Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hatuna haja sana ya kumuondoa Laca kwenye kikosi kwa maoni yangu. Bora aondoke Nketiah, akija kuwa mzuri kwenye timu ingine tutamnunua tena huko mbeleni. Nataka midfielders na no.10 wabunifu na wakali tu sasa. Kwa ushambuliaji kuna Auba, Laca, Martinelli na Balogun. Hao wanatutosha.
Yaah hao center forward wanatutosha sana Mkuu, ila now anahitajika number 10 ambaye ni EPL proved kama Maddison
 
Sasa tupandishe mizuka. Siku 13 tu zimebaki kabla ya kwenda kujichukulia alama 3 kutoka kitimu cha mchangani cha huko London, Brentford.
View attachment 1875050View attachment 1875051

Itakuwa shangwe tupu siku hiyo.
COYG!
Brentford wana uwekezaji mzuri katika wachezaji. Walimuuza Watkins wakamnunua Toney kwa system yao ya kuangalia expected goals.

Tukiingia na hawa washambuliaji miyeyusho hiyo game tunapasuka kwakua wao watakua clinical katika finishing wakati sisi tuna hilo tatizo. So tutamiliki mpira ila kuscore kutakua kugumu, wakati wao wakipiga kaunta bwana Toney anamaliza kazi.
 
Yaah hao center forward wanatutosha sana Mkuu, ila now anahitajika number 10 ambaye ni EPL proved kama Maddison
Yup. Ikiwezekana huyu dogo aje tu. Kina Smith-Rowe na Odegaard wakae benchi wasubiri mechi za League Cup au tukicheza na vilaza wetu ManUtd na Chelsea
 
Goalkeeper ambaye pia ni EPL proved-Ramsdale kwangu ni first option

Kulia bila shaka atabaki Callum Chambers na Cedric Soares, naona arsenal wakipush sana deal la bellerin kuondoka klabuni amekuwa na pancha sana kama mmegundua hilo.

Kushoto Tavares na Tierney, huo ubavu hauna shida tayari, ila naona Kolasinac amerudi baada ya kumaliza mkopo wake, hatuna haja ya kuendelea kukumbatia flop players wengi katika timu ambao hawawezi kutusaidia

Issue ya centre back naona imeisha Ben white and Gabriel are high rated defender with young age Bila kuwasahau Pablo Mari na Rob Holding

Tukija kwenye DM yupo Thomas party, Elneny, pia naona Lucas Toreirra amerudi baada ya kumaliza mkopo wake na pia kuna uwezekano Granit Xhaka akakubali kuongeza mkataba pale arsenal.

Kwa upande wa AM hapa kwakweli hatuna mtu ambaye ni typically number 8,ndo maana Deal la Maddison likikubali itabidi Maddison acheze kama mid 8 na Smith Rowe acheze inside 10.

NB:Typical number 8 anahitajika pale arsenal, hatuna mtu ambaye ni most creative pale emirates
 
Yup. Ikiwezekana huyu dogo aje tu. Kina Smith-Rowe na Odegaard wakae benchi wasubiri mechi za League Cup au tukicheza na vilaza wetu ManUtd na Chelsea
Uzuri ESR na Saka ni multiple position players, ngumu sana kuwaweka Bench hata Formation iweje, ESR na Odegaard wamecheza pamoja, itashindikanaje kwa Maddison!
 
Goalkeeper ambaye pia ni EPL proved-Ramsdale kwangu ni first option

Kulia bila shaka atabaki Callum Chambers na Cedric Soares, naona arsenal wakipush sana deal la bellerin kuondoka klabuni amekuwa na pancha sana kama mmegundua hilo.

Kushoto Tavares na Tierney, huo ubavu hauna shida tayari, ila naona Kolasinac amerudi baada ya kumaliza mkopo wake, hatuna haja ya kuendelea kukumbatia flop players wengi katika timu ambao hawawezi kutusaidia

Issue ya centre back naona imeisha Ben white and Gabriel are high rated defender with young age Bila kuwasahau Pablo Mari na Rob Holding

Tukija kwenye DM yupo Thomas party, Elneny, pia naona Lucas Toreirra amerudi baada ya kumaliza mkopo wake na pia kuna uwezekano Granit Xhaka akakubali kuongeza mkataba pale arsenal.

