Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Odegaard tayari amewasili London na kwa kuwa ana chanjo zote mbili hatakiwi kuwa karantini.

Hivyo huenda akacheza jumapili dhidi ya Chelsea.

Arsenal inapewa nafasi ndogo ya kushinda mechi hiyo pamoja na ile na Manchester City.

Ila lolote laweza kutokea.
Chelsea anawapakueni, hilo halina ubishi.
 
Timu ya Arsenal imekosa leadership na nidhamu.

Nyuma ya pazia kuna mengi hayasemwi yanatokea.

Auba na Laca hawakuwa wanaumwa mechi na Brentford.

Antonio Conte ni "no-nonsense manager" ndie atawaweza wachezaji wa Arsenal ambapo pia ni legelege.

Conte akienda Arsenal itacheza kama Inter au alipokuwa Chelsea na Auba na Laca watacheza kama Lukaku watake wasitake.
Kuna mechi fulani Auba alichelewa kufika uwanjani Arteta akampiga benchi ule uamuzi ulidhihirisha kwamba Arteta naye ni no nonsense manager
 
Screenshot_2021-08-18-21-58-26-54.jpg
 
Wiki kama tatu zimepita.

Kwa kuwa bado anatumikia kifungo cha kutumia "banned substances" kifungo hicho kinaisha tarehe 4 November ndio ataanza kucheza.
Sijaiona ripoti yake ila kama kasajiliwa kipa wamepata. Ngoja sisi tuone Odegaard atatusaidiaje
 
Odegaard tayari amewasili London na kwa kuwa ana chanjo zote mbili hatakiwi kuwa karantini.

Hivyo huenda akacheza jumapili dhidi ya Chelsea.

Arsenal inapewa nafasi ndogo ya kushinda mechi hiyo pamoja na ile na Manchester City.

Ila lolote laweza kutokea.
Futa hiyo kauli ya lolote linaweza kutokea maana tunaweka full mziki.

Kila nikiangalia naziona 6 bila kama za Wenger.
 
Edu na Arteta ni vijana sana kwenye suala la uongozi, hivyo nao wana mambo yao ya kujidai wanafahamu kila kitu.

Na hivyo mwenye timu Stan Kroenke kawaamini basi wamevimba vichwa.

Ila za chinichini zasema Antonio Conte anaandaliwa na Arteta amepewa mechi 13 tu.
Conte hawezi kuja kwenye hii timu matakataka hivi mnapata wapi hata uwezo wa kuwaza tu hilo?

Conte hataki ubabaishaji kitu ambacho Tajiri wenu amekizoea.
 
Timu ya Arsenal imekosa leadership na nidhamu.

Nyuma ya pazia kuna mengi hayasemwi yanatokea.

Auba na Laca hawakuwa wanaumwa mechi na Brentford.

Antonio Conte ni "no-nonsense manager" ndie atawaweza wachezaji wa Arsenal ambapo pia ni legelege.

Conte akienda Arsenal itacheza kama Inter au alipokuwa Chelsea na Auba na Laca watacheza kama Lukaku watake wasitake.
Ndo hawezi kuja sasa. Hamna hela ya kumlipa conte nyinyi wa kumpa hela asajili. Tena dirisha likishafungwa Conte ndo mmsahau mazima.
 
Deal for Ramsdale is almost done, huyu ni mzuri kuliko Leno.
Ramsdale amechezea bournemouth imeshuka daraja. Akaenda Sheffield, sheffield imeshuka daraja pia.

Kipa mzuri. Kaconcede magoli mengi.

Kipa mzuri. Kashusha timu mbili daraja.

Kipa mzuri. Clean sheet chache.

Mi najua tunatofautiana vigezo mpaka kuazimia kwamba fulani ni bora hivyo nitaheshimu maamuzi yako. Ila kama yapo influenced na Edu basi kazi ipo.

Auba to Barca. Ingawa romano amesema Laca ana nafasi kubwa kuondoka kuliko auba
 
Ramsdale amechezea bournemouth imeshuka daraja. Akaenda Sheffield, sheffield imeshuka daraja pia.

