Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna shida pia upande wa kocha wetu ktk upangaji na ufundishaji.Naona kama timu imemzidi kocha.
Finishing ilikuwa mbovu mno
Jana hili suala Martin Keown na Tony Adam's wamelizungumzia vizuri sana kwenye post match analysis.

Wakamtolea mfano Tierney kwa sana tu. Na Pablo Mari alivyoshindwa kum-handΔΊe Lukaku big time. Kocha alikosea tactics kwa sana tu.

Keown akamzungumzia Winterburn na Tony akazungumzia cover ya Viera na Petit kipindi Chao na Jana Arteta alitakiwa acheze 3-4-3
 
Hiyo 343 Arteta kashacheza toka anachukua FA cup, Tuchel ni km kaicopy tu, mashabiki ya Cheltakoo mengi hayajuhi mpira
Bro,

Jana Arteta alitakiwa atumie huo mfumo wa 343 maana umeshampa mafanikio mara kadhaa dhidi ya hawa mbuzi wa bluu
 
Relief Mirzska / Castr if you guys remember, Arsene Wenger miaka yake miwili ya mwisho alifanya mabadiliko ya formation na akiacha 3-4-3 ambayo miaka hiyo Arsenal ilikuwa na top performances na ikarithiwa na Unai Emery ambaye alienda 23 Games Unbeaten akiwa na Mustafi, Kolasinac, Toreirra, Guendouzi and Co., alipofanya transitions kwenda mfumo wake yakatokea ya kutokea.
 
EXACTLY! EXACTLY bro.

Yaani kwa kuwa Pablo Mari kamsajili yeye basi anataka kuiaminisha dunia kwamba hakukosea. His friendship na Mari huko Man City ndio kilikuwa kigezo kikubwa cha Mari kusajiliwa Arsenal.

Arteta is Crap. Na wale waliokuwa wakimsifia humu jukwaani ambao sasa wamelikimbia jukwaa I wish wasirudi humu wajinga wakubwa. Tulikuwa tukiwaambia humu wanatuona sijui nini.
Si kwamba sisi ni wajinga tulikuwa hatujui uwezo wa Arteta!.. Kwa hiyo hata tukimkataa hapa jukwaani hatuwezi kubadili chochote!.. Inasikitisha unaposhabikia timu yako lakini kuna baadhi ya watu wanalazimisha tufanane mawazo.. Sisi mashabiki wa Arsenal ache tuwe wajinga ila hatuhami timu na tutaendelea kuishabikia timu katika shida na raha!.. Yaani mashabiki wa chelsea wanatuita humu ndani kuwa sisi ni matakataka halafu eti kuna. Mtu anajiita mwanaarsenal nae pia anatutukana kuwa sisi ni wajinga kwa kuishabikia timu yetu! Yaani unatutukana kisa mpira. Hivi kweli upo serious kabisa unatamani tumchukie mwalimu... Yaani chelsea, liver,man u na man city fans wamtukane mwalimu na sisi pia tumchukie na kumtukana mwalimu... Kiukweli huwa nikimuona mtu anatukana watu huwa najua hayuko vizuri huko kichwani!.. Hakuna haja ya sisi kutukanana!. Tushabikie mpira kistaarabu!..
 
Si kwamba sisi ni wajinga tulikuwa hatujui uwezo wa Arteta!.. Kwa hiyo hata tukimkataa hapa jukwaani hatuwezi kubadili chochote!.. Inasikitisha unaposhabikia timu yako lakini kuna baadhi ya watu wanalazimisha tufanane mawazo.. Sisi mashabiki wa Arsenal ache tuwe wajinga ila hatuhami timu na tutaendelea kuishabikia timu katika shida na raha!.. Yaani mashabiki wa chelsea wanatuita humu ndani kuwa sisi ni matakataka halafu eti kuna. Mtu anajiita mwanaarsenal nae pia anatutukana kuwa sisi ni wajinga kwa kuishabikia timu yetu! Yaani unatutukana kisa mpira. Hivi kweli upo serious kabisa unatamani tumchukie mwalimu... Yaani chelsea, liver,man u na man city fans wamtukane mwalimu na sisi pia tumchukie na kumtukana mwalimu... Kiukweli huwa nikimuona mtu anatukana watu huwa najua hayuko vizuri huko kichwani!.. Hakuna haja ya sisi kutukanana!. Tushabikie mpira kistaarabu!..
Nyie ni matakataka tu hakuna namna sasa mkuu ..itabidi mukubali nyie ni matakataka tu.
CFC
 
