BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,348
- 1,466
Bingwa wa League 1 mbele ya PSG ya Mbappe na Neymar. Na msimu huu ameanza kwa kuifunga timu aliyoipa ubingwa goli 5.Ana CV gani?
Bingwa wa League 1 mbele ya PSG ya Mbappe na Neymar. Na msimu huu ameanza kwa kuifunga timu aliyoipa ubingwa goli 5.Ana CV gani?
"Christophe Galtier steps down as Lille head coach two days after winning Ligue 1 title | Football News | Sky Sports" Christophe Galtier steps down as Lille head coach two days after winning Ligue 1 titleAna CV gani?
Wasiwasi wangu ni kwa ramsdale...je yuko comfortable playing from the back,je ana footwork nzur au ni leno mwingineWazee tukimpata Odegaard na Ramsdale hatutahitaji tena RB na Performance wise tutakuwa fire sana.

Yaah, Ramsdale na Onana wote wanaweza hiyo kazi.Wasiwasi wangu ni kwa ramsdale...je yuko comfortable playing from the back,je ana footwork nzur au ni leno mwingine![]()
Mungu akupe afya njema, inshallah.Nilikuwa sijawahi kupata typhoid fever, imenipiga na nilichelewa kuitambua kwa sababu hospital za huku mikoani absolutely rubbish. Naomba mniombee nipo kitandani natetemeka. Naendelea na dawa
Sio kwa msimu huu, labda misimu mitano mbele.Wazee tukimpata Odegaard na Ramsdale hatutahitaji tena RB na Performance wise tutakuwa fire sana.
Odegaard tayari amewasili London na kwa kuwa ana chanjo zote mbili hatakiwi kuwa karantini.Sio kwa msimu huu, labda misimu mitano mbele.
Ukiona kitu ukikifikiria kichwani kinamake sense basi jua Arsenal hawatokifanya.
Una shida na kipa.
Unajiandaa kutumia 30M kumnunua Ramsdale.
Wakati kuna Mat Ryan na Onana unaweza kuwanunua wote kwa 7M. Ryan ameshatudakia msimu uliopita na ni kipa mzuri kusema kweli.
Lakini vinabo wanataka kutumia 30M kisa ati 'home grown'.
Unataka kumnunua Maddison kwa 65M.
Lakini Aouar ana asking price ya 25M na Odegaard ana asking price ya 35M na hapo odegaard unaweza kumnasa kwa mkopo. Kuna Renato ana asking price ya 23M.
Yaani kwa chini ya 70M unaweza kumpata Aouar, Renato na Odegaard.
Ukabakiwa na pesa ya kutafuta RB au kusubiri kiangazi na kipindi hichi kumpa namba Cedric na Bellerin.
Lakini Edu na genge lake hawafikirii hivi. Chochote ambacho wewe unaona mbona hii option inaokoa pesa na unapata ziada wao hiyo option ndiyo hata hawaiwazi.
Badala yake wako bize kuficha udhaifu wa uongozi wao kwa kutweet 'Trust the process' na kujisnap IG usiku wa manane wakidai wako bize na usajili.
Sijui kwamba ni hakuna pesa na hapa inapigwa kanyamazongo au vipi lakini kuna shida kubwa sana kuanzia kwa mmiliki mpaka yule bwana anayependa kumpa namba Chambers
Antonio Conte hawezi kuja Arsenal.Edu na Arteta ni vijana sana kwenye suala la uongozi, hivyo nao wana mambo yao ya kujidai wanafahamu kila kitu.
Na hivyo mwenye timu Stan Kroenke kawaamini basi wamevimba vichwa.
Ila za chinichini zasema Antonio Conte anaandaliwa na Arteta amepewa mechi 13 tu.
Timu ya Arsenal imekosa leadership na nidhamu.Antonio Conte hawezi kuja Arsenal.
Spurs walishindwana kwakua waliambiwa watoe pesa ndefu ya usajili na wanatakiwa kuhakikisha wanashinda kombe lolote soon.
Na Conte alishasema kwamba hawezi kukaa hoteli ya hadhi ya elfu kumi huku mfukoni ana shilingia mia.
Afu mbona Arteta anakuwa na mabifu sana na wachezaji kuna tatizo.Timu ya Arsenal imekosa leadership na nidhamu.
Nyuma ya pazia kuna mengi hayasemwi yanatokea.
Auba na Laca hawakuwa wanaumwa mechi na Brentford.
Antonio Conte ni "no-nonsense manager" ndie atawaweza wachezaji wa Arsenal ambapo pia ni legelege.
Conte akienda Arsenal itacheza kama Inter au alipokuwa Chelsea na Auba na Laca watacheza kama Lukaku watake wasitake.
Dogo ngoja uone, hautoamini hii timu itavyokiwasha.Sio kwa msimu huu, labda misimu mitano mbele.
Arteta ana mapungufu katika mtindo wake wa kuongoza yaani leadership skills.Afu mbona Arteta anakuwa na mabifu sana na wachezaji kuna tatizo.
Onana tayari amesajiliwa na Lyon.Wazee Kuna uwezekano wa Onana na Ramsdale wote kusajiliwa Arsenal.
Asante KitoabuMungu akupe afya njema, inshallah.