isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,562
Naamini anaweza fit pia ikiwa hawa watatu wa kati, wawili watakuwa nyuma yake na yenye atakuwa mbele yao.kuna sehemu nimeona Arteta kapanga kwenda na 4-3-3 ila sasa Xhaka doesnt fit into that, unasemaje kuhusu hilo au ndio tutamzomea tena rafiki yako?
Granit sio DF - Defensive Midfielder hapa ndio expectations za Arsenal fans zinapofia.
Xhaka ni CM - Central Midfielder yenye ni muhimili au muunganisho baina ya nyuma na mbele.
Angalia from past experiences toka Borussia, Basel na Swiss Team even top performances za Arsenal even last season was one of our important players sababu couple of times alicheza juu ya DM.
Wenger era Xhaka was best Midfielder in PL why? alicheza juu ya Coquelin, Flamini na Wilshire.
Sitaki kuamini makocha watano kwenye carrier yake wote wanamatatizo kumpatia Xhaka captaincy badge!
