Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Newcastle wapo very serious kwenye window hii
Screenshot_20220126-023157_Instagram.jpg
 
Arsenal inachekesha sana, rumours from 1st January hadi leo, arsenal want this, want that.... dirisha laweza fungwa bila addition yoyote kwenye timu.
 
Ina maana fans wafanane mawazo?kimbilio lako wewe ni kuwa mtu ahame timu ndio solutions?una akili za kitoto sana wewe katika world hii kamwe hakuna watu watakaofanana mawazo kamwe let people speak kila mahali iwe ofisini kwenye business au popote pale kamwe mawazo ya watu hayawezi kufanana so ndio maana unaona kuna boards za kufanya vikao na kutoa maamuzi na kinature wanawake ndio wanaoweza wakasusa but sio mwanaume aliyekamilika so relax and enjoy the conversations za watu
pia wanawake ndio wanaongoza kulalamika
 
Arteta kasema soko lipo complicated dirisha hili hivyo ingawa wanajitahidi ila hatarajii kama kuna usajili mpya wowote utakaofanyika.

Taarifa zilisema ameenda USA kuongea na Stan juu ya kuhitaji kusajili dirisha hili. Hayajatoka majibu kama kapata green light ama la ila sasa hivi yupo Dubai.
 
Arteta kasema soko lipo complicated dirisha hili hivyo ingawa wanajitahidi ila hatarajii kama kuna usajili mpya wowote utakaofanyika.

Taarifa zilisema ameenda USA kuongea na Stan juu ya kuhitaji kusajili dirisha hili. Hayajatoka majibu kama kapata green light ama la ila sasa hivi yupo Dubai.
Stan anapenda watu wanaoweza kukubali kufanya kazi kwenye constrain budget. Arteta anatamani kuwa nabkukosi kama cha Pep kikicho na ubora ndani na bench, ila anaishia kupata Lukonga na Cedric.

Siku wale wenzetu wa Landani wakichoka siasa za Stan na kutaka kuirejesha team kwenye enzi zake basi tutarudi kuwa na Arsenal yetu tukitoizoea, ila kwa sasa tuendelee kunywa mtori nyama ziko chini
 
The Athletic wanasema Arsenal ilikua imetarget kati ya Dusan, Isak au Dominic na kwa sasa Dusan tumeshindwana naye hivyo tunabaki na Isak na Domi.

Wanaripoti kua back up plan iliyopo ni Luka Jovic bench warmer wa Madrid. Kama kila mmoja yupo kwenye form kati ya Isak, Domi na Luka huyu Luka ni hatari katika kuscore. Isak ni mzuri katika kupress, shot power, ana vision na pace ila hana composure nzuri sana na pia hana stamina kubwa.

Domi ana stamina, ana kimo kwa ajili ya header, ila hana cha kuoffer zaidi ya kuscore, mkipigwa low block ujue siku hiyo Domi humuoni.

Luka Jovic hana pace ya Isak ila ana composure kumzidi Isak, anakaba, ana stamina na mwepesi mbele ya goli. Kama tukimpara Luka au Isak itakua poa zaidi ila hii itategemea na jibu alilogewa Arteta na Stan.
 
Stan anapenda watu wanaoweza kukubali kufanya kazi kwenye constrain budget. Arteta anatamani kuwa nabkukosi kama cha Pep kikicho na ubora ndani na bench, ila anaishia kupata Lukonga na Cedric.

Siku wale wenzetu wa Landani wakichoka siasa za Stan na kutaka kuirejesha team kwenye enzi zake basi tutarudi kuwa na Arsenal yetu tukitoizoea, ila kwa sasa tuendelee kunywa mtori nyama ziko chini
Josh alisema kuna 250M kwa ajili ya dirisha la kiangazi msimu uliopita. Kwa usajili uliofanywa means kuna pesa imebaki, ila sijui kwanini hakuna uhakika wa kusajili
 
Arsenal long term plan kwenye mid ni kati ya Tyler Adams, Douglas Luiz na Neves. Guimaraes ilitakiwa awe short term plan.

Hata hivyo ofa ya Newcastle kwa Lyon kwa ajili ya Guimaraes imesikilizwa na klabu kwakua imelingana na asking price ya Lyon. Mchezaji hajatoa jibu kwakua anataraji ofa kutoka Arsenal na Juve na anaona kiangazi zitakuja ofa nyingi nzuri kuliko hii.

On the other hand inasemwa kwamba Arsenal imemlenga zaidi Isak kwakua ana release clause inayoweza kufikiwa hata hivyo inatarajiwa Arsenal wapendekeze bei ndogo kuliko release clause.
 
Josh alisema kuna 250M kwa ajili ya dirisha la kiangazi msimu uliopita. Kwa usajili uliofanywa means kuna pesa imebaki, ila sijui kwanini hakuna uhakika wa kusajili
1. Team haivutii wachezaji wakubwa au wenye potwntial ya kuwa wakubwa
2. Masharti ya installment za kulipa mfano namna alivyonunuliwa Saliba na Pepe malipa yamegawanywa kwa mafungu mafungu na yanalipwa zaidi ya miaka mitatu hadi mitano.
3. Mwalimu havutii wachezaji kuja kufanya nao kazi.
5. Hatuna project inayoeleweka na Malengo yetu hayaeleweki
6. Seriousness ya mwenye team kwa mipango yake na malengo ya kiu ya mataji
 
Kwa kikosi tulichonacho kama wote wakiwa wazima dirisha hili tukisajili mid kama Rosicky (Sanches easy option) na ST wa mkopo Luka then we are good to go for the rest of the season kisha kikosi kitaimarishwa kiangazi.
 
1. Team haivutii wachezaji wakubwa au wenye potwntial ya kuwa wakubwa
2. Masharti ya installment za kulipa mfano namna alivyonunuliwa Saliba na Pepe malipa yamegawanywa kwa mafungu mafungu na yanalipwa zaidi ya miaka mitatu hadi mitano.
3. Mwalimu havutii wachezaji kuja kufanya nao kazi.
5. Hatuna project inayoeleweka na Malengo yetu hayaeleweki
6. Seriousness ya mwenye team kwa mipango yake na malengo ya kiu ya mataji
1) Hii ishu ni complicated natoa mfano, Barca kwa ilipo imeshuka kutoka kwenye level tuliyoizoea lakini Dest aligoma kwenda Bayern ili aende Barca, Wijnaldum aligoma kwenda Barca akaenda PSG.

2) Kulipa kwa awamu siyo jambo geni. Na baada ya corona naona vilabu vingi vimeresort kwenye hii.

3) Hii ishu ni complicated pia, Arteta na Ole nani ana clue ya anachofanya? Ila kwa Ole wameenda wachezaji wenye potential mfano Bruno. Same can be said kwa Xavi hana trophy, katolewa del rey na Bilbao, katolewa CL yupo Europa (ambako tunaamini watatolewa pia) timu iko hovyo ila leo muda huu Tagliafico kakataa deals zote anataka kwenda Barca. Hiki ndiyo alikisema Arteta kwamba mchezaji anayetakiwa Arsenal ni atakayeona fahari kua pale.

4) Kivipi haieleweki?

5) Nakubaliana na wewe. Huyu anaikwamisha timu.
 
Kwa kikosi tulichonacho kama wote wakiwa wazima dirisha hili tukisajili mid kama Rosicky (Sanches easy option) na ST wa mkopo Luka then we are good to go for the rest of the season kisha kikosi kitaimarishwa kiangazi.
Tatizo hawapo, TR au Sanchez sokoni waliopo wote wanataka team zenye malengo na uhakika wa mataji walau kila baada ya miaka miwili. Sisi hatumo kwenye hiyo kaliba
 
Tatizo hawapo, TR au Sanchez sokoni waliopo wote wanataka team zenye malengo na uhakika wa mataji walau kila baada ya miaka miwili. Sisi hatumo kwenye hiyo kaliba
Sasa waliojiunga United muda sawa na Pepe wangapi wameshapata taji? Unless by mataji umaanishe CL which will be irrelevant as timu haiwezi kua na uhakika wa kuchukua CL kila baada ya misimu miwili
 
1) Hii ishu ni complicated natoa mfano, Barca kwa ilipo imeshuka kutoka kwenye level tuliyoizoea lakini Dest aligoma kwenda Bayern ili aende Barca, Wijnaldum aligoma kwenda Barca akaenda PSG.

