Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hapa leo ni kuomba Denilson na Lidiaby wawe na good game....hasa li diaby.... Koz mapeeeema Denilson keshaanza kutoa pasi famba.....najua Mrusi, Nasri and the Big Nick wanaweza kututoa pale mbele.....kila la kheri wenzangu.....
 
Ni raaha saaaaana kumuona Dogo Ramsey pale kwenye benchi.....may be A.W atampa hata dakika kumi akamue....
 
Sagna anatoa cross za ajabu sana leo....hazina malengo kabisa....almuradi yeye kapiga.....aaaaagriiiiiighhh....
 
Bado jinamizi la CC halijawatoka hawa vijana....great effort to win the ball n finally winz but at last pasi mbovu kabisa....so far golie anajitahidi sana.....
 
Leo ni leo, bila shaka vijana wangu (Sunderland) hawato niangusha kama Yanga.
 
Noma sana kwenda half time bila goli. Sunderland wamenitupa uhuru sema sie wenyewe tumeshindwa kutumia nafasi zetu na tunaweza kujuta.
 
Nasri mbona kamnyima Ben pale?

...we acha tu, kidogo nivunje mguu hapa kwa mdadi wa kwanini!?

Ni raaha saaaaana kumuona Dogo Ramsey pale kwenye benchi.....may be A.W atampa hata dakika kumi akamue....

..yeah man, "RAMBO" is on the bench bana,...huyu dogo atakuja kututoa tu. Ni cover nzuri kwenye Attacking midfield pale na Creativity.

tuko pamoja wakuu kila la kheri gooners.

...Pamoja we Stand maaazee, ...so long as hawatamuachia nafasi Asamoah Gyan.
 
Inaonekana wazi Fabregas anakosekana na timu zote zinacheza mtindo wa 4-2-3-1 lakini ni mtindo wa kutegeana na endapo timu moja itapata goli basi linaweza likawa ndio hilihilo.

Andrey Arshavin alitakiwa asipige sana mipira ya cross bali kuingia mwenyewe ndani ya back four ya Sunderland.

Nafikiri Bendtner atabadilishwa na Chamakh.
 
2nd half Arsenal wanamchukuwa sunderland

[video]http://sports.youku.com/2010yingchao/live10[/video]
 
Back
Top Bottom