's profile doesnt excel enough to that new role.

This is illogical reactions, we act like football is easy at times.
Football is easy.

Plan ya kusajili kiungo was there if they signed a CM after forest's defeat it couldn't be seen as a panic buy. Partey was a panic buy.

The plan to buy ST was there, Auba is 30+ and so is Laca we were linked with Tammy sooner after he left for Roma, long before Auba started misbehaving.

We do not play 4 3 3. Partey is a DM so is Xhaka for these two to be accommodated in a 4 3 3 formation it should be 4 2 1 3 which it would a disaster. Arteta said he envision to play 4 3 3 but there are not right players yet so we have not yet moved to 4 3 3.

Arteta ana mchango mkubwa kwa timu kupata game plan lakini hana watu sahihi wa kuexecute plan ana watu ambao hawasiti kupata red, wanaoshindwa duels, faulo zisizo za lazima na wasiojitoa kwenye 50/ 50. Huko hana lawama zangu. Lawama zangu zipo katika usajili.

Nitarudia tu same deal. Ukiangalia kikosi na mpira utajua nini kipo nini hakipo na nini unaweza kukitegemea kauli yako ya kikosi hichi kutuweka top four ilikua ni ya kimiyeyusho.
 
What i know is that we have a top manager, top players, top structure and we will finish in the top four.
Kama tusiposajili hata namba sita hatukai.

Ikatokea hatujasajili mpaka dirisha linafungwa kisha tunarudi uwanjani hivyo hivyo na tukamaliza top four sitaingia tena huu uzi.

Nitakuomba unionyeshe uwezo wako wa utabiri ulipoutoa, nikajifunze, ninunue kaniki na tunguli niwe mganga nipate pesa
 
Football is easy.

Plan ya kusajili kiungo was there if they signed a CM after forest's defeat it couldn't be seen as a panic buy. Partey was a panic buy.

The plan to buy ST was there, Auba is 30+ and so is Laca we were linked with Tammy sooner after he left for Roma, long before Auba started misbehaving.

We do not play 4 3 3. Partey is a DM so is Xhaka for these two to be accommodated in a 4 3 3 formation it should be 4 2 1 3 which it would a disaster. Arteta said he envision to play 4 3 3 but there are not right players yet so we have not yet moved to 4 3 3.

Arteta ana mchango mkubwa kwa timu kupata game plan lakini hana watu sahihi wa kuexecute plan ana watu ambao hawasiti kupata red, wanaoshindwa duels, faulo zisizo za lazima na wasiojitoa kwenye 50/ 50. Huko hana lawama zangu. Lawama zangu zipo katika usajili.

Nitarudia tu same deal. Ukiangalia kikosi na mpira utajua nini kipo nini hakipo na nini unaweza kukitegemea kauli yako ya kikosi hichi kutuweka top four ilikua ni ya kimiyeyusho.
Labda kama huzielewi formations, most of the time ukiangalia upande wa kushoto utaona,

Martinelli plays on the touchline in the first and second phase

Xhaka moves further forward to leave Partey as a 6


Odegaard in the right half-space occasionally dropping deep

Tierney overlapping while Martinelli comes inside in the final third

Xhaka and Martinelli are combining on that left-hand side.

This is a 4-3-3 type from the Norwich, Leeds, West Ham, and Southampton games.

Game vs City, it was 4231

Ukisema kuhusu usajili ST ilikuwa planned next summer not now ila Auba akafanya yake imewalazimu Arsenal waingie sokoni, hata kwa Mid ndio maana unaona wanamtaka Arthur kwa mkopo ila target ni either Tielemans / Bruno next summer
 
Kama tusiposajili hata namba sita hatukai.

Ikatokea hatujasajili mpaka dirisha linafungwa kisha tunarudi uwanjani hivyo hivyo na tukamaliza top four sitaingia tena huu uzi.

Nitakuomba unionyeshe uwezo wako wa utabiri ulipoutoa, nikajifunze, ninunue kaniki na tunguli niwe mganga nipate pesa
Tatizo la Arsenal fanbse ni kuwa you're moving from trend to trend, timu ikafanya poa mnajifanya mnachambua, timu ikifanya vibaya mnajikuta mnajua kukosoa kweli, very interesting ila tushawazoea haisumbui, haters wote tunawajua
 
Labda kama huzielewi formations, most of the time ukiangalia upande wa kushoto utaona,

Martinelli plays on the touchline in the first and second phase

Xhaka moves further forward to leave Partey as a 6


Odegaard in the right half-space occasionally dropping deep

Tierney overlapping while Martinelli comes inside in the final third

Xhaka and Martinelli are combining on that left-hand side.

