Sijaona kama Lautaro katugomea au la so nahisi hapa swala ni pesa ila unajua ukiwa na mchezaji kama Lautaro inakua ngumu kumuweka benchi.
Hii inamaanisha kuna wachezaji itabidi uwapige benchi sasa ishu inakuja kwamba utapigaje benchi Martinelli na Balogun huku ndiyo kwanza umetoka kuwasainisha mikataba mipya? Tena Leverkusen na wenzao wamekuja kumuulizia Balogun ukamshawishi abaki.
Ili aje lazima Auba au Laca na Nketiah waondoke ili kubalansi. Kama sivyo Lautaro achezeshwe
Sijaona kama Lautaro katugomea au la so nahisi hapa swala ni pesa ila unajua ukiwa na mchezaji kama Lautaro inakua ngumu kumuweka benchi.
Hii inamaanisha kuna wachezaji itabidi uwapige benchi sasa ishu inakuja kwamba utapigaje benchi Martinelli na Balogun huku ndiyo kwanza umetoka kuwasainisha mikataba mipya? Tena Leverkusen na wenzao wamekuja kumuulizia Balogun ukamshawishi abaki.
Ili aje lazima Auba au Laca na Nketiah waondoke ili kubalansi. Kama sivyo Lautaro achezeshwe namba 8.
Mpango uliopo ni kumuuza Laca binafsi napenda iwe hivyo hawa jamaa wa America ya kusini wako vizuri wanafunga magoli katika mazingira magumu afu wako fasta na ubishi kwa mabeki.