Wanaosema Mou alifeli Man utd na Spurs sielewi ni vigezo gani wametumia. Ukimshtumu kwa tabia za ugomvi nitaelewa ila siyo uwanjani. Alikuja Man Utd akiwa na kikosi kibovu kabisa lakini ndani ya misimu mitatu alichukuwa makombe 3 ikiwa na pamoja na kuchukua Europ na mara moja akimaliza ligi akiwa wa pili, hebu tuambie Ole ni msimu wa ngapi, kachukua nini, wachezaji waliosajiliwa na majuzi kaongezewa mkataba.
Kuhusu Tottenham aliikuta ni ya 14 kwenye ligi,mwishowe kamaliza nadhani wa 5, kafukuzwa msimu ukiendelea na akiwa finali na Man City.Huwezi ita vitu hivi kuwa ni failure.