Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

nasikitika umeme umekatika .....nitawamiss sana the gunner fans wenzangu.....sitaweza kulala nitakuwa tu nawaza......mechi ikiisha nicheke au nilie.....umeme ukirudi nami nitajumuika nanyi tena......VIVA ARSENAL....GOODLUCK TODAY!

i know WE CAN, we have done it before and we can do it again!!!

Hahahahaa! swtheart! angalia usije mtilia husband chumvi bidala ya Sukari katika ghahawa yake uchezee kichapo mara mbili.....

Na kama stima hakuna basi injoi hapa live bila chenga;

1. http://atdhenet.tv/34137/watch-arsenal-vs-barcelona
2. http://www.magedtv.net/ch1.html
3. http://www.vipfast.net/ch1.html
4. http://www.jouj.eu/ch1.htm
5. http://www.tvoo.eu/ch1.html
6. http://www.myp2p.eu/broadcast.php?matchid=105119&part=sports
 
Kwii kwii kwiii kwiii kwiiii!

Sikuona Gunners wanafanya hivi juzi wakati unapigwa magoli kabla ya mechi ... .... .... tupo halftime and for your info tupo mbele kwa hatua moja khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ... .... .. leo kono mbele hata wakati bado una matanga. Manda Matanga yatakwisha kwenu mtakaposhinda mechi hivi sasa bado uko kwenye msiba na Bundi ndio huyo yuko gado Old Trafford.
 
Sikuona Gunners wanafanya hivi juzi wakati unapigwa magoli leo kono mbele hata wakati bado una matanga. Manda Matanga yatakwisha kwenu mtakaposhinda mechi hivi sasa bado uko kwenye msiba na Bundi ndio huyo yuko gado Old Trafford.

Khekheee kheeeeeeeeeeeee! (nimecheka ki-wacha1 wacha1 hiviiiii)...
Leo Mkuu upo hewani, guud! asa Mkulima na Padre feki wasipate la kukusemea....Haya twende kazi, mwanzo mwisho!

Waaaaacha Booooooooy !
 
Hahahahaa! swtheart! angalia usije mtilia husband chumvi bidala ya Sukari katika ghahawa yake uchezee kichapo mara mbili.....

Na kama stima hakuna basi injoi hapa live bila chenga;

1. http://atdhenet.tv/34137/watch-arsenal-vs-barcelona
2. http://www.magedtv.net/ch1.html
3. http://www.vipfast.net/ch1.html
4. http://www.jouj.eu/ch1.htm
5. http://www.tvoo.eu/ch1.html
6. http://www.myp2p.eu/broadcast.php?matchid=105119&part=sports

Ndo maan mi siwezi kuwa mshabiki wa timu nyingine....nimesema kilio changu nimesaidiwa website....watu wa Arsenal wana roho safi sana!

Husband nimempa likizo leo....tusionane wala kuulizana maswali ya ajabu.....kama ninalo la kumuambia nitamwambia tu mwenyewe.....:mullet:
 
Leo hakuachii, utasingizia hadi Dawasco, lakini wapiiiiiii...hapaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

kwa huu ugeni wa leo nimeruhusiwa kuja kukesha hapa....manake wanaume hawawezi wageni wenye fujo kama Manda,Belinda,Mfarisayo,Papizo.....Rev Masa is missed jamani......!!!! nitakuwepo hapa mkuu labda charge iishe!!
 
nasikitika umeme umekatika .....nitawamiss sana the gunner fans wenzangu.....sitaweza kulala nitakuwa tu nawaza......mechi ikiisha nicheke au nilie.....umeme ukirudi nami nitajumuika nanyi tena......VIVA ARSENAL....GOODLUCK TODAY!

i know WE CAN, we have done it before and we can do it again!!!

Umeme utarudi huo dakika 5 kabla mechi kuanza. Wanajua umuhimu wa mechi ya leo ndio maana wamekata sasa hivi ili warudishe kabla mechi kuanza.
 
Mathieu Flamini: I'm an Arsenal man, I love to duel with Spurs. I'm just like Napoleon...

article-0-0D378E0B000005DC-297_306x213.jpg
article-0-0D378E46000005DC-971_308x214.jpg

Flying Flamini: the Milan midfielder clatters into Vedran Corluka

He does admit that he was particularly pumped up for that game. 'Arsenal is still in my heart and it was Spurs,' says the player who left north London for Milan in 2008. 'It was special for me. Games with Spurs were always big battles.



...damn, I still do miss this worrior. I remember his partnership na Fabregas kwenye midfield! Alitaka Wenger amuongezee £5,000 tu kwa wiki, ...leo hii wala tusingekuwa na pressure ya kumkosa Alex Song.

Anyway...
Mbele daima,...pataeleweka tu leo!




 
kwa huu ugeni wa leo nimeruhusiwa kuja kukesha hapa....manake wanaume hawawezi wageni wenye fujo kama Manda,Belinda,Mfarisayo,Papizo.....Rev Masa is missed jamani......!!!! nitakuwepo hapa mkuu labda charge iishe!!

Hao wote mwisho wa siku wanaishia na msemo wa "mende kaangusha kabati" lol.
 
Ukiona mwenzio ananyolewa..................

Hayawi hayawiiiiii.........................

La mgambo likilia...............................(Hahahahaha)



Za mwizi..................................(Ze Gonnaz)

Usicheze mbali unga.................................(woooote..!)

Mtoto leo hatumwi........................................(Wacha1, Michelle, Mbu, AW, Quest, Blntd,....et al)

Ujanja wa samaki ndani ya nini?......................................... (asshOOls)


Kitendawili; Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na nani...............................? (Mama=Manure, jibu=Barca)

Kelele za chura.........................(ww hapo)

Kelele za Mbu...................................(Sio Mbu wa JF Lol!).

:wink2::blah::blah::blah::blah::A S 13::hand::decision::A S 13::A S 13::decision:
 
Mkuu MBU yupo wapi???mimi nimeshaingia hapa mapema kabisa,tutakuwa pamoja guys......maana nasubiria nikiona leo mtakavyo nyweshwa mbege.....

..Nipo bana...

Hahahahaa! swtheart! angalia usije mtilia husband chumvi bidala ya Sukari katika ghahawa yake uchezee kichapo mara mbili.....

Na kama stima hakuna basi injoi hapa live bila chenga;

1. http://atdhenet.tv/34137/watch-arsenal-vs-barcelona
2. http://www.magedtv.net/ch1.html
3. http://www.vipfast.net/ch1.html
4. http://www.jouj.eu/ch1.htm
5. http://www.tvoo.eu/ch1.html
6. http://www.myp2p.eu/broadcast.php?matchid=105119&part=sports

...acha fujo wewe, mi website yote ya nini hiyo? au unataka kuharibu computer za wenzio na Virusi? Babu wa Loliondo hana tiba ya Trojan bana!
 
Ukiona mwenzio ananyolewa..................

Hayawi hayawiiiiii.........................

La mgambo likilia...............................(Hahahahaha)


Za mwizi..................................(Ze Gonnaz)

Usicheze mbali unga.................................(woooote..!)

Mtoto leo hatumwi........................................(Wacha1, Michelle, Mbu, AW, Quest, Blntd,....et al)

Ujanja wa samaki ndani ya nini?......................................... (asshOOls)

Kitendawili; Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na nani...............................? (Mama=Manure, jibu=Barca)

Kelele za chura.........................(ww hapo)

Kelele za Mbu...................................(Sio Mbu wa JF Lol!).

:wink2::blah::blah::blah::blah::A S 13::hand::decision::A S 13::A S 13::decision:

Mkuu tupo Nou camp tunachubiri kabumbu safi sio kujiangushaangusha kama Nani.
 
Ndo maan mi siwezi kuwa mshabiki wa timu nyingine....nimesema kilio changu nimesaidiwa website....watu wa Arsenal wana roho safi sana!

Husband nimempa likizo leo....tusionane wala kuulizana maswali ya ajabu.....kama ninalo la kumuambia nitamwambia tu mwenyewe.....:mullet:

I hope ulimaanisha;

Watu wa manure wana roho safi sana na natamani mda wote niwe nashinda jukwaani kwao...hahahahahaa!:wink2:
 
..Nipo bana...



...acha fujo wewe, mi website yote ya nini hiyo? au unataka kuharibu computer za wenzio na Virusi? Babu wa Loliondo hana tiba ya Trojan bana!

Taratibu ustaadhi Mbu..mbona hasira mapema hivi?, mm ndo nilichukua kitufe cha droo za CL? hahahaha!

BTW nasikia kijana Wacha1 a.k.a. Mzee wa Ngebe; imembidi akodi private jet haraka sana kuja Loliondo kufwata hyo kitu, as we talk anajiganga huko kabla ya mechi. Teheteheteeee!
 
...duh, hapa pana kelele sana leo...ngoja niende Pub nikalitazame game hili kwa raha zangu!
Nitakuwa napost via Mobile...isiwe tabu bana....!

Together we stand wakuu!...soon nitakuwa tena hewani!
 
Khekheee kheeeeeeeeeeeee! (nimecheka ki-wacha1 wacha1 hiviiiii)...
Leo Mkuu upo hewani, guud! asa Mkulima na Padre feki wasipate la kukusemea....Haya twende kazi, mwanzo mwisho!

Waaaaacha Booooooooy !

Mkuu kama nipo Live Emirates siwezi kuwa hewani JF hiyo yote ya kina Coward Peasant na Rev Bandia Masanilo ni WIVU tu hawana lolote kazi yao kubwa ni kubebwa na kutumia nguvu za giza kutoka kwa head wa MAFIOSO.

BTW nimeona anga za juu Rev Masanilo ... ... banned



 
LIST limetoka wakuu.

Arsenal team: Szczesny, Sagna, Koscielny, Djourou, Clichy, Rosicky, Wilshere, Diaby, Fabregas, Nasri, Van Persie. Subs: Almunia, Denilson, Squillaci, Arshavin, Eboue, Chamakh, Bendtner.


Wenger na ka-diaby chake anaboa sana. Denilson angeanza pale ingekuwa vizuri sana katika kumsaidia Wilshere kukaba.


Arshavin super sub.


Walete waleteee hao.
 
Black March for Arsenal inaendelea leo...
Ilianza hivi;

Kipigo kwa B'Ham

Ikaja ndondokela kwa Lorient a.k.a. vijana wa Las Vegas

Ikaja draw na Sunderland

Afu Leo kichapo kikali toka kwa Barca

Afu Jumamosi wanang'olewa gego BILA GANZI na Manure

Itandelea...........


BTW Ndugu yenu Questt nahisi ameshajitundika kama yule mkenya, mchango wa rambi2 nani anakusanya?
 
Mkuu kama nipo Live Emirates siwezi kuwa hewani JF hiyo yote ya kina Coward Peasant na Rev Bandia Masanilo ni WIVU tu hawana lolote kazi yao kubwa ni kubebwa na kutumia nguvu za giza kutoka kwa head wa MAFIOSO.

BTW nimeona anga za juu Rev Masanilo ... ... banned







Aminia baba 'ake....salute!

Kheee! hiyo ya Masa ni nini tena?, tehetehe! apunguze madongo kule kwenye mapolitriks, ze kijana iz ver ver radikolu..lol!:wink2:
 
Back
Top Bottom