This is a 4-3-3 type from the Norwich, Leeds, West Ham, and Southampton games.

Game vs City, it was 4231

Ukisema kuhusu usajili ST ilikuwa planned next summer not now ila Auba akafanya yake imewalazimu Arsenal waingie sokoni, hata kwa Mid ndio maana unaona wanamtaka Arthur kwa mkopo ila target ni either Tielemans / Bruno next summer
Sasa kama mpango ni Tielemans na hatukuwahi kutaka kiungo ofa kwa Maddison ilipelekwa ya nini?

Kwa Aouar ilipelekwa ya nini msimu uliopita?

Hizo overlapping za fullbacks ni sehemu ya game plan, beki kuoverlap haimaanishi hiyo ndiyo 4 3 3.

Kati ya Xhaka na Partey mwenye decent pace ni Partey ndiyo maana anakua anaenda mbele mara nyingi kuliko Xhaka hii ya Xhaka kwenda mbele kumuacha nyuma Partey umeiona regularly au mara 1 katika 10?

Katika game plan ambayo inaemploy attacking fullbacks Martinelli anatakiwa alink up na LB, wewe unasema analink na Xhaka, na Xhaka ni DM anakua katikati atakuaje DM yet atoe support kwenye wing at the same time?

Sisi tunacheza 4 2 3 1 kama build up imefanywa vizuri utamuona Partey nje ya box, Xhaka nyuma ya Partey kidogo, CB na fullback mmoja wamepanda juu kwa ajili ya offside trap na wingers, ST na AM wataku wanatafutana na wapinzani.
 
Tatizo la Arsenal fanbse ni kuwa you're moving from trend to trend, timu ikafanya poa mnajifanya mnachambua, timu ikifanya vibaya mnajikuta mnajua kukosoa kweli, very interesting ila tushawazoea haisumbui, haters wote tunawajua
Hiki kichaka chenu cha kuita watu haters kinatiwa moto na facts na logic.

Anasajiliwa Partey badala ya Aouar nikasema tunapotea. We did.

Nikasema tunahitaji RB huyu Chambers atatucost. He did.

Nikasema tutatolewa Carabao na tutastruggle top four. Na ndiyo tupo hapa.

But some guy anaopt kuita watu haters 🙄🙄🙄 hell hii timu inapigwa kulia, kushoto na katikati watu mmekimbia uzi nani alikua bado yupo hapa?
 
Hiki kichaka chenu cha kuita watu haters kinatiwa moto na facts na logic.

Anasajiliwa Partey badala ya Aouar nikasema tunapotea. We did.

Nikasema tunahitaji RB huyu Chambers atatucost. He did.

Nikasema tutatolewa Carabao na tutastruggle top four. Na ndiyo tupo hapa.

But some guy anaopt kuita watu haters hell hii timu inapigwa kulia, kushoto na katikati watu mmekimbia uzi nani alikua bado yupo hapa?
Kaka unamwaga madini kuna siku nlisema mtu ukiongea facts unaitwa haters imagine today unaitwa hater wakati unaongea points kabisa kuna siku nlisema kuna watu wakishindwa kwenye points wanadai kuna fan anatumia more than ID ,mara utaitwa hater in my opinion upo sahihi sana Arsenal kwa sasa ishajifia na haistahili kuitwa Big 6 tena because big games tumepoteza almost zote this season look January hii tunagoli 1 pekee tumetolewa FA Cup Carabao Cup ndani ya wiki 1 seriously?top 4 ndio bye bye kwa Arsenal hii ikiingia top 4 naaga jukwaa najua haiwezekani kwa style hii bado tuna games na Manchester United Liverpool Chelsea Tottenham ya Conte Wolverhampton (2 games) hapa lazima timu itadidimia
Arsenal haina direction up to now usajili wake haueleweki ni wa kupanic na kubahatisha bahatisha but let's wait and enjoy the game
 
Eti muna muchezaji anaitwa sambi sijui tambi alafu anacheza EPL hahhahaha hii timu takataka Sana🤣🤣🤣
 
Hiki kichaka chenu cha kuita watu haters kinatiwa moto na facts na logic.

Anasajiliwa Partey badala ya Aouar nikasema tunapotea. We did.

Nikasema tunahitaji RB huyu Chambers atatucost. He did.

Nikasema tutatolewa Carabao na tutastruggle top four. Na ndiyo tupo hapa.

But some guy anaopt kuita watu haters 🙄🙄🙄 hell hii timu inapigwa kulia, kushoto na katikati watu mmekimbia uzi nani alikua bado yupo hapa?
Hahahaha amia psg mkuu..hahaha
 
Back
Top Bottom