Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiyo if vipi hapo?

Regardless bado sioni mantiki hapa.

Utd, city, chelsea na villa ni spenders kwa muda mkubwa hii inamaanisha wao kikosi chao kilishakua sawa for ages at one point hizi timu zimespend just kumleta mtu na asipate namba au kwavile wameamua.

Utd kwa Ighalo, Donny, Amad, Telles, na yule dogo mwingine. City mabeki wake waliocheza na spurs wanazidi kiasi ilichotumia Arsenal dirisha hili. Mabeki wa city wana thamani ya 219M.

So hao waliopo hapo hawana magepu yatakayowafosi watumie pesa nyingi. Exception ni City wanaotaka kumnunua Kane kwa 150M that deal get finalised City anakua wa kwanza as usual.
Hiyo ni kwa current window, hiyo ndio mada iliyopo mezani

Hata ukizungumzia kwa madirisha, say past 3 to 5 windows, Bado Arsenal ame spend kuliko Leicester, Harmers, spurs lakini kiwango uwanjani haki reflect matumizi yake sokoni

Kwa hiyo bado kuna tatizo sehemu
 
Hiyo ni kwa current window, hiyo ndio mada iliyopo mezani

Hata ukizungumzia kwa madirisha, say past 3 to 5 windows, Bado Arsenal ame spend kuliko Leicester, Harmers, spurs lakini kiwango uwanjani haki reflect matumizi yake sokoni

Kwa hiyo bado kuna tatizo sehemu
Mh timu ulizoamua kufananishia hazina fan base kubwa ambayo inaweza jaza uwanja au ikanunua bidhaa za timu zao kwa wingi.

Hizo timu hazispend kwakua hazina mapato makubwa na siyo kwa vile ni tactical geniuses ambao wanaangalia xg ni kuokota almasi mchangani.

Kocha akienda westham anaambiwa objective ni kua midtable.

Miaka minne nyuma hata Leicester hii ndiyo ilikua objective.

So kwao kutofuzu kua Europe siyo kosa.

Nakubaliana na wewe na kila anayesema tatizo lipo mpaka kwenye uongozi.
 
Mh timu ulizoamua kufananishia hazina fan base kubwa ambayo inaweza jaza uwanja au ikanunua bidhaa za timu zao kwa wingi.

Hizo timu hazispend kwakua hazina mapato makubwa na siyo kwa vile ni tactical geniuses ambao wanaangalia xg ni kuokota almasi mchangani.

Kocha akienda westham anaambiwa objective ni kua midtable.

Miaka minne nyuma hata Leicester hii ndiyo ilikua objective.

So kwao kutofuzu kua Europe siyo kosa.

Nakubaliana na wewe na kila anayesema tatizo lipo mpaka kwenye uongozi.
Hoja yangu hapo ni regardless of mapato or objectives of the club or any other factor, ni kwamba Arsenal ame spend sana this season (ukilinganisha na wakubwa wenzake) na ana underperform

Pia pamoja na kwamba ame spend sana (kuliko hizo timu za mid table) for over 5 past years pia kwa kigezo hicho hicho ame underperform
 
Hoja yangu hapo ni regardless of mapato or objectives of the club or any other factor, ni kwamba Arsenal ame spend sana this season (ukilinganisha na wakubwa wenzake) na ana underperform

Pia pamoja na kwamba ame spend sana (kuliko hizo timu za mid table) for over 5 past years pia kwa kigezo hicho hicho ame underperform
Boss hoja yangu ni kwamba ana wachezaji wasioendana na mfumo wengi ukilinganisha na wakubwa wenzake so ameingia sokoni kutafuta watakaoendana na mfumo wake. Pamoja na kuspend kote panapooneshwa hapo Arsenal imenunua wachezaji wanne tu. So hao wakubwa wenzake hawana haja ya kuspend kwakua they are good tayari.

Kuhusu kufananisha na westham et el ndiyo nasema ungewafananishia wenzake hao hao wanaoendana kila kitu huku wakiwa na ambitions sawa.
 
Nilikuwa sijawahi kupata typhoid fever, imenipiga na nilichelewa kuitambua kwa sababu hospital za huku mikoani absolutely rubbish. Naomba mniombee nipo kitandani natetemeka. Naendelea na dawa
Pole sana mkuu.
 
