Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Siwezi kukaa, Kula, kunywa..........nipo nipo tu.....muda naona kama hauendi...I wish niyajue matokeo ya hii mechi hata sasa.....I am so damn excited/nervous...Mwaka jana Barca walituzidi kila angle ya uwanja....though had that crap from manure Silyvester at the Back ila hata katikati walituzidi...Messi was their heroes.....This time around naona tupo different kidogo.....Fab na JW wapo kati...Tatizo ni Song...AW akilichezesha Li Diaby ndo basi tena....All in all bado muda mfupi tu ila kwangu ni kama Mwaka.....All the best Boys.....MUNGU IJAALIE ARSENAL....MUNGU IJAALIE FURAHA Yangu......Cant wt any longer......Gooners 4 life.....Q.
 
Go go Gunners, the whole world wants us to kick out Barca coz they know we are the only ones who can, others can't!
 
Lionel Messi........................Kila nikilikumbuka hili jina amani yanitoweka kabisa.....hasa nikikumbuka what happened in our last visit pale Nou Camp..............................aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaargh
 
khe khe khe khe nasikia wanoko flani wa timu ya Manure na Chelsick ati leo hawakulala kisa wananichubiri wakati wa huu mpambano Wacha muda ufike ndipo watakapojua zipi ni mbivu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee wachezaji wetu hawanywi togwa wanapokwenda kwenye mpambano wala kubugia unga. Si mliona jinsi togwa ilivyomuharibu Wine Romney na Nani? Au vile cash Cole anavyowatungua mashabiki wa mafioso khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Coward Wacha1, uwepo hapa baadae kama gooners wenzio sio unalala mbele kama kawaida yako, wimp!
 
Lionel Messi........................Kila nikilikumuka hili jina amani yanitoweka kabisa.....hasa nikikumbuka what happened in our last visit pale Nou Camp..............................aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaargh


Usikate tamaa jirani, subiri vipimo!
 
Jamani....natamani kulia kila nikiwaza kifo cha rafiki yetu mpendwa Arsenal badae Nuo Camp..kwi kwi kwi kwi kwiiiii! iiiiiiii!, aaaaaaaaa! uwiiiiiiiiii!
 

...jamvi limevamiwa, hata wenyeji hatuna pa kuweka mguu. Leo pataeleweka tu, na tukimalizana nao hawa salaam kwa Man United!, ...Jumamosi tunahamishia msiba Old Trash Fort kwa Mzee Alex Fungus...

Keys+to+victory+How+Arsenal+can+beat+Barcelona


...Nia tunayo, Sababu tunayo na Uwezo tunao...Come on you Gunners, Together we stand!!!
 
Simchezo, naona kila mtu kajiandaa tofauti na mechi ya leo. Mie nimeamua kutuliza presha kwa kusema "litakalo tokea litokee" manake kuna possibility 2 tu ya matokeo.


Wakuu wenzangu tutakua pamoja mwanzo mpaka mwisho, naona wanga washaanza kutanda na tunguli zao ha ha ha ha.
 
Leo nimeona nipite hapa mapema manake akili yote iko hapa.....nitarudi baadaye....!!!!

msichelewe kuja basi mashabiki wenzangu wa Arsenal manake watani watakuja kuendesha jukwaa wao......!!!

Bundi naomba abaki tu huko Manchester United.......akikosea njia aende Chelsea...tupumzike kidogo na sisi!!!

VIVA ARSENAL....PAMOJA DAIMA!!!

Usiwe na wasi wasi jeshi lote la gunners litakuwepo hapa leo.
 
Simchezo, naona kila mtu kajiandaa tofauti na mechi ya leo. Mie nimeamua kutuliza presha kwa kusema "litakalo tokea litokee" manake kuna possibility 2 tu ya matokeo.


Wakuu wenzangu tutakua pamoja mwanzo mpaka mwisho, naona wanga washaanza kutanda na tunguli zao ha ha ha ha.
mkuu ukiniona kwenye sredi ya ze gooners ujue kuna balaa linakuja. kwa ufupi furahia kabisa. kuna mvua iko njiani leo. heheheh acha nizungushe antenna
 
Wacha1 leo mapicha usiache kubandika baada ya mechi dhidi ya Barca..Manure tutakuwa nanyi kuomboleza🙂) eniwei, hatuombeani mabaya ha ha ha ....ni kandanda tu au siyo!!..

Wacha vituko wewe umemaliza msiba?


Jamani....natamani kulia kila nikiwaza kifo cha rafiki yetu mpendwa Arsenal badae Nuo Camp..kwi kwi kwi kwi kwiiiii! iiiiiiii!, aaaaaaaaa! uwiiiiiiiiii!



Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeevipi ulinyolewa na maji? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee Wacha porojo. mpira tupo halftime chacha wewe mapiga kelele ya nini? Huachi vituko weye?
 
Mkuu MBU yupo wapi???mimi nimeshaingia hapa mapema kabisa,tutakuwa pamoja guys......maana nasubiria nikiona leo mtakavyo nyweshwa mbege.....
 
Usiwe na wasi wasi jeshi lote la gunners litakuwepo hapa leo.

nasikitika umeme umekatika .....nitawamiss sana the gunner fans wenzangu.....sitaweza kulala nitakuwa tu nawaza......mechi ikiisha nicheke au nilie.....umeme ukirudi nami nitajumuika nanyi tena......VIVA ARSENAL....GOODLUCK TODAY!

i know WE CAN, we have done it before and we can do it again!!!
 
Wacha vituko wewe umemaliza msiba?






Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeevipi ulinyolewa na maji? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee Wacha porojo. mpira tupo halftime chacha wewe mapiga kelele ya nini? Huachi vituko weye?


Kwii kwii kwiii kwiii kwiiii!
Assholes.jpg
 
Mkuu MBU yupo wapi???mimi nimeshaingia hapa mapema kabisa,tutakuwa pamoja guys......maana nasubiria nikiona leo mtakavyo nyweshwa mbege.....


Wacha ngebe wewe who are you unataka kuamrisha watu kwenye starehe zao?
 
Back
Top Bottom