Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,249
- 2,156
Wacha ngebe wewe who are you unataka kuamrisha watu kwenye starehe zao?
Hahaha mkuu mbona unakuwa na hasira bado mapema sana??zimebakia dakika 25 mambo uwanjani....
Wacha ngebe wewe who are you unataka kuamrisha watu kwenye starehe zao?
Hahaha mkuu mbona unakuwa na hasira bado mapema sana??zimebakia dakika 25 mambo uwanjani....
Hahaha mkuu mbona unakuwa na hasira bado mapema sana??zimebakia dakika 25 mambo uwanjani....
mmmhhhh......kazi itakuwepo leo....kwa ugeni ambao tayari upo....sipati picha!!
kwa huu ugeni wa leo nimeruhusiwa kuja kukesha hapa....manake wanaume hawawezi wageni wenye fujo kama Manda,Belinda,Mfarisayo,Papizo.....Rev Masa is missed jamani......!!!! nitakuwepo hapa mkuu labda charge iishe!!
...duh, hapa pana kelele sana leo...ngoja niende Pub nikalitazame game hili kwa raha zangu!
Nitakuwa napost via Mobile...isiwe tabu bana....!
Together we stand wakuu!...soon nitakuwa tena hewani!
Jamani hamna TV ya bongo ambayo inaonyesha hii game?
Mathieu Flamini: I'm an Arsenal man, I love to duel with Spurs. I'm just like Napoleon...
![]()
Flying Flamini: the Milan midfielder clatters into Vedran Corluka
He does admit that he was particularly pumped up for that game. 'Arsenal is still in my heart and it was Spurs,' says the player who left north London for Milan in 2008. 'It was special for me. Games with Spurs were always big battles.
...damn, I still do miss this worrior. I remember his partnership na Fabregas kwenye midfield! Alitaka Wenger amuongezee £5,000 tu kwa wiki, ...leo hii wala tusingekuwa na pressure ya kumkosa Alex Song.
Anyway...
Mbele daima,...pataeleweka tu leo!
Ukiona mwenzio ananyolewa..................
Hayawi hayawiiiiii.........................
La mgambo likilia...............................(Hahahahaha)
Za mwizi..................................(Ze Gonnaz)
Usicheze mbali unga.................................(woooote..!)
Mtoto leo hatumwi........................................(Wacha1, Michelle, Mbu, AW, Quest, Blntd,....et al)
Ujanja wa samaki ndani ya nini?......................................... (asshOOls)
Kitendawili; Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na nani...............................? (Mama=Manure, jibu=Barca)
Kelele za chura.........................(ww hapo)
Kelele za Mbu...................................(Sio Mbu wa JF Lol!).
:wink2::blah::blah::blah::blah::A S 13::hand::decision::A S 13::A S 13::decision:
Wilshare is just the same as my reserve players