Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Milango 3 ndio nani?huoni kama dunia nzima inailaumu Arsenal mpaka Rais wa Rwanda?ina maana mtu akitoa maoni ni against Arsenal hata kama ni Arsenal?
Rais wa Rwanda anajua nini kuhusu mpira? unasikilizaje watu wenye Poor tactical knowledge
 
Rais wa Rwanda anajua nini kuhusu mpira? unasikilizaje watu wenye Poor tactical knowledge
Mtu kaweka mamilioni ya paundi na wewe ambaye haujaweka chochote mtafanana vipi?nani anaujua mpira kati yako na kagame?au wewe ni Manchester United unatuchora tu
 
Huna jibu wewe hujaweka chochote kwa Arsenal that's why unaongea ushuzi tu hakuna shabiki kindaki ndaki wa Arsenal anayeona kufungwa na Brentford ni kawaida hakuna huyo fan nimeona inawezekana ukawa una damu ya Manchester United
K vant ishapandisha sio, poa Msangarafu
 
Huna jibu wewe hujaweka chochote kwa Arsenal that's why unaongea ushuzi tu hakuna shabiki kindaki ndaki wa Arsenal anayeona kufungwa na Brentford ni kawaida hakuna huyo fan nimeona inawezekana ukawa una damu ya Manchester United
Mzee baba nakujua vizuri vibe zako, file lako ninalo au unabisha LONDON IS BLUE Haikuwa acc yako?
 
Back
Top Bottom