Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyo computerarsenal ndio nani?

Endelea na mahaba yako,nikusamehe nimekufanya nini.?

Nisamehe kwa maandishi yangu yanayokukera Sikujua km yanaImpact kiasi hiko, ila fanya unitukane maana bila kutukana roho haiwezi kutulia hiyo, dukuduku limeshajaa rohoni liondoe.
 
Nisamehe kwa maandishi yangu yanayokukera Sikujua km yanaImpact kiasi hiko, ila fanya unitukane maana bila kutukana roho haiwezi kutulia hiyo, dukuduku limeshajaa rohoni liondoe.
Umetukanwa wapi?

Nimekereka wapi?

Yaani ni kuwekee dukuduku wewe ni sie kujua, huna faida yoyote kwenye maisha yangu ili iweje au napata nini?

Mbona unajishtukia kama unakoga nje.
 
Source zinaonesha Qatar wamedhamiria kuTakeover soon, kwa sasa Arsenal ipo mikononi mwa Arteta kama akifaulu The Kroenkes wataendelea, vinginevyo qatar wanapressurize
 
Umetukanwa wapi?

Nimekereka wapi?

Yaani ni kuwekee dukuduku wewe ni sie kujua, huna faida yoyote kwenye maisha yangu ili iweje au napata nini?

Mbona unajishtukia kama unakoga nje.

Sasa si nimekwambia umeshinda shida nini, wewe una hasira sana na mie, umekuja na acc kibao kuniAttack mara computerarsenal mara Msangarafu mara nani unataka nini sema shida yako, wewe ndio milangomitatu wewe ndio nani hayo ndio yanakupa hasira, mimi huo utoto sina fanya unachoweza huwezi kunipangia cha kuandika, simu ya kwangu unaandika ' endelea na mahaba yako' wewe nani unipangie cha kuandika ? Nonsense .
 
Sasa si nimekwambia umeshinda shida nini, wewe una hasira sana na mie, umekuja na acc kibao kuniAttack mara computerarsenal mara Msangarafu mara nani unataka nini sema shida yako, wewe ndio milangomitatu wewe ndio nani hayo ndio yanakupa hasira, mimi huo utoto sina fanya unachoweza huwezi kunipangia cha kuandika, simu ya kwangu unaandika ' endelea na mahaba yako' wewe nani unipangie cha kuandika ? Nonsense .
Sasa nani kakupangia,mimi najibu kutoka unavyo wasilisha mtizamo wako na sijakushikia bastola ukubali mtizamo wangu.

Wapi nimeonesha nina hasira na nani alianza kumuattack mwenzake.

Eti nimekasirika, mara nina dukuduku yaani nikuwekee dukuduku ww tumekutana humu jamii forum ili iweje.

Mda huo sina kuwa na acc kibao, yaani tunatumia majina ya siri, halafu nifungue acc ili iweje,upuuzi huo sina.

Acha kujishtukia.
 
M
Sasa nani kakupangia,mimi najibu kutoka unavyo wasilisha mtizamo wako na sijakushikia bastola ukubali mtizamo wangu.

Wapi nimeonesha nina hasira na nani alianza kumuattack mwenzake.

Eti nimekasirika, mara nina dukuduku yaani nikuwekee dukuduku ww tumekutana humu jamii forum ili iweje.

Mda huo sina kuwa na acc kibao, yaani tunatumia majina ya siri, halafu nifungue acc ili iweje,upuuzi huo sina.

Acha kujishtukia.

Mambo ya kitoto acha ubishi, ukisema 'niache Mahaba' maana yake nini? si kunipangia niandike nini
Shida wewe nimegundua online arguments kwako inakupa feeling of importance, nakuona unabishana sana ht majukwaa mengine nakujua wewe ni mtu wa namna gani
 
M

Mambo ya kitoto acha ubishi, ukisema 'niache Mahaba' maana yake nini? si kunipangia niandike nini
Shida wewe nimegundua online arguments kwako inakupa feeling of importance, nakuona unabishana sana ht majukwaa mengine nakujua wewe ni mtu wa namna gani
Mahaba kweli upungunguze then uje kwenye uhalisia wa hali ya sasa ya Arsenal japo sikulazimishi kwani wewe mwenyewe umechagua kuendekeza Mahaba.

Feelings zipi?

Halafu sibishani bila sababu, bali NAONGEA NINACHO KIAMINI NA NITAONGEA JUKWAA LOLOTE LILE PALE NINAPOONA INAFAA.
 
Mahaba kweli upungunguze then uje kwenye uhalisia wa hali ya sasa ya Arsenal japo sikulazimishi kwani wewe mwenyewe umechagua kuendekeza Mahaba.

Feelings zipi?

Halafu sibishani bila sababu, bali NAONGEA NINACHO KIAMINI NA NITAONGEA JUKWAA LOLOTE LILE PALE NINAPOONA INAFAA.

