Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiyo ilikuwa ni kawaida wanawahara sana Arsenal lakini mwaka huu patachimbika tu.



Mkuu mpira wa kusimuliwa au kuuona ... ..Wacha ngebe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Mkuu kwani hufahamu the Home of Arsenal .... ...... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Mkuu nyinyi mnatoa Brown envelopes kwani ni siri? Usiongee kama upo kwenye kijiwe cha kahawa. 1 sio sawa na 0. khe khe kheeeeeeeeeeee




Mlichonga sana mechi ya kwanza na wala hamkujifunza chacha wewe unashabikia timu gani? Kama huwezi kuwafunga Barca kama Arsenal fyata mkia ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Mkuu kila timu ina mechi 38 sasa hii notion ya kusema utegemee wenzako inatoka wapi? mfano hao hao Sunderland waliwabamiza Chelsick Darajani sisi tumepata point moja baada ya makosa ya marefa Ooops baada ya kuchukua bahasha kutoka kwa Chelsick na Manure ili watucheleweshe lakini tupo ngangari usiwe na hofu.



Chance ya kunyimwa ushindi wacha majungu!
Kama ndio hivyo nahisi watu wangegoma kucheza EPL maana kusingekuwa na ushindani maana MAN UTD wamenunua FA aaaaahaah kweli kushindwa kubaya hadi umefikia hatua hii.
Arsenal yaani ni kama academy tu sasa sijui lini washabiki watavuna vikombe......maana sasa akiumia RVP,FAB,WALCT hamna timu.

 
5500192456_b31e4281b4.jpg
Mmmh watani mna misemo ya kujikanda moyo..............:hand::hand:
 
haya mambo ya kuchukua kombe kwa kutarajia wenzio washindwe ni mabaya sana.....hapa sasa sie tunaombea Liver washinde kesho......kila la kheri kwao......
Mkuu yaani umenifurahisha unaona ukweli timu inazingua yenyewe haitumi chances wanasubiri miteremko.....haya bwana tuone kama liver watakua na msaada kwenu
 
Hiyo ilikuwa ni kawaida wanawahara sana Arsenal lakini mwaka huu patachimbika tu.



Mkuu mpira wa kusimuliwa au kuuona ... ..Wacha ngebe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Mkuu kwani hufahamu the Home of Arsenal .... ...... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Mkuu nyinyi mnatoa Brown envelopes kwani ni siri? Usiongee kama upo kwenye kijiwe cha kahawa. 1 sio sawa na 0. khe khe kheeeeeeeeeeee




Mlichonga sana mechi ya kwanza na wala hamkujifunza chacha wewe unashabikia timu gani? Kama huwezi kuwafunga Barca kama Arsenal fyata mkia ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Mkuu kila timu ina mechi 38 sasa hii notion ya kusema utegemee wenzako inatoka wapi? mfano hao hao Sunderland waliwabamiza Chelsick Darajani sisi tumepata point moja baada ya makosa ya marefa Ooops baada ya kuchukua bahasha kutoka kwa Chelsick na Manure ili watucheleweshe lakini tupo ngangari usiwe na hofu.



Chance ya kunyimwa ushindi wacha majungu!


Anko Wacha1!

Sasa fanya jumanne ile mida yetu ikifika tuwe wote hapa kijiweni mwanzo mwisho, au sio?; kama wenzio kina AW, Mbu, Questt et al. Sidhani kama umebuku flight ya kwenda Barca, au sio?
Manake game za Emirata zote wasingizia uko uwanjani afu unakuja hapa badaeeee na pics za The sun na Getty images kama vile hukuwa uwanjani live bana, sio kwamba hatujakustukia kuwa unatupiga kamba, ni vile tunakustahi, kimtindo; unachangamsha kijiwe.

Jumanne, mm, ww na wooote, hapa JF, dk ya 1 hadi ya 90, au sio?.

Naomba kutoa hoja.
 


Duuuh, hilo neno "FOREVER" limeharibu kila kitu kwenye hiyo message. Sijui ni style gani unayoongelea hasa mkuu, kama ni hii ya passing game mliyonayo sasa hivi huwezi kusema ni "forever" kwa sababu haina muda mrefu hapo Arsenal, in fact ameileta Wenger. Kabla ya Wenger mlikuwa ni THE MOST BORING TEAM IN THE LEAGUE chini ya George Graham japokuwa aliacha vikombe vingi tu hapo Highbury. Sasa sijui ni style gani kati hizi mbili unayomaanisha hapa, na kwa yoyote ile utakayochagua haiwezi ku-qualify kuitwa "FOREVER" kwa sababu haikuwepo kwa kipindi chote ambacho Arsenal imekuwepo....na hauwezi ku-guarantee kwamba kocha atakayefuata baada ya Wenger atacheza same style.
 
Anko Wacha1!

Sasa fanya jumanne ile mida yetu ikifika tuwe wote hapa kijiweni mwanzo mwisho, au sio?; kama wenzio kina AW, Mbu, Questt et al. Sidhani kama umebuku flight ya kwenda Barca, au sio?
Manake game za Emirata zote wasingizia uko uwanjani afu unakuja hapa badaeeee na pics za The sun na Getty images kama vile hukuwa uwanjani live bana, sio kwamba hatujakustukia kuwa unatupiga kamba, ni vile tunakustahi, kimtindo; unachangamsha kijiwe.

Jumanne, mm, ww na wooote, hapa JF, dk ya 1 hadi ya 90, au sio?.

Naomba kutoa hoja.


I can bet my last penny that that coward will never ever show up!
 
Anko Wacha1!

Sasa fanya jumanne ile mida yetu ikifika tuwe wote hapa kijiweni mwanzo mwisho, au sio?; kama wenzio kina AW, Mbu, Questt et al. Sidhani kama umebuku flight ya kwenda Barca, au sio?
Manake game za Emirata zote wasingizia uko uwanjani afu unakuja hapa badaeeee na pics za The sun na Getty images kama vile hukuwa uwanjani live bana, sio kwamba hatujakustukia kuwa unatupiga kamba, ni vile tunakustahi, kimtindo; unachangamsha kijiwe.

Jumanne, mm, ww na wooote, hapa JF, dk ya 1 hadi ya 90, au sio?.

Naomba kutoa hoja.
khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee khe khe kheeeeeeee khe kheeeeeeeeeee khe keh kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Nice one!
 
Kama ndio hivyo nahisi watu wangegoma kucheza EPL maana kusingekuwa na ushindani maana MAN UTD wamenunua FA aaaaahaah kweli kushindwa kubaya hadi umefikia hatua hii.
Arsenal yaani ni kama academy tu sasa sijui lini washabiki watavuna vikombe......maana sasa akiumia RVP,FAB,WALCT hamna timu.


Naona unaishi dunia ya Bulicheka khe khe kheeeeeeeeeeeee tangu lini mafioso wakawa na utu? Mkuu rejea mechi yetu Arsenal hakushindwa mechi ametoka na point moja kibindoni upo hapo au kazi yako ni kusimuliwa tu khe kheeeeeeeeee.




Mkuu yaani umenifurahisha unaona ukweli timu inazingua yenyewe haitumi chances wanasubiri miteremko.....haya bwana tuone kama liver watakua na msaada kwenu


EPL kila timu ina mechi 38 unataka Arsenal wacheze mechi 30? Khe khe kheeeeeeeeeeeeee
 
hahah mkuu wewe ulilielewa swali langu...

Two or three weeks ago mlikuwa mnaongelea ku-emulate The mighty invincibles lakini mmeisha poteza mechi lukuki hamuwezi kushinda mwaka huu mtakula matapishi yenu. Zile brown envelopes zimeshitukiwa big time khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

BTW nasikia mnafanya coalition chacha na mafioso team ili tuukose ubingwa mtaona kilichomtoa kanga manyoya khe khe kheeeeeeeeeeeee
 
Well, Chelsea na Liverpool watawasaidia Arsenal kuchukua ubingwa kwa kuwakandamiza Man U ONLY IF Arsenal watakuwa serious na kushinda mechi zao.

Jana nilisema. Naona sasa Liverpool is doing you a favour!

Sijui mtakuwa na excuse gani mkishindwa kulibeba. Chelsea will do U even a greater favour!
 
kama tukishinda game ijayo then kwa point tutakua sawa na Utd.....So the only thing can take us to the top is GD.....we need to score as many goalz as possible no matter who we gona play with...........Viva Liverpool 4 their great Job......Its up to us to make it Happen.....
 
Dirk Kuyt destroys MONKEY URINE-TED

A great afternoon for Liverpool and another wretched one for United. A simple hat-trick for Kuyt, a spot of handbags in the middle, and a late consolation for Hernandez. United suffer back-to-back Premier League defeats for the first time in two years and the title race is officially ON.
 
Jana nilisema. Naona sasa Liverpool is doing you a favour!

Sijui mtakuwa na excuse gani mkishindwa kulibeba. Chelsea will do U even a greater favour!

Pumba kila timu inacheza kwenye ligi.

 
kama tukishinda game ijayo then kwa point tutakua sawa na Utd.....So the only thing can take us to the top is GD.....we need to score as many goalz as possible no matter who we gona play with...........Viva Liverpool 4 their great Job......Its up to us to make it Happen.....
tumearibu toka jana mkuu , naona tukae kimya tu tuangalie game zetu zijazo lol.
 
Yaani sasa tushindwe sisi tu huu msimu wa kwetu kabisa huu
 
:whistle::whistle::whistle:♫♫♫


...wakati tunasubiria kabumbu saafi la siku ya j'4, acha tu "spice things up" hapa...!






...:whistle::whistle::whistle:...♫♫​
 
Last edited by a moderator:
....tribute to the Legends!...



...We are Arsenal, Arsenal Forever!
 
Last edited by a moderator:
Wapi wacha1, hongereni kwa point maana ilikuwa mfungwe.yaani hapa bia inashuka ninaposubiri MAN UTD kesho ..........
Yaani kesho ni dose tu kwa liverpool yaani ushindi wetu,GLORY MAN UTD
...keep on dreaming, ...typical 'Manure' Fans, "Counting Chickens Before They Hatch...!"


dont-count-chickens-before-they-hatch-thumb9329861.jpg
Subiri uone kesho sasa....

Nimeona bana,
...niliwaambia jana,
mnahesabu kuku hata mayai hayajaanguliwa,
----hih hiihii hiiiihhi!---...uwwii mbavu zangu mie!
 
Back
Top Bottom