Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta kwenye prematch amejibu hilo swali, kasema Partey ana masaa 7 tu tangu arejee kutoka Cameroon kwahiyo asingeweza kuingia kwenye timu moja kwa moja
Hii mechi ni knockout you basically throw everything you have to go through.

Ok so you gon lost a semi expecting a top four what if you fvck up even that top four race?

Ni ujinga
 
Nilivyoandika Arteta na Edu wanatutoa Carabao ni kwakua timu imepoteza kikosi yet hakuna mpango wa kukijazia.

So hizo games za ligi mnazosema ndiyo zimesababisha Partey awe nje notice kwamba kikosi unachokiona leo ndiyo hicho hicho kitacheza hizo games za. Ligi.

So I can add kwamba Arteta na Edu wanatutoa kwenye top four.
 
Nilivyoandika Arteta na Edu wanatutoa Carabao ni kwakua timu imepoteza kikosi yet hakuna mpango wa kukijazia.

So hizo games za ligi mnazosema ndiyo zimesababisha Partey awe nje notice kwamba kikosi unachokiona leo ndiyo hicho hicho kitacheza hizo games za. Ligi.

So I can add kwamba Arteta na Edu wanatutoa kwenye top four.
Huo ni ukweli mkuu
 
Nilivyoandika Arteta na Edu wanatutoa Carabao ni kwakua timu imepoteza kikosi yet hakuna mpango wa kukijazia.

So hizo games za ligi mnazosema ndiyo zimesababisha Partey awe nje notice kwamba kikosi unachokiona leo ndiyo hicho hicho kitacheza hizo games za. Ligi.

So I can add kwamba Arteta na Edu wanatutoa kwenye top four.
Bado sikubaliani nawe mkuu.

Ni game tu tumetolewa basi. Partey huyo hapo sasa hata hiyo next game hachezi
 
Partey hakuwa na match fitness, hata akili pia ilikuwa haipo. Timu nzima haijacheza vizuri leo.

Lengo letu lipo pale pale na wala hatutakuwa distracted.
 
Yaani timu ikifungwa kuna baadhi ya mashabiki sio timu yao, ila ikishinda na wao ndio Arsenal fans.
 
Sio baadhi ya mashabiki, be specific “me”
Mkuu kwa upande mmoja ni maumivu ila kwa upande mmoja ni faida pia kwa matokeo haya.ukichunguza for more than five years huqa tunakuwa serious na usajili mara tu timu inapopata matokeo mbaya .Hatuna strategies clear za usajili ambazo ni "timely"
 
Back
Top Bottom