Kwa huo mwaka kwenye ID na hoja zako hizi basi shida ipo mahali sio bure, There is a real tragedy. Hata mimi nimekosea sana kufanya argument na wewe, sikujua najisamehe
 
Hii timu imalaana sana ,imagine wachezaji wanapigana miti wao kwa wao..



Ndio maana wanaingia uwanjan wamelegea ,kumbe huko vyumbani ni full kupachikana ukuni hahaaa.....
 
Lacazete ana tembeze ukuni tuu ,mpaka wachezaji wanashindwa kufunga goli kabisa .....


Aiseee
 
Kwa huo mwaka kwenye ID na hoja zako hizi basi shida ipo mahali sio bure, There is a real tragedy. Hata mimi nimekosea sana kufanya argument na wewe, sikujua najisamehe
Kwa hiyo umetoka kwenye ID nyingi sasa hivi upo kwenye mwaka?

Kama ungekuwa hutaki kufanya argument basi ungeanzisha forums yako, ila kwa kuwa upo JF kuwa mpole kwani sometimes utapingwa na mda mwengine watazikubali hoja zako.
 
Kwa hiyo umetoka kwenye ID nyingi sasa hivi upo kwenye mwaka?

Kama ungekuwa hutaki kufanya argument basi ungeanzisha forums yako, ila kwa kuwa upo JF kuwa mpole kwani sometimes utapingwa na mda mwengine watazikubali hoja zako.

Shida sio kupingwa, Mimi siwezi kuwa perfect kuhusu Arteta huo ni mtazamo wangu, ila kinachoniuma ni huo umri wako afu mwanaume na uwezo wako wa kufikiri mdogo sana

Badilika bhn kubali kujifunza ukue akili, umri wako ni mkubwa sana kwa haya unayofanya humu, Miaka hiyo yako huwezi kubishana Ishu za Maromboso labda kama nati haziko sawa mahali, mimi nilijua mdogo wangu ila kumbe braza mkubwa sana, najua kwenye Maisha kuna The players and The watchers na wewe navyokuona umeshakubali kuwa The watchers sababu miaka 40 unaingia soon tu, badilika aisee, akili kama hizi ndio inafanya Waafrika tunaitwa nyani.
can you imagine 32 bro , too old for this shit bro.
 
Shida sio kupingwa, Mimi siwezi kuwa perfect kuhusu Arteta huo ni mtazamo wangu, ila kinachoniuma ni huo umri wako afu mwanaume na uwezo wako wa kufikiri mdogo sana

Badilika bhn kubali kujifunza ukue akili, umri wako ni mkubwa sana kwa haya unayofanya humu, Miaka hiyo yako huwezi kubishana Ishu za Maromboso labda kama nati haziko sawa mahali, mimi nilijua mdogo wangu ila kumbe braza mkubwa sana, najua kwenye Maisha kuna The players and The watchers na wewe navyokuona umeshakubali kuwa The watchers sababu miaka 40 unaingia soon tu, badilika aisee, akili kama hizi ndio inafanya Waafrika tunaitwa nyani.
can you imagine 32 bro , too old for this shit bro.
Sasa kwenye hili jukwaa ndio unalotumia kupima uwezo kufikiri?

Sasa hili jukwaa linatofauti gani na kijiwe cha kahawa,sema hili lipo kidigitali yaani mazungumzo ya humu na kwenye vijiwe vile vya kahawa sawasawa.

Naona sasa upo kwenye watchers na players,kwenye ID na mwaka tushatoka....!, sasa kwani hili jukwaa tunatangaza mali na hizo achievements? Mnamwambia mtu habadilike hata humjui na kuonea huruma sana na sina mda ya kuvitaja ninavyo vimiliki wala level yangu ya elimu kwani humu si mahala pake cha msingi we endelea kunichukulia poa.

Ila punguza mahaba vaa uhalisia timu huna.
 
Mmeanza.

Timu ikichabangwa lazima mgombane.

Tulieni tujadiliane. Unajua kujadiliana ni kila mtu anawasilisha hoja yake ni mara chache sana mkafanana hoja.

Mimi naweza ona mtu anaandika misleading info, mfano kuna memba aliandika akidhani Pep aliikuta Barca ikiwa imelowa, lakini sitamshambulia coz najua kua pengine hajui wapi pa kupata taarifa.

Kwahiyo tulieni kila mtu aandike anachoona, mfano mnaweza anza kutrace huyu Take ni kweli ni mkali au miyeyusho
 
Sasa si nimekwambia umeshinda shida nini, wewe una hasira sana na mie, umekuja na acc kibao kuniAttack mara computerarsenal mara Msangarafu mara nani unataka nini sema shida yako, wewe ndio milangomitatu wewe ndio nani hayo ndio yanakupa hasira, mimi huo utoto sina fanya unachoweza huwezi kunipangia cha kuandika, simu ya kwangu unaandika ' endelea na mahaba yako' wewe nani unipangie cha kuandika ? Nonsense .
acha usenge
kama unaona hizo ID ni za mtu mmoja na wewe fungua za kwako.
 
Back
Top Bottom