Wakati Pep anaichukua Barcelona alikuta Barcelona ina Deco, Eto'o na Gaucho kama forwards. Reserve Messi.Facts zipi unazungumzia andika CV ya Arteta na mimi ni andike ya Nagelsmann au ndio umeamua kubisha? Sasa mimi na ww nani anaongea maneno ya kanga? WE KUBALI KATAA ILA TIMU HUNA, KOCHA HUNA NA TAJIRI MBAHILI. Halafu Barca na Bayern style ya uendeshaji tofauti na hiyo timu yako.
Halafu Pep alikuwa na watu gani wakati anapewa Barcelona? na Pep ilimchukua kipindi gani kuprove uwezo wake huwezi linganisha na huyo kocha wako.
Timu ina hali mbaya wewe unataka maswala ya trial and errors, halafu unajilinganisha na Bayern & Barca ambao wako serious kwenye uendeshaji wa timu zao.
Defense ilikua na Puyol, Alves.
Hapo Pep ametoka kufundisha timu B.
Katika mkutano akasema hana mpango na Deco, Eto'o na Gaucho. Kilichofuata? Neymar kwa 200M, Coutinho kwa 135M, Dembele kwa 135M, Suarez akaletwa pale.
Swali lako la Pep aliikutaje Barcelona limenifikirisha.