2) Kulipa kwa awamu siyo jambo geni. Na baada ya corona naona vilabu vingi vimeresort kwenye hii.

3) Hii ishu ni complicated pia, Arteta na Ole nani ana clue ya anachofanya? Ila kwa Ole wameenda wachezaji wenye potential mfano Bruno. Same can be said kwa Xavi hana trophy, katolewa del rey na Bilbao, katolewa CL yupo Europa (ambako tunaamini watatolewa pia) timu iko hovyo ila leo muda huu Tagliafico kakataa deals zote anataka kwenda Barca. Hiki ndiyo alikisema Arteta kwamba mchezaji anayetakiwa Arsenal ni atakayeona fahari kua pale.

4) Kivipi haieleweki?

5) Nakubaliana na wewe. Huyu anaikwamisha timu.
Haeleweki kwa sababu tuna miaka zaidi ya 10 na project ya matumaini. Vijana wanakuja wanasubiri wanaona giza na kuamua kusepa. Mwishowe tunaanza na mzunguko mwingine ambao nao unachoka kusubiri na kusepa. Ni muda tu kwa sasa Saka, ESR, na wengine watapata kiu ya mataji na watatukimbia.

Kifupi unapokuwa na vipaji vizuri na bya matumaini toka Ndani unahitaji kuwaongezea wakurungwa kadhaa ili kufanikiwa na wao waone fahari ya kuwa walipo. Ila kuwaacha hawa watoto wahangaike na kukukia hapo hapo na kuendelea kupishana na mataji ni sawa na kuwaambia mkichoka kusubiri mnaweza kwenda, na hili haliko mbali miaka miwili mitatu ijayo yatatimiabkwa Saka, ESR na machaliibwengine pontential.

Stan must go ili kukombolewa kutoka kwenye hili giza linalokaribia miaka 20 sasa.
 
Haeleweki kwa sababu tuna miaka zaidi ya 10 na project ya matumaini. Vijana wanakuja wanasubiri wanaona giza na kuamua kusepa. Mwishowe tunaanza na mzunguko mwingine ambao nao unachoka kusubiri na kusepa. Ni muda tu kwa sasa Saka, ESR, na wengine watapata kiu ya mataji na watatukimbia.

Kifupi unapokuwa na vipaji vizuri na bya matumaini toka Ndani unahitaji kuwaongezea wakurungwa kadhaa ili kufanikiwa na wao waone fahari ya kuwa walipo. Ila kuwaacha hawa watoto wahangaike na kukukia hapo hapo na kuendelea kupishana na mataji ni sawa na kuwaambia mkichoka kusubiri mnaweza kwenda, na hili haliko mbali miaka miwili mitatu ijayo yatatimiabkwa Saka, ESR na machaliibwengine pontential.

Stan must go ili kukombolewa kutoka kwenye hili giza linalokaribia miaka 20 sasa.
Arteta hana miaka 10 tho. He made it clear anahitaji uhakika wa usajili ili kupambania makombe.

Also niliwahi sema hakuna kocha mkubwa mwenye rekodi zake atakubali kuja Arsenal ya Stan kwakua kocha mkubwa hana time na kubembelezana katika kusajili.

So ukisema Arteta aondoke means ataletwa kocha wa mid table mwingine ambaye kazi yake itakua kuhakikisha timu haishuki daraja.

Tutake tusitake Arteta ni wa kumvumilia tu.

Aliproject kuingia CL by third season. Tusubiri tuone.
 
