Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa hivi unatumia acc gani kule Cheltakoo?, maana unayotumia unyumbuni naijua inatusumbua sana humu.
Cheltako ndo nini wee mbanga?? Acha ushubwada na timu za wanaume..
Halafu jumapili tunawalala bao tatu za nguvu nyie Arse8..
 
Nyie watoto mboga saba lukaku ana bao zake tatu Hapa ..
Bado kuna Kai, Werner...
Naziona bao tano zilizosimama Hapa..
#CFC
 
Nilikuwa sijawahi kupata typhoid fever, imenipiga na nilichelewa kuitambua kwa sababu hospital za huku mikoani absolutely rubbish. Naomba mniombee nipo kitandani natetemeka. Naendelea na dawa
Dah ebhana pole sana mkuu
 
Odegaard tayari amewasili London na kwa kuwa ana chanjo zote mbili hatakiwi kuwa karantini.

Hivyo huenda akacheza jumapili dhidi ya Chelsea.

Arsenal inapewa nafasi ndogo ya kushinda mechi hiyo pamoja na ile na Manchester City.

Ila lolote laweza kutokea.
Hii siyo timu mkuu ni genge la wahuni ..usitegeme kushinda kwenye hizo game mbili..
 
Big spenders gunners
skysports-___CSwaveeoA4D___-.jpg
 
Hii analysis yako ni kali. Kwa hiyo wewe unaamini kwamba mtu mmoja ndio anashusha timu daraja!!!! Kwamba timu hata kama ina keeper kama Allison wa Liverpool lakini ina defense mbovu, keeper ndio anapaswa kulaumiwa kwa kufungwa magoli!!!!! Unafikiri angekuwa mbovu Southgate angemuita timu ya taifa kama kipa namba 3?
Kwa mawazo haya, kweli aseno mnatembelea kwenye uvumilivu na kufarijiana, Ila duuuh
 
A club that I used to support my whole life now has become garbage.

Mashabiki wa arsenal ambao wanaenda uwanjani wananishangaza sana,Maana siilewi kitu wanachoendaga kuangalia na kukitarajia kwa arsenal hii mbovu.

Ukweli mchungu ni kua 5 years to come kama tukibakiwa na board hii yenye mentality ya 'profit making only' na average players hawa tulionao tunaenda kua midtable team EPL.

Ukweli ni kua siku hizi sisi sio tishio tena

Hata hii Chelsea iliyoanzishwa rasmi 2003 ishaanza kutupiku mafanikio na hii yote ni kutokana na board nzuri waliyonayo pamoja na tajiri kua na mafanikio ya makombe.

Ndugu zangu @Castr,@isajorsergio,@gspain,computerarsenal na mashabiki wengine wa arsenal humu jamvini Tuendelee tu kuipenda na kuisapoti team yetu ila kiukweli board hawapo serious kabisa na hii timu.

Licha ya hivyo lakini kwa cheltako na mama ester utd point zangu 4+ zipo pale pale.

Love arsenal
Hate kroenke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mama mkwe
A club that I used to support my whole life now has become garbage.

Mashabiki wa arsenal ambao wanaenda uwanjani wananishangaza sana,Maana siilewi kitu wanachoendaga kuangalia na kukitarajia kwa arsenal hii mbovu.

Ukweli mchungu ni kua 5 years to come kama tukibakiwa na board hii yenye mentality ya 'profit making only' na average players hawa tulionao tunaenda kua midtable team EPL.

Ukweli ni kua siku hizi sisi sio tishio tena

Hata hii Chelsea iliyoanzishwa rasmi 2003 ishaanza kutupiku mafanikio na hii yote ni kutokana na board nzuri waliyonayo pamoja na tajiri kua na mafanikio ya makombe.

Ndugu zangu @Castr,@isajorsergio,@gspain,computerarsenal na mashabiki wengine wa arsenal humu jamvini Tuendelee tu kuipenda na kuisapoti team yetu ila kiukweli board hawapo serious kabisa na hii timu.

Licha ya hivyo lakini kwa cheltako na mama ester utd point zangu 4+ zipo pale pale.

Love arsenal
Hate kroenke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A club that I used to support my whole life now has become garbage.