Kwa upande wa AM hapa kwakweli hatuna mtu ambaye ni typically number 8,ndo maana Deal la Maddison likikubali itabidi Maddison acheze kama mid 8 na Smith Rowe acheze inside 10.

NB:Typical number 8 anahitajika pale arsenal, hatuna mtu ambaye ni most creative pale emirates
Torreira alisema asipocheza anaathirika sana kisaikologia mpaka akatafuta therapist (Maitland Niles pia) na hii inampunguzia performance uwanjani. Ni mchezaji mzuri ila ni bora tumuuze maana hataweza kushindana na Xhaka, Partey na Elneny wote kwa pamoja. Na hivi tumemleta na Sambi...
 
Torreira alisema asipocheza anaathirika sana kisaokologia mpaka akatafuta therapist (Maitland Niles pia) na hii inampunguzia performance uwanjani. Ni mchezaji mzuri ila ni bora tumuuze maana hataweza kushindana na Xhaka, Partey na Elneny wote kwa pamoja. Na hivi tumemleta na Sambi...
Yaah sambi lokonga anacheza both defensive and attacking midifilder, pure young talent
 
Huyu Ben white ela mmelipa kwa mafungu kama ya yule kipepe? Hivi huyu kipepe mlishamaliza kulipa?? Au Ndo funika kombe mwanaharamu apite
 
Odegaard anaweza kurudi.
Odegard anaweza lakini kiwango chake ni cha kawaida.. Anatusaidia lakini ni average player kabisa yule.. Mimi natamani apatikane mchezaji mwingine especially maddison.. Ila ikishindikana aje tu, atatusaidia pia
 
Hii ya Lautaro ni serious issue The Athletic wanaripoti, usajili wa huyu mtu lazima ulete impact kubwa. Hiyo inaitwa 'utatoa hutoi'
 
Nilitarajia zaidi kutoka kwake.

Hata hivyo mpira wa siku hizi ni takwimu. Kwa muda aliofika amewazidi hata aliowakuta kwa kutengeneza nafasi za magoli.
7rlp
Hii ya Lautaro ni serious issue The Athletic wanaripoti, usajili wa huyu mtu lazima ulete impact kubwa. Hiyo inaitwa 'utatoa hutoi'
Ya huyu mtu mzuri sana dizaini ya Aguero anakufunga katika mazingira yoyote.
 
Huyu Ben white ela mmelipa kwa mafungu kama ya yule kipepe? Hivi huyu kipepe mlishamaliza kulipa?? Au Ndo funika kombe mwanaharamu apite
Sasa kama mahari yako ilimaliziwa mpaka ukaolewa Dubai kwanini hela ya Pepe isimaliziwe?
 
Ukiwa na striker mzuri unaweza kujiamini na mid ya sasa.

Watu wengi hatukua tunajua ila mechi za pre season zimetuonyesha Sambi Lokonga ni mchezaji wa aina gani.

Lokonga ni Vieira na Fabregas ndani ya mtu mmoja anakukaba usipite lakini hashindwi kupangua watu na kutoa pasi ya goli au hata yeye mwenyewe kufunga.

Yaani ni kwamba pale katikati akiwepo Partey na Lokonga kinachohitajika ni mtu wa mbele kua fasta. Martinell ni jibu, Balogun ni jibu, Nketiah ni jibu mashindano ya FA na Carabao yataprove ninachosema.

Mpira wa siku hizi unawapa majukumu mawinger, Villa walimtaka Emile, wamemkosa wamemfuata Bailey. Baadhi ya timu zimewaconvert mawinga wao kua viungo washambuliaji mfano Villa kwa Grealish, Leicester kwa Maddison na Arsenal kwa Emile. Timu zingine zimewafanya mastriker kabisa mfano PSG kwa Mbappe, Inter na Lautaro, Madrid na Ronaldo.

Emile angeenda Villa angedevelope vizuri kwakua presha ndogo na style yake ya kufanya runs ni nzuri kwa Villa wanaocheza counter na penetration pass hapa presha ipo juu so anatakiwa awe nunda kabla ya wakati, na style yetu ya back passes na sideway passes inamfanya aonekane ana mchango wastani hii inaweza kufanya mashabiki tusiwe na shukrani na juhudi atakazoonyesha.