Adebayor akiwa anazungumzia ishu ya Auba amesema kwamba Arsenal ndivyo ilivyo hua haijui kusamehe.

Auba ameachwa katika hii trip ya Dubai,

Siku mbili kabla ya safari Arteta aliulizwa kama Auba atakuepo akajibua hana uhakika na jibu la hilo swali.

Ofa ya Al Nassr ni ndogo ila ingekua ya kuridhisha Auba angekua kashaondoka.
 
Arteta hana miaka 10 tho. He made it clear anahitaji uhakika wa usajili ili kupambania makombe.

Also niliwahi sema hakuna kocha mkubwa mwenye rekodi zake atakubali kuja Arsenal ya Stan kwakua kocha mkubwa hana time na kubembelezana katika kusajili.

So ukisema Arteta aondoke means ataletwa kocha wa mid table mwingine ambaye kazi yake itakua kuhakikisha timu haishuki daraja.

Tutake tusitake Arteta ni wa kumvumilia tu.

Aliproject kuingia CL by thirs season. Tusubiri tuone.
Rejea maandiko yangu, hakuna mahala nimesema Arteta aondoke.

Ukinielewa hapo yanayofuata ni mepwsi sana kuyang'amua.

Tatizo la Team sio Kocha bali Malengo ya Mmiliki na anataka kuona nini kinatokea kama matokeo kwa team.

Kwa sana he is so happy kupokea magawio ya kila mwaka kwa uwekezaji huu usiomoa stress, hadi siku akiamuabkiwa serious team itarudia enzi zake za utamu.

Stan hana interest na football, kwake team ni sehemubya franchise zake ambazo zinampa faida, mataji na furaha ya mashabiki sio sehemu ya matarajio yake.
 
Arteta kimbinu bado hajafeli. Ameipindua defense iliyosemwa haifundishiki mpaka kua namba tatu kwa ubora katika ligi ameifanya timu icheze huku ina plan.

Kinachomfelisha wachezaji. Kuwa na wachezaji wala red na watoa maboko ndiyo kulisababisha msimu uliopita mashabiki wadai kichwa cha Arteta.

Msimu huu kuna idadi ya wachezaji ana amani nao timu inaonekana kuna kitu inataka. Na yeye akasema tunahitaji viungo na washambuliaji, dirisha limefunguliwa bado hatujapeleka bid kokote, zaidi ya wiki nyuma kuripotiwa na Romano kwamba Arsenal inaongea na wakala wa Dusan. Hakuna popote ilipoguswa stori ya viungo.

Dusan was long shot kwanini hatuna plan B ya endapo tungemkosa Dusan? Au Melo? Arsenal hatujawahi kua na kocha mbaya tangu Wenger aondoke kuanzia Emery mpaka Arteta, Wenger alilificha tatizo la Kroenke vizuri ila kwa mpira wa siku hizi wote tunaona nani ana shida.

Ukisema Stan ana shida kuna mtu anakuuliza mbona sasa sisi ndiyo big spenders last summer yaani kama vile hajui kuanzia hiyo last summer ndiyo Arsenal kapokea pesa ya Stan. Kama mnakumbuka mtoto wa Stan alisema wamejiandaa kuhakikisha Arsenal ina exceptional transfer window, hilo dirisha lilikuja na Lokonga, Tavares na wenzao.

Mashabiki wanatarajia miujiza. Kwamba Arteta achekeche tunguli ghafla Lokonga awe na uwezo wa Vieira, Auba form irudi vitu ambavyo haviwezekani. Kwenye huu uzi Dusan kaandikwa siyo chini ya mara 50 ila leo Juve anaondoka na Dusan.

Timu haivutii mchezaji kujidumbukiza humu. Mainly kwakua Arteta anakuza profile yake bado na timu haitarajii kuingia UCL. Kwa sasa timu yetu tatizo lake ni ufinyu wa kikosi na Stan na siyo kocha.
hapo kwenye ufinyu wa kikosi nakubaliana n wew kbsa
 
Back
Top Bottom