Nilikuwa sijawahi kupata typhoid fever, imenipiga na nilichelewa kuitambua kwa sababu hospital za huku mikoani absolutely rubbish. Naomba mniombee nipo kitandani natetemeka. Naendelea na dawa
Pole mzee.
 
Juzi mendy wa city ndiye alikua mtoa maboko wa timu.

Anachelewa kutoa maamuzi. Mzito. Hafanyi tracking. Hafanyi runs.

Kwa city alionekana Mendy.

Arsenal ikicheza unaona wachezaji wa namna hiyo 4 au 5 na hao ni wachezaji wanaopata namba kila wiki.

Timu ina wachezaji wabovu wengi. Arteta anaweza kua shit ila wachezaji waliopo hawasapoti falsafa yake. Niliwahi kusema timu ikiwa na wachezaji saba world class hiyo timu inacheza na yeyote.

Arsenal ina wangapi? Unaiangalia mid yetu, pasi inafika kwa Tierney, anampa Xhaka halafu anafanya run atanguliziwe mbele Xhaka anatulia na mpira anageuka anaurudisha nyuma kwa mabeki.

Odegaard anapokea pasi anampa Saka kisha anafanya run atanguliziwe mbele Saka anacut in anaingia ndani anamrudishia Xhaka au Partey, na hawa wawili wanampelekea Tierney apige krosi.

Timu haina ubunifu zaidi ya krosi za Tierney. Partey anajaribu sana kupiga penetration passes ila Auba na Laca utaona wanatembea.

Pengine Arteta hana ushawishi dressing room.
Ni kweli mkuu timu haina hata passion wala mikakati yoyote.

Kila mechi kwetu ni kubwa,hamna hata mechi ambayo unatoka home na kwenda banda umiza moyoni ukiwa na imani hapa nakwenda kuchukua point 3.

Ikitokea mchezaji ameanza ku develop na kua mzuri na timu nyingine kumtaka hashawishiki tena kubaki arsenal kutokana na strategies mbovu pamoja na mipango tuliyonayo refer RVP,NASRI,CLICHY, na SAGNA.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli mkuu timu haina hata passion wala mikakati yoyote.

Kila mechi kwetu ni kubwa,hamna hata mechi ambayo unatoka home na kwenda banda umiza moyoni ukiwa na imani hapa nakwenda kuchukua point 3.

Ikitokea mchezaji ameanza ku develop na kua mzuri na timu nyingine kumtaka hashawishiki tena kubaki arsenal kutokana na strategies mbovu pamoja na mipango tuliyonayo refer RVP,NASRI,CLICHY, na SAGNA.





Sent using Jamii Forums mobile app
Auba, Saka, ESR, Martinelli, Tierney wote wamesign new contracts, hapo unasemaje?
 
Auba, Saka, ESR, Martinelli, Tierney wote wamesign new contracts, hapo unasemaje?
Mkuu hao wote hamna hata team moja ilikua ikiwataka ndo maana wakawa wepesi kushawishika kubaki.

Mchezaji akiwa katika 'prime' afu huku team kadhaa zikiwa zinamtaka ni ngumu sana kubakia ARSENAL,

Unakumbuka issue ya Alexis Sanchez Baada ya city na utd kumtaka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_2021-08-20-13-00-33-1650002741_EDIT_1.jpg
 
Mkuu hao wote hamna hata team moja ilikua ikiwataka ndo maana wakawa wepesi kushawishika kubaki.

Mchezaji akiwa katika 'prime' afu huku team kadhaa zikiwa zinamtaka ni ngumu sana kubakia ARSENAL,

Unakumbuka issue ya Alexis Sanchez Baada ya city na utd kumtaka?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Auba hakuna timu ilikuwa inamtaka kipindi anasign ?
ESR huyu si Villa wametuma ofa karibu mbili juzi hapa?
Na Wewe unaamini Kieran Tierney akiwekwa sokoni hakuna timu itamtaka?
 
Mkuu Auba hakuna timu ilikuwa inamtaka kipindi anasign ?
ESR huyu si Villa wametuma ofa karibu mbili juzi hapa?
Na Wewe unaamini Kieran Tierney akiwekwa sokoni hakuna timu itamtaka?
Mkuu huenda hatukuelewana.