Kipa mzuri. Kaconcede magoli mengi.

Kipa mzuri. Kashusha timu mbili daraja.

Kipa mzuri. Clean sheet chache.

Mi najua tunatofautiana vigezo mpaka kuazimia kwamba fulani ni bora hivyo nitaheshimu maamuzi yako. Ila kama yapo influenced na Edu basi kazi ipo.

Auba to Barca. Ingawa romano amesema Laca ana nafasi kubwa kuondoka kuliko auba

Hii analysis yako ni kali. Kwa hiyo wewe unaamini kwamba mtu mmoja ndio anashusha timu daraja!!!! Kwamba timu hata kama ina keeper kama Allison wa Liverpool lakini ina defense mbovu, keeper ndio anapaswa kulaumiwa kwa kufungwa magoli!!!!! Unafikiri angekuwa mbovu Southgate angemuita timu ya taifa kama kipa namba 3?
 
Hii analysis yako ni kali. Kwa hiyo wewe unaamini kwamba mtu mmoja ndio anashusha timu daraja!!!! Kwamba timu hata kama ina keeper kama Allison wa Liverpool lakini ina defense mbovu, keeper ndio anapaswa kulaumiwa kwa kufungwa magoli!!!!! Unafikiri angekuwa mbovu Southgate angemuita timu ya taifa kama kipa namba 3?
Hoja ya mtu kuitwa haihalalishi kiwango chake kama ni kibovu ama la. Kama tunaweza kusema mchezaji mmoja mmoja amehusika kuipa timu mafanikio, mfano Gerd muller na cruyf, sasa kwanini tusiseme mchezaji mmoja mmoja anainyima timu mafanikio?

Katika Euro 20 Spain iliita makipa 3. Aliitwa Simon nafikiri yupo sevilla au villarreal, aliitwa De gea wa united na Aliitwa Sanchez wa brighton. Simon akawa kipa namba 1, sanchez namba mbili na de gea wa tatu.

Lakini Sanchez akiwa brighton ni kipa msaidizi, siyo first eleven, de gea anapata namba mara nyingi kuliko sanchez. Ila kawekwa kipa namba tatu.

Kama kuitwa au kutoitwa timu ya taifa ni kudhihirisha kiwango cha mtu hii inamaanisha Sanchez ni kipa mzuri kuliko De Gea na ni kipa mzuri kuliko kepa. Ramsdale hanunuliwi kwakua ana kiwango ila Mat Ryan alipoulizwa kama anafikiria kurudi Arsenal alisema kambi yake iliiuliza Arsenal kama wapo interested na Ryan na Arsenal ikajibu inaprefer home grown player kwa kipindi hichi.

Ramsdale anakuja pale na inatolewa pesa nyingi simply kwakua ni home grown player.

City wametoa 100M kwaajili ya grealish lakini takwimu za iwobi na grealish zipo karibia na sawa kwa msimu uliopita. Huu mtego wa kutumia pesa nyingi kisa mchezaji ni wa kunyumba unawanasa wengi.
 
Tukumbushane tu ,kila tukikaribia kukata tamaa tukumbuke wachezaji wa arsenal wanafanya mazoezi na team bado inayo mashabiki,mapambano yaendelee.Blue is the most beautiful colour .
 
Tukumbushane tu ,kila tukikaribia kukata tamaa tukumbuke wachezaji wa arsenal wanafanya mazoezi na team bado inayo mashabiki,mapambano yaendelee.Blue is the most beautiful colour .
Nigga umeandika nini hapa?
 
Edu na Arteta ni vijana sana kwenye suala la uongozi, hivyo nao wana mambo yao ya kujidai wanafahamu kila kitu.

Na hivyo mwenye timu Stan Kroenke kawaamini basi wamevimba vichwa.

Ila za chinichini zasema Antonio Conte anaandaliwa na Arteta amepewa mechi 13 tu.
Mkuu hizi za chini chini umezipata wapi?

Sisi mbona hatuzisikii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom