Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tumetumia hela nyingi kwa average players wengi.

Hiyo £123M ni vema tungenunua wachezaji hata wawili wenye quality nzuri.

Ni aibu kuona mashabiki wa timu iliyoanzishwa 2003(cheltako) wakija katika jukwaa letu na kuanza kuongea ushubwada.

Bosi wetu nae ameichukulia timu kama 'profit making machine' bila kujali hisia za wengi.

Jamaa zangu ukweli mchungu ni kua hata waje malaika kwenye timu yetu kama bosi akiendelea kua STAN KROENKE hamna cha maana tutachofanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi yule jamaa wa kuitwa Aaron Arsenal yupo tena kwenye hili jukwaa au ndio alibadili ID
 
Tumetumia hela nyingi kwa average players wengi.

Hiyo £123M ni vema tungenunua wachezaji hata wawili wenye quality nzuri.

Ni aibu kuona mashabiki wa timu iliyoanzishwa 2003(cheltako) wakija katika jukwaa letu na kuanza kuongea ushubwada.

Bosi wetu nae ameichukulia timu kama 'profit making machine' bila kujali hisia za wengi.

Jamaa zangu ukweli mchungu ni kua hata waje malaika kwenye timu yetu kama bosi akiendelea kua STAN KROENKE hamna cha maana tutachofanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mna kimdomo kama Chuchunge.
 
JamiiForums-2000992758.jpg
 
Possible move

Willian --> Corinthians

Torreira --> Fiorentina

Sead --> Fenerbahce
 
2017/18 - Ramsdale joins Chesterfield
2017/18 - Chesterfield get relegated

2019/20 - Ramsdale joins Bournemouth
2019/20 - Bournemouth get relegated

2020/21 - Ramsdale joins Sheffield Utd
2020/21 - Sheffield Utd get relegated.

2021/22 - Ramsdale joins Arsenal
Msije sema sikuwapa taarifa.
 
Tumetumia hela nyingi kwa average players wengi.

Hiyo £123M ni vema tungenunua wachezaji hata wawili wenye quality nzuri.

Ni aibu kuona mashabiki wa timu iliyoanzishwa 2003(cheltako) wakija katika jukwaa letu na kuanza kuongea ushubwada.

Bosi wetu nae ameichukulia timu kama 'profit making machine' bila kujali hisia za wengi.

Jamaa zangu ukweli mchungu ni kua hata waje malaika kwenye timu yetu kama bosi akiendelea kua STAN KROENKE hamna cha maana tutachofanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kbsa
 
Sisi kama madhabiki was Chelsea tunaiombea the gunners wapate hata goli kwa man city ili utamaduni wao wa kutoa tuzo ya goli bora la mwezi ufanikiwe,vinginevyo watatumia magoli ya Pepe anayofunga kwa wingi mazoezini .Nawasalimu kwa jina la EPL kila mshabiki wa Arsenal ajibu vipigo viendelee.
 
Sisi kama madhabiki was Chelsea tunaiombea the gunners wapate hata goli kwa man city ili utamaduni wao wa kutoa tuzo ya goli bora la mwezi ufanikiwe,vinginevyo watatumia magoli ya Pepe anayofunga kwa wingi mazoezini .Nawasalimu kwa jina la EPL kila mshabiki wa Arsenal ajibu vipigo viendelee.
vipigo viendelee
 
Back
Top Bottom