Mm nilikua naamanisha kum retain mchezaji akiwa katika 'prime' against giants team.

Hivi ESR aiche arsenal kweli ilihali anapata namba aende kucheza Villa kweli?

Incase angekua hana namba ya kudumu kama Joe willock ndo angeenda huko Villa.

Unakumbuka transfer ya RVP kufosi kwenda UTD kisa tu alitaka babu Wenger asajili wachezaji wenye quality ili timu ifanye vizuri?

Vipi kuhusu FAB kwenda Barcelona?

Mkuu tusidanganyane,ikitokea kwetu Mchezaji akiwa katika 'peak' ni ngumu kum retain kutokana na kutoshawushika na mipango ya club.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huenda hatukuelewana.

Mm nilikua naamanisha kum retain mchezaji akiwa katika 'prime' against giants team.

Hivi ESR aiche arsenal kweli ilihali anapata namba aende kucheza Villa kweli?

Incase angekua hana namba ya kudumu kama Joe willock ndo angeenda huko Villa.

Unakumbuka transfer ya RVP kufosi kwenda UTD kisa tu alitaka babu Wenger asajili wachezaji wenye quality ili timu ifanye vizuri?

Vipi kuhusu FAB kwenda Barcelona?

Mkuu tusidanganyane,ikitokea kwetu Mchezaji akiwa katika 'peak' ni ngumu kum retain kutokana na kutoshawushika na mipango ya club.



Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli mkuu, kama ni hivyo Auba, Partey, Pepe wasingekuja Arsenal. Walikuwa kwenye prime nzuri tu huko walipitoka na walikuwa wanacheza European football.
 
Mkuu huenda hatukuelewana.

Mm nilikua naamanisha kum retain mchezaji akiwa katika 'prime' against giants team.

Hivi ESR aiche arsenal kweli ilihali anapata namba aende kucheza Villa kweli?

Incase angekua hana namba ya kudumu kama Joe willock ndo angeenda huko Villa.

Unakumbuka transfer ya RVP kufosi kwenda UTD kisa tu alitaka babu Wenger asajili wachezaji wenye quality ili timu ifanye vizuri?

Vipi kuhusu FAB kwenda Barcelona?

Mkuu tusidanganyane,ikitokea kwetu Mchezaji akiwa katika 'peak' ni ngumu kum retain kutokana na kutoshawushika na mipango ya club.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mambo ya kina Fabregas ni ya nyuma huko mkuu, ninachopinga ni kuwa kwa kipindi hiki si rahisi mchezaji mzuri Arsenal kuondoka kirahisi kama unavyosema, ndio maana nimekupa mfano wa Wachezaji wazuri na Wamesign new Contracts.
 
A club that I used to support my whole life now has become garbage.

Mashabiki wa arsenal ambao wanaenda uwanjani wananishangaza sana,Maana siilewi kitu wanachoendaga kuangalia na kukitarajia kwa arsenal hii mbovu.

Ukweli mchungu ni kua 5 years to come kama tukibakiwa na board hii yenye mentality ya 'profit making only' na average players hawa tulionao tunaenda kua midtable team EPL.

Ukweli ni kua siku hizi sisi sio tishio tena

Hata hii Chelsea iliyoanzishwa rasmi 2003 ishaanza kutupiku mafanikio na hii yote ni kutokana na board nzuri waliyonayo pamoja na tajiri kua na mafanikio ya makombe.

Ndugu zangu @Castr,@isajorsergio,@gspain,computerarsenal na mashabiki wengine wa arsenal humu jamvini Tuendelee tu kuipenda na kuisapoti team yetu ila kiukweli board hawapo serious kabisa na hii timu.

Licha ya hivyo lakini kwa cheltako na mama ester utd point zangu 4+ zipo pale pale.

Love arsenal
Hate kroenke.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona una lalamika kama umekalia chupa
 
Mkuu kwa price ya Nicholus pepe sizani kama LILLE wangejiuliza mara mbili kwahyo pale ilikua lazima deal lile lifanyike ukizingatia biashara ya mpira ni kuuza na kununua wachezaji.

Partey na auba kilichowavutia ni ukubwa wa brand ya arsenal pamoja na personal benefits.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom