Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ulinzi ulishakua imara.

Tatizo kushambulia na kufunga. Hapo ndiyo anaingia bwana White
White kaja tu kuziba pengo la David Luiz. Wanasema anajua kutoa pasi nzuri hivyo ni mzuri kwa kuanzisha mashambulizi kutoka golini kwetu. Tatizo ni tukifika kwenye box la adui hatuna ubunifu. Ndio maana naona Maddison atafaa maana ana vichenga vya kasi na atawapa changamoto mabeki kwenye no.10. Bado sina imani na Smith Rowe kubeba jukumu hilo kwa sasa. Pia tunahitaji no.8 wakupartner na Partey kama Thomas akicheza no.6. Elneny kwenye kupeleka mipira mbele bado changamoto.
 
Our new playerView attachment 1874409View attachment 1874408
IMG-20210730-WA0017.jpg
 
White kaja tu kuziba pengo la David Luiz. Wanasema anajua kutoa pasi nzuri hivyo ni mzuri kwa kuanzisha mashambulizi kutoka golini kwetu. Tatizo ni tukifika kwenye box la adui hatuna ubunifu. Ndio maana naona Maddison atafaa maana ana vichenga vya kasi na atawapa changamoto mabeki kwenye no.10. Bado sina imani na Smith Rowe kubeba jukumu hilo kwa sasa. Pia tunahitaji no.8 wakupartner na Partey kama Thomas akicheza no.6. Elneny kwenye kupeleka mipira mbele bado changamoto.
Odegaard anaweza kurudi.
 
Hua inatokea kutomkubali mchezaji.

Ila ndiye chance creator mkubwa tangu amefika pale.
Tupate CAM mzuri, Right full back na GK kama Ramsdale tunaenda kuchallenge the title. Hatuna mashindano mengi ifike time hata FA tunajitoa tufocus na ligi tu.
 
1627717867389.png

1627717912899.png


Tuna jezi kali sana ila huenda zisiuzike kwa sababu timu haifanyi vizuri.
 
Nilitarajia zaidi kutoka kwake.

Hata hivyo mpira wa siku hizi ni takwimu. Kwa muda aliofika amewazidi hata aliowakuta kwa kutengeneza nafasi za magoli.
let's hope for the best. Kama anatengeneza vizuri basi umaliziaji uimarike. tutakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi
 
let's hope for the best. Kama anatengeneza vizuri basi umaliziaji uimarike. tutakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi
Arsenal kuna watu watano wanaoweza kukaa kama washambuliaji. Arteta alimpa namba Auba muda wote hata wakati ambao tulihitaji damu mpya hivyo hilo deni ni la kulipwa msimu huu.

Pre season bado zinaonyesha Auba na Laca bwana laca ni clinical kuliko Auba. Msimu uliopita nafikiri Laca ndiye top scorer wa Arsenal. Akiuzwa nitakumbuka kocha mpya wa Simba alipofika akamuuza mshindi wa kiatu cha dhahabu kwenda Yanga akidai hana stamina, alipofika Yanga akachukua tena kiatu cha dhahabu msimu huo.
 
Sasa tupandishe mizuka. Siku 13 tu zimebaki kabla ya kwenda kujichukulia alama 3 kutoka kitimu cha mchangani cha huko London, Brentford.
1627720259515.png
1627720314544.png


Itakuwa shangwe tupu siku hiyo.
COYG!
 
Arsenal kuna watu watano wanaoweza kukaa kama washambuliaji. Arteta alimpa namba Auba muda wote hata wakati ambao tulihitaji damu mpya hivyo hilo deni ni la kulipwa msimu huu.

Pre season bado zinaonyesha Auba na Laca bwana laca ni clinical kuliko Auba. Msimu uliopita nafikiri Laca ndiye top scorer wa Arsenal. Akiuzwa nitakumbuka kocha mpya wa Simba alipofika akamuuza mshindi wa kiatu cha dhahabu kwenda Yanga akidai hana stamina, alipofika Yanga akachukua tena kiatu cha dhahabu msimu huo.
Hatuna haja sana ya kumuondoa Laca kwenye kikosi kwa maoni yangu. Bora aondoke Nketiah, akija kuwa mzuri kwenye timu ingine tutamnunua tena huko mbeleni. Nataka midfielders na no.10 wabunifu na wakali tu sasa. Kwa ushambuliaji kuna Auba, Laca, Martinelli na Balogun. Hao wanatutosha.
 
Sijui kwann ila akili yangu inanituma hii timu ingepata mtu ambaye ni zaidi ya mwekezaji yaani awe ni moja ya fan pia wa arsenal kama vile Daniel Ek anavyoitaka hii timu
 
Back
Top Bottom