Mashabiki wa arsenal ambao wanaenda uwanjani wananishangaza sana,Maana siilewi kitu wanachoendaga kuangalia na kukitarajia kwa arsenal hii mbovu.

Ukweli mchungu ni kua 5 years to come kama tukibakiwa na board hii yenye mentality ya 'profit making only' na average players hawa tulionao tunaenda kua midtable team EPL.

Ukweli ni kua siku hizi sisi sio tishio tena

Hata hii Chelsea iliyoanzishwa rasmi 2003 ishaanza kutupiku mafanikio na hii yote ni kutokana na board nzuri waliyonayo pamoja na tajiri kua na mafanikio ya makombe.

Ndugu zangu @Castr,@isajorsergio,@gspain,computerarsenal na mashabiki wengine wa arsenal humu jamvini Tuendelee tu kuipenda na kuisapoti team yetu ila kiukweli board hawapo serious kabisa na hii timu.

Licha ya hivyo lakini kwa cheltako na mama ester utd point zangu 4+ zipo pale pale.

Love arsenal
Hate kroenke.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ndo royal fans wanaoenda uwanjani usiwashangae
 
Hiyo if vipi hapo?

Regardless bado sioni mantiki hapa.

Utd, city, chelsea na villa ni spenders kwa muda mkubwa hii inamaanisha wao kikosi chao kilishakua sawa for ages at one point hizi timu zimespend just kumleta mtu na asipate namba au kwavile wameamua.

Utd kwa Ighalo, Donny, Amad, Telles, na yule dogo mwingine. City mabeki wake waliocheza na spurs wanazidi kiasi ilichotumia Arsenal dirisha hili. Mabeki wa city wana thamani ya 219M.

So hao waliopo hapo hawana magepu yatakayowafosi watumie pesa nyingi. Exception ni City wanaotaka kumnunua Kane kwa 150M that deal get finalised City anakua wa kwanza as usual.
 
A club that I used to support my whole life now has become garbage.

Mashabiki wa arsenal ambao wanaenda uwanjani wananishangaza sana,Maana siilewi kitu wanachoendaga kuangalia na kukitarajia kwa arsenal hii mbovu.

Ukweli mchungu ni kua 5 years to come kama tukibakiwa na board hii yenye mentality ya 'profit making only' na average players hawa tulionao tunaenda kua midtable team EPL.

Ukweli ni kua siku hizi sisi sio tishio tena

Hata hii Chelsea iliyoanzishwa rasmi 2003 ishaanza kutupiku mafanikio na hii yote ni kutokana na board nzuri waliyonayo pamoja na tajiri kua na mafanikio ya makombe.

Ndugu zangu @Castr,@isajorsergio,@gspain,computerarsenal na mashabiki wengine wa arsenal humu jamvini Tuendelee tu kuipenda na kuisapoti team yetu ila kiukweli board hawapo serious kabisa na hii timu.

Licha ya hivyo lakini kwa cheltako na mama ester utd point zangu 4+ zipo pale pale.

Love arsenal
Hate kroenke.

Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi mendy wa city ndiye alikua mtoa maboko wa timu.

Anachelewa kutoa maamuzi. Mzito. Hafanyi tracking. Hafanyi runs.

Kwa city alionekana Mendy.

Arsenal ikicheza unaona wachezaji wa namna hiyo 4 au 5 na hao ni wachezaji wanaopata namba kila wiki.

Timu ina wachezaji wabovu wengi. Arteta anaweza kua shit ila wachezaji waliopo hawasapoti falsafa yake. Niliwahi kusema timu ikiwa na wachezaji saba world class hiyo timu inacheza na yeyote.

Arsenal ina wangapi? Unaiangalia mid yetu, pasi inafika kwa Tierney, anampa Xhaka halafu anafanya run atanguliziwe mbele Xhaka anatulia na mpira anageuka anaurudisha nyuma kwa mabeki.

Odegaard anapokea pasi anampa Saka kisha anafanya run atanguliziwe mbele Saka anacut in anaingia ndani anamrudishia Xhaka au Partey, na hawa wawili wanampelekea Tierney apige krosi.

Timu haina ubunifu zaidi ya krosi za Tierney. Partey anajaribu sana kupiga penetration passes ila Auba na Laca utaona wanatembea.

Pengine Arteta hana ushawishi dressing room.
 
Back
Top Bottom