Kama Lokonga atakua na kiwango nusu na robo ya tulichoona kitakwimu hicho hicho kitamtosha Emile. Tavarez is gud, no worries kule kushoto. Pepe ameminya purple patch tumemaliza msimu ameanza kua moto.

So nafikiri kiukweli ukweli anahitajika ST. Atafutwe Luca Jovic aje pale kwa mkopo.
 
7rlp
Ya huyu mtu mzuri sana dizaini ya Aguero anakufunga katika mazingira yoyote.
Spurs wapo interested, wakimuuza Harry Kane kwa City wanamuwahi huyu, Arsenal kitachotubeba paka aikatae Spurs labda ni historia tu. Inter wao wanataka pesa ili vitabu vibalance.
 
Ukiwa na striker mzuri unaweza kujiamini na mid ya sasa.

Watu wengi hatukua tunajua ila mechi za pre season zimetuonyesha Sambi Lokonga ni mchezaji wa aina gani.

Lokonga ni Vieira na Fabregas ndani ya mtu mmoja anakukaba usipite lakini hashindwi kupangua watu na kutoa pasi ya goli au hata yeye mwenyewe kufunga.

Yaani ni kwamba pale katikati akiwepo Partey na Lokonga kinachohitajika ni mtu wa mbele kua fasta. Martinell ni jibu, Balogun ni jibu, Nketiah ni jibu mashindano ya FA na Carabao yataprove ninachosema.

Mpira wa siku hizi unawapa majukumu mawinger, Villa walimtaka Emile, wamemkosa wamemfuata Bailey. Baadhi ya timu zimewaconvert mawinga wao kua viungo washambuliaji mfano Villa kwa Grealish, Leicester kwa Maddison na Arsenal kwa Emile. Timu zingine zimewafanya mastriker kabisa mfano PSG kwa Mbappe, Inter na Lautaro, Madrid na Ronaldo.

Emile angeenda Villa angedevelope vizuri kwakua presha ndogo na style yake ya kufanya runs ni nzuri kwa Villa wanaocheza counter na penetration pass hapa presha ipo juu so anatakiwa awe nunda kabla ya wakati, na style yetu ya back passes na sideway passes inamfanya aonekane ana mchango wastani hii inaweza kufanya mashabiki tusiwe na shukrani na juhudi atakazoonyesha.

Kama Lokonga atakua na kiwango nusu na robo ya tulichoona kitakwimu hicho hicho kitamtosha Emile. Tavarez is gud, no worries kule kushoto. Pepe ameminya purple patch tumemaliza msimu ameanza kua moto.

So nafikiri kiukweli ukweli anahitajika ST. Atafutwe Luca Jovic aje pale kwa mkopo.
Lokonga yupo poa sana ameonesha sio mzigo kwenye hizi mechi mbili tatu, ila Luca Jovic wanini mzee? Lautaro huyo hapo yupo willing toeni pesa tu.

Binafsi navutiwa sana na wachezaji wa America kusini cuz they're not system players, kuna ile natural taste ya South America mchezaji muda wowote anashinda mechi.
Mfano Rodrigo de paul tulikuwa wa kwanza kuhusishwa naye binafsi nilikuwa simjui, ila Copa America kaonesha he is something else.
 
Lokonga yupo poa sana ameonesha sio mzigo kwenye hizi mechi mbili tatu, ila Luca Jovic wanini mzee? Lautaro huyo hapo yupo willing toeni pesa tu.

Binafsi navutiwa sana na wachezaji wa America kusini cuz they're not system players, kuna ile natural taste ya South America mchezaji muda wowote anashinda mechi.
Mfano Rodrigo de paul tulikuwa wa kwanza kuhusishwa naye binafsi nilikuwa simjui, ila Copa America kaonesha he is something else.
Sijaona kama Lautaro katugomea au la so nahisi hapa swala ni pesa ila unajua ukiwa na mchezaji kama Lautaro inakua ngumu kumuweka benchi.

Hii inamaanisha kuna wachezaji itabidi uwapige benchi sasa ishu inakuja kwamba utapigaje benchi Martinelli na Balogun huku ndiyo kwanza umetoka kuwasainisha mikataba mipya? Tena Leverkusen na wenzao wamekuja kumuulizia Balogun ukamshawishi abaki.

Ili aje lazima Auba au Laca na Nketiah waondoke ili kubalansi. Kama sivyo Lautaro achezeshwe namba 8.
 
Back
Top Bottom