Morali na confidence kwenye timu ni bonge la ishu. Kocha alazimishe mid na forwards kushuti wakiwa nje
Haina haja ya pressure tuna wachezaji kama watano first team wapo nje kwa injury ,patience
Bro,

Jana Arteta alitakiwa atumie huo mfumo wa 343 maana umeshampa mafanikio mara kadhaa dhidi ya hawa mbuzi wa bluu
mkuu hiyo ni nzuri kwenye kwenye quick transition na sio positional play system km hii, Kocha huwezi kuadapt wachezaji wewe utakuwa sio kocha, wachezaji ndio waadapt system, vinginevyo utakuwa hauna philosophy ila unaFix mambo yawe sawa
 
Haina haja ya pressure tuna wachezaji kama watano first team wapo nje kwa injury ,patience

mkuu hiyo ni nzuri kwenye kwenye quick transition na sio positional play system km hii, Kocha huwezi kuadapt wachezaji wewe utakuwa sio kocha, wachezaji ndio waadapt system, vinginevyo utakuwa hauna philosophy ila unaFix mambo yawe sawa
Chini ya Arteta katika mechi 16 mechi 12 tulimaliza first half tukiwa tunaongozwa. Mechi 4 suluhu.

Hakuna game ambayo tumetoka first half as winners katika hizo 16.

Shida iko wapi? Tunafungwa 8 na united lakini timu ilikua inacheza kuonyesha inatafuta magoli.

Unafungwa 2 na brentford na chelsea na timu inaonyesha hata icheze siku nzima haitaweza kupata goli.

Blocked shots za jana zinaashiria Arsenal inajiandaa kudefend mechi inapoanza tu, na hii inaonyesha hayo ndiyo maelekezo ya kocha ndiyo maana sideway passes na krosi ni aina ya mchezo wa kila siku haubadiliki na yeye yupo.

Mpira wa siku hizi ni pace. Ukitaka kufunga, pace, unataka kuzuia goli, pace. Cedric ameachwa nje mechi ngapi? Wachezaji wa kuwapa options forwards wako huwezi wΓ acha nje. Mchezaji anayeweza kukimbizana na mabeki hauwezi kumuacha nje.

Hii siyo falsafa. Sideway passes na krosi siyo falsafa. Ni upuuzi. Too bad hawajifunzi, Marco Reus alimfuata Kocha akamuambia tubadili formation hawa wanacheza 4 1 4 1 watatusumbua.

Wachezaji wa Arsenal hawaoni timu ikiwa inafeli? Kapteni hawezi shauri?
 
Tumetumia hela nyingi kwa average players wengi.

Hiyo Β£123M ni vema tungenunua wachezaji hata wawili wenye quality nzuri.

Ni aibu kuona mashabiki wa timu iliyoanzishwa 2003(cheltako) wakija katika jukwaa letu na kuanza kuongea ushubwada.

Bosi wetu nae ameichukulia timu kama 'profit making machine' bila kujali hisia za wengi.

Jamaa zangu ukweli mchungu ni kua hata waje malaika kwenye timu yetu kama bosi akiendelea kua STAN KROENKE hamna cha maana tutachofanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo 343 Arteta kashacheza toka anachukua FA cup, Tuchel ni km kaicopy tu, mashabiki ya Cheltakoo mengi hayajuhi mpira
Mkuu husiseme tumeikopy. Huu mfumo Conte aliimodify kabla yenu. Nakumbuka baada ya Conte kufungwa mara Tatu mfululizo ndiyo akaja na mfumo huu na ninyi mlikuwa bado hamjaanza kuitumia.
 
Back